Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Serikali yashinda kesi za uchaguzi

SERIKALI ilishinda kesi zote zilizofunguliwa na wagombea dhidi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali na wasimamizi wa uchaguzi ambapo kesi hizo ni kuhusu uchaguzi mkuu wa mwaka 2010.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

CHADEMA YAGARAGAZWA NA CCM KESI ZA UCHAGUZI SERIKALI ZA MITAA

Mahakama ya Wilaya ya Iringa imetoa hukumu ya kutengua matokeo ya mitaa 13 kutoka Manispaa ya Iringa ili kufanya uchaguzi wa marudio wa Serikali za Mitaa kutokana na kasoro kadhaa zilizojitokeza katika uchaguzi uliofanyika Desemba 14 mwaka 2014.
Hukumu hiyo ilitolewa jana mbele ya mahakamu wakazi wanne ambao ni Andrew Scout, John Mpitanjia, E. Nassoro na Isaya, waliokuwa wanaendesha kesi hizo katika Mahakama ya Wazi ya Hakimu Mkazi Wilaya ya Iringa.
Chama cha Mapindizi (CCM) kulifungua kesi...

 

10 years ago

BBCSwahili

JS Kabylie yashinda kesi dhidi ya Caf

JS Kabylie ya Algeria imeshinda rufaa yake dhidi ya adhabu ya Caf kutoshiriki mashindano ya kandanda barani Afrika

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kinondoni yashinda kesi ya Oysterbay Villa

MANISPAA ya Kinondoni imeshinda kesi iliyofunguliwa na mwekezaji wa Oysterbay Villa Limited na kuwa kuanzia sasa mmiliki wa eneo hilo atamaliza mkataba wake baada ya miaka 40. Mkataba huo ambao...

 

10 years ago

BBCSwahili

Syriza yashinda uchaguzi,Ubelgiji

Chama cha mrengo wa kushoto cha Syriza kinachopinga kubana matumizi kimeshinda katika uchaguzi uliofanyika nchini Ubelgiji.

 

11 years ago

BBCSwahili

CCM yashinda uchaguzi mdogo wa ubunge

Chama cha Mapinduzi nchini Tanzania kimenyakua asilimia 79.4 ya kura zilizopigwa katika Jimbo la Kalenga

 

11 years ago

Michuzi

CCM YASHINDA KWA KISHINDO UCHAGUZI MDOGO WA UBUNGE JIMBO LA KALENGA


Mgombea Ubunge Uchaguzi mdogo wa Jimbo la Kalenga, Iringa Vijijini, kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Godfrey Mgimwa  akiwa amebebwa na wafuasi wa chama hicho jana usiku katika Ofisi ya CCM Mkoa wa Iringa baada kutangazwa matokeo ya awali yasiyo rasmi .Chama cha Mapinduzi (CCM) kimeibuka na ushindi wa kishindo kwa kushinda kata zote 13 zilizoko kwenye jimbo hilo la Kalenga.  =======  =====  ======= Matokeo ya Uchaguzi Mdogo jimbo la Kalenga Iringa vijijini yametangazwa rasmi jana usiku...

 

10 years ago

Vijimambo

NSSF Yashinda Bonanza la Pasaka Zanzibar Mpira wa Miguu Netiboli Yashinda ZSSF

Viongozi wa ZSSF na NSSF wakiwa katika uwanja wa Amaan tayari kwa kwenda kukagua timu hizio kabla ya mchezo wao wa Tamasha la Michezo la OPasaka lililofanyika uwanja wa Amaan Zanzibar. Timu ya NSSF imeshinda kwa matuta 4--3. Viongozi wa ZSSF na NSSF wakiwa katika uwanja wa Amaan tayari kwa kwenda kukagua timu hizio kabla ya mchezo wao wa Tamasha la Michezo la OPasaka lililofanyika uwanja wa Amaan Zanzibar. Timu ya NSSF imeshinda kwa matuta 4--3. Kamisaa wa mchezo wa kirafiki kati ya ZSSF na...

 

10 years ago

Michuzi

UCHAGUZI WA SERIKALI YA MTAA WA MIGOMBANI WAINGIA KWIKWI BAADA YA AFISA MTENDAJI WA KATA YA SEGEREA KUJA KUTANGAZA KUSITISHA UCHAGUZI

Na Josephat Lukaza wa Lukaza Blog.Hali ya kushtusha imetokea katika uchaguzi wa Serikali ya Mtaa wa Migombani  baada ya Afisa Mtendaji  kufika  na kutangaza kimyakimya Kuwa UChaguzi huo umesitishwaMara baada ya wakazi wa mtaa wa migombani kusikia ndipo walipoanza sasa kutafuta mchawi na kumtia nguvuni afisa mtendaji huyo wa mtaa kwa kutaka kujua sababu za msingi zinazopelekea yeye kuja kutangaza kusitisha uchaguzi huo.Afisa mtendaji huyo baada ya kuulizwa sababu za msingi alijitetea kuwa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kesi ya uchaguzi Simba yatupwa

HATIMAYE Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam, imekataa kutoa amri ya muda kuzuia kufanyika kwa uchaguzi mkuu wa Simba uliopangwa kufanyika kesho, kutokana na maombi hayo ya zuio yaliyowalishwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani