Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kikwete, Dk. Kamani wawakuna wapinzani


NA PETER KATULANDA, BUSEGA
MADIWANI wa Chama cha UDP wilayani Busega, wamempongeza Rais Jakaya Kikwete na Mbunge wa Busega, Dk. Titus Kamani, kwa kuwaletea wananchi maendeleo ya kweli na kwamba wananchi hawana budi kuwaunga mkono.
Madiwani hao, Safari Jejeje wa Kata ya Ngasamo na James Yagaluka (Badugu), walitoa pongezi hizo kwa nyakati tofauti wakati wa ziara ya Dk. Kamani, ambaye pia ni Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi, ambapo walisema wana imani kubwa na serikali ya Rais Kikwete kwa...

Uhuru Newspaper

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

WAPINZANI WAIPINGA HOTUBA YA KIKWETE

Wenyeviti wa vyama vya upinzani nchini, kutoka kushoto ni James Mbatia (NCCR-Mageuzi), Freeman Mbowe (Chadema) na Profesa Ibrahim Lipumba (CUF). Dodoma.
Wenyeviti wa vyama vya Upinzani vya Chadema, Chama cha Wananchi (CUF) na Chama cha NCCR-Mageuzi, jana usiku walikutana ili kutoa kauli ya pamoja, kutokana na hotuba ya ufunguzi wa Bunge kwa maelezo kuwa tayari Rais amevuruga mchakato mzima wa kupata Katiba Mpya. Wakati...

 

10 years ago

Mwananchi

Kikwete: Wapinzani wataisoma namba

Mgombea urais kwa tiketi ya CCM, Dk John Magufuli, na mgombea mwenza, Samia Suluhu Hassan jana walichukua fomu kutoka Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), huku Rais Jakaya Kikwete akisema wapinzani wataisoma namba.

 

10 years ago

Vijimambo

DMV ALL STARS NA STREET INTELLIGENTS WAWAKUNA WANADMV

Ebra mmoja kutoka kundi la DMV all Stars akifanya vitu vyake wakati kundi lao walipovamia jukwaa kwa kuimba mtu mmoja mmoja Ebra akiimba kwa hisia kaliMr Tz akiwa jukwaaniMr. Tz akiwakosha mashabiki zake.
Mashabiki wakimtunza Mr. Tz wakati alipowakuna kwa wimbo wake wakati sherehe ya kuukaribisha mwaka ikiendelea DMV.Kijana Domi akiimba kwa hisiak kali Domi akiendelea kulishambulia jukwaa. AJ ubao akiwapagawisha wanDMV.DMV all Stars wakilishambulia jukwa Kundi la Street Intelligents likifanya...

 

10 years ago

Habarileo

Kamani ahamasisha kujiandikisha

WAZIRI wa Mifugo na Uvuvi Dk Titus Kamani amewaambia wananchi wa Mji wa Kahama kuwa ili Mbunge wa Jimbo Kahama James Lembeli arejee bungeni ni vyema wakajitokeza kwa wingi katika kujiandikisha katika daftari la kudumu la wapiga kura.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Dk. Kamani adaiwa kumdanganya JK

p>MBUNGE wa Busega mkoani Simiyu, Dk. Titus Kamani (CCM) anadaiwa kumdanganya Rais Jakaya Kikwete kuhusu utekelezaji wa miradi ya maendeleo jimboni mwake. Inadaiwa kwamba hivi karibuni Rais Kikwete akiwa ziarani...

 

10 years ago

Mtanzania

Dk. Chegeni ambwaga Waziri Kamani

KamaniNA JOHN MADUHU, MWANZA

MJUMBE wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. Raphael Chageni, amembwaga Waziri wa Mifugo na Maendeleo ya Uvuvi, Dk. Titus Kamani katika kura za maoni za kuomba kuteuliwa kuwania ubunge kwenye Jimbo la Busega mkoani Simiyu.

Hatua ya kushindwa kwa Dk. Kamani, ambaye pia ni Mwenyekiti wa CCM wa Mkoa wa Simiyu, imemfanya aungane na mawaziri na manaibu waziri wa Serikali ya Rais Jakaya Kikwete walioangukia pua katika mbio za kusaka kurejea katika...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wakulima, wafugaji wampongeza Kamani

WAZIRI wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi, Dk. Titus Kamani, amepokewa na ujumbe mzito kutoka kwa Chama cha Wavuvi na Wafugaji waliofika mkoani hapa. Dk. Kamani juzi alifanyiwa sherehe za...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Dk. Kamani: Tengeni maeneo ya mifugo

WAZIRI wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi, Dk. Titus Kamani, amezitaka halmashauri nchini kuangalia utaratibu mzuri wa kutenga maeneo ya mifugo na kuwa wasimamizi ili kuepusha migogoro inayotokea mara kwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani