Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WAPINZANI WAIPINGA HOTUBA YA KIKWETE

Wenyeviti wa vyama vya upinzani nchini, kutoka kushoto ni James Mbatia (NCCR-Mageuzi), Freeman Mbowe (Chadema) na Profesa Ibrahim Lipumba (CUF). Dodoma.
Wenyeviti wa vyama vya Upinzani vya Chadema, Chama cha Wananchi (CUF) na Chama cha NCCR-Mageuzi, jana usiku walikutana ili kutoa kauli ya pamoja, kutokana na hotuba ya ufunguzi wa Bunge kwa maelezo kuwa tayari Rais amevuruga mchakato mzima wa kupata Katiba Mpya. Wakati...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Wapinzani wapinga hotuba ya JK

>Wenyeviti wa vyama vya Upinzani vya Chadema, Chama cha Wananchi (CUF) na Chama cha NCCR-Mageuzi, jana usiku walikutana ili kutoa kauli ya pamoja, kutokana na hotuba ya ufunguzi wa Bunge kwa maelezo kuwa tayari Rais amevuruga mchakato mzima wa kupata Katiba Mpya.

 

9 years ago

Dewji Blog

Mwigulu Nchemba awashukia wapinzani wanaotumia hotuba za Baba wa Taifa kwa mtaji wa kisiasa

nchMwigulu Nchemba akihutubia katika mkutano wa hadhara katika Kata ya Nkungi, wilayani Mkalama (Picha ya Maktaba yetu)

Naibu Waziri wa fedha, Mwigulu Nchemba, amewataka Viongozi/ watu wanaojifanya mabingwa wa kutumia baadhi ya hotuba za hayati Mwalimu Julius Nyerere kujinufaisha kisiasa, watumie pia hotuba za hayati Nyerere zenye mwelekeo wa kuwakosoa,ili waweze kuthibitisha ubingwa wao.   Amedai mabingwa hao wakiweza kutoa ufafanuzi hata kwa hotuba zinazowakwaza,kwa njia hiyo, watakuwa...

 

11 years ago

Uhuru Newspaper

Kikwete, Dk. Kamani wawakuna wapinzani


NA PETER KATULANDA, BUSEGA
MADIWANI wa Chama cha UDP wilayani Busega, wamempongeza Rais Jakaya Kikwete na Mbunge wa Busega, Dk. Titus Kamani, kwa kuwaletea wananchi maendeleo ya kweli na kwamba wananchi hawana budi kuwaunga mkono.
Madiwani hao, Safari Jejeje wa Kata ya Ngasamo na James Yagaluka (Badugu), walitoa pongezi hizo kwa nyakati tofauti wakati wa ziara ya Dk. Kamani, ambaye pia ni Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi, ambapo walisema wana imani kubwa na serikali ya Rais Kikwete kwa...

 

10 years ago

Mwananchi

Kikwete: Wapinzani wataisoma namba

Mgombea urais kwa tiketi ya CCM, Dk John Magufuli, na mgombea mwenza, Samia Suluhu Hassan jana walichukua fomu kutoka Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), huku Rais Jakaya Kikwete akisema wapinzani wataisoma namba.

 

10 years ago

Vijimambo

Kikwete: "Nisingekuwa Rais Ningekuwa Msanii Mkali wa Bongo Fleva.".........HOTUBA Nzima ya Rais Kikwete Aliyoitoa Jana Mei Mosi Iko HAPA


RAIS Dkt. Jakaya Kikwete, ametamba kuwa angakuwa msanii wa muziki wa kizazi kipya basi angelikuwa wa “BongoFleva” kutokana na kuwa na sauti nzuri yenye kumudu kuimba nyimbo kwa ufasaha zaidi.

Kauli hiyo aliitoa jana jijini Mwanza kwenye uwanja wa michezo wa CCM Kirumba wakati wa maadhimisho ya kilele cha sherehe za Mei mosi zilizofanyika Kitaifa jijini Mwanza kwa mwaka huu wa mwisho wa utawala wake.
Dkt. Kikwete aliimba wimbo wa Bendi ya OSS (Ochestra Safari Sound) wenye mashairi yasemayo...

 

9 years ago

BBCSwahili

Waangalizi wa uchaguzi TZ waipinga ZEC

Waangalizi wa uchaguzi nchini Tanzania TEMCO wanashangazwa na hatua ya ZEC kudai uchaguzi visiwani humo haukuwa huru na haki.

 

10 years ago

BBCSwahili

Kikwete aahirisha hotuba yake.

Rais wa Tanzania, Jakaya Mrisho Kikwete ameahirisha kulihutubia taifa la nchi hiyo kama ilivyokuwa imetarajiwa .

 

11 years ago

Mwananchi

Wadau waipinga TFF kusimamisha tiketi za kielektroniki

>Wadau mbalimbali wamelalamikia kitendo cha  Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), kusimamisha matumizi ya tiketi za elektroniki badala kupambana na  changamoto hizo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani