Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wanasheria wanauza kesi za Serikali — DC

MKUU wa Wilaya (DC) ya Nkasi, mkoani Rukwa, Iddy Kimanta, amewaonya wanasheria wa halmashauri za serikali za mitaa kuwa hawaisaidii serikali na ndiyo sababu ya kushindwa kwa kesi nyingi zinazofunguliwa...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Wanasheria wapinga kufutwa kesi Z’bar

>Siku tano tangu Jaji Mkuu wa Zanzibar, Omar Othmana Makungu afute kesi ya kuzama kwa Meli ya Mv Spice Islanders, wanasheria wameibuka na kusema haikuwa mwafaka kesi hiyo kufutwa kwa sababu ya hati ya mashtaka kutowasilisha kwa wakati mahakamani.

 

10 years ago

Dewji Blog

Pinda afungua semina ya wanasheria wa serikali wa Afrika ya Mashariki

PG4A5035

Waziri Mkuu, mizengo Pinda akizungumza na Naibu Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba (kulia) Mkurugenzi Mkuu wa Benki ya Maendeleo ya Afrika Mashariki (EADB), Vivianne Yeda (kushoto) na Mjumbe wa Bodi ya EADB,Khadija Simba baada ya kufungua Semina ya Wanasheria wa Serikali wa nchi za Afrika ya Mashariki  ya kuwajengea uwezo wanasheria hao katika kuchambua na kufikia mamuzi ya mikataba ya uvunaji maliasili za mataifa hayo,. Semina hiyo ilifanyika kwenye hoteli ya White sands jijini Dar es salaam...

 

9 years ago

Mwananchi

Bongo movie endeleeni kuigiza wenzenu wanauza

Pita pita yangu kwenye mitandao nakutana na habari inayoelezea malalamiko ya kampuni moja ya usambazaji filamu za kibongo kuhusiana na uingizaji wa filamu kutoka nje.

 

10 years ago

Bongo5

Stamina adai wasanii wengi wa filamu wanauza sura, wenye vipaji wachache

Rapper Stamina anaamini kuwa tasnia ya filamu nchini inashindwa kwenda mbele zaidi kutokana na waigizaji wengi kutokuwa na vipaji bali wanatafuta umaarufu na pesa. Stamina amesema anashindwa kukaa na kuangalia filamu za siku hizi kwakuwa zimekosa waigizaji mahiri. “Unajua kuangalia filamu kuna raha yake kama utakuta waigizaji ambao wanajua kazi yao. Sio o hawa wanaotafuta […]

 

9 years ago

Habarileo

Serikali yashinda kesi za uchaguzi

SERIKALI ilishinda kesi zote zilizofunguliwa na wagombea dhidi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali na wasimamizi wa uchaguzi ambapo kesi hizo ni kuhusu uchaguzi mkuu wa mwaka 2010.

 

11 years ago

Mwananchi

Serikali inajidhalilisha kufungua kesi za kufikirika

Katika hali inayodhihirisha kwamba Serikali inaendelea kujidhalilisha kwa kupeleka kesi mahakamani zisizo na vichwa wala miguu, Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jana iliwaachia huru washtakiwa watatu katika kesi iliyofunguliwa na Serikali, ikidai kwamba watu hao waliandika na kuchapisha makala katika gazeti la Tanzania Daima ikilenga kuwachochea askari wa majeshi ya ulinzi na usalama wasitii amri za viongozi wao, hivyo kuhatarisha usalama wa Taifa.

 

11 years ago

BBCSwahili

Serikali yajitenga na kesi ya ubakaji Somalia

Serikali ya Somalia imesema haiwezi kuhusishwa na kesi ya mwananamke aliyehukumiwa kifungo cha nje baada ya kusema kwamba alibakwa

 

9 years ago

Habarileo

Serikali yakata rufaa kesi ya wakili Mwale

 MAWAKILI wa serikali wamekata rufaa Mahakama ya Rufaa baada ya Jaji wa Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam, Gadi Mjemas anayesikiliza kesi ya wakili maarufu Median Mwale na wenzake watatu, kukataa baadhi ya vielelezo vya ushahidi kutoka nchini Marekani ikiwamo hati saba za viapo.

 

10 years ago

Habarileo

Serikali yaweka pingamizi kesi ya Bunge la Katiba

Naibu Mwanasheria Mkuu wa Serikali, George MasajuUPANDE wa Jamhuri umewasilisha pingamizi dhidi ya ombi la kusimamishwa kwa vikao vya Bunge Maalumu la Katiba vinavyoendelea mjini Dodoma, lililofunguliwa na Mwandishi wa Habari, Said Kubenea.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani