Wanasheria wanauza kesi za Serikali — DC
MKUU wa Wilaya (DC) ya Nkasi, mkoani Rukwa, Iddy Kimanta, amewaonya wanasheria wa halmashauri za serikali za mitaa kuwa hawaisaidii serikali na ndiyo sababu ya kushindwa kwa kesi nyingi zinazofunguliwa...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi08 Jul
Wanasheria wapinga kufutwa kesi Z’bar
10 years ago
Dewji Blog09 Sep
Pinda afungua semina ya wanasheria wa serikali wa Afrika ya Mashariki
Waziri Mkuu, mizengo Pinda akizungumza na Naibu Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba (kulia) Mkurugenzi Mkuu wa Benki ya Maendeleo ya Afrika Mashariki (EADB), Vivianne Yeda (kushoto) na Mjumbe wa Bodi ya EADB,Khadija Simba baada ya kufungua Semina ya Wanasheria wa Serikali wa nchi za Afrika ya Mashariki ya kuwajengea uwezo wanasheria hao katika kuchambua na kufikia mamuzi ya mikataba ya uvunaji maliasili za mataifa hayo,. Semina hiyo ilifanyika kwenye hoteli ya White sands jijini Dar es salaam...
9 years ago
Mwananchi14 Nov
Bongo movie endeleeni kuigiza wenzenu wanauza
10 years ago
Bongo515 Oct
Stamina adai wasanii wengi wa filamu wanauza sura, wenye vipaji wachache
9 years ago
Habarileo22 Nov
Serikali yashinda kesi za uchaguzi
SERIKALI ilishinda kesi zote zilizofunguliwa na wagombea dhidi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali na wasimamizi wa uchaguzi ambapo kesi hizo ni kuhusu uchaguzi mkuu wa mwaka 2010.
11 years ago
Mwananchi30 Jan
Serikali inajidhalilisha kufungua kesi za kufikirika
11 years ago
BBCSwahili10 Dec
Serikali yajitenga na kesi ya ubakaji Somalia
9 years ago
Habarileo21 Dec
Serikali yakata rufaa kesi ya wakili Mwale
MAWAKILI wa serikali wamekata rufaa Mahakama ya Rufaa baada ya Jaji wa Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam, Gadi Mjemas anayesikiliza kesi ya wakili maarufu Median Mwale na wenzake watatu, kukataa baadhi ya vielelezo vya ushahidi kutoka nchini Marekani ikiwamo hati saba za viapo.
10 years ago
Habarileo05 Sep
Serikali yaweka pingamizi kesi ya Bunge la Katiba
UPANDE wa Jamhuri umewasilisha pingamizi dhidi ya ombi la kusimamishwa kwa vikao vya Bunge Maalumu la Katiba vinavyoendelea mjini Dodoma, lililofunguliwa na Mwandishi wa Habari, Said Kubenea.