Kamani ahamasisha kujiandikisha
WAZIRI wa Mifugo na Uvuvi Dk Titus Kamani amewaambia wananchi wa Mji wa Kahama kuwa ili Mbunge wa Jimbo Kahama James Lembeli arejee bungeni ni vyema wakajitokeza kwa wingi katika kujiandikisha katika daftari la kudumu la wapiga kura.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo Movies08 Jul
Johari Ahamasisha Kujiandikisha Kupiga Kura
Staa wa Bongo Movies, Blandina Chagula ‘Johari’ ambaye ni kada mwaminifu wa Chama cha Mapinduzi (CCM) amehamasisha watu wajitokeze kujiandijisha kwenye daftari la wapiga kura.
“Tujiandikishe kupiga kura” Johari aliandika hayo kwenye ukurasa wake kwenye mtandao wa instagram mara baada ya kuweka picha hiyo hapo juu akiwa Davina siku muigizaji mwezao Steve nyeye alipokuwa anatangaza nia ya kuwania ubunge wa jimbo la Kindondoni kupitia cha cha mapinduzi.
11 years ago
BBCSwahili30 May
Mtanzania ahamasisha dunia
11 years ago
Tanzania Daima22 Apr
Mbene ahamasisha uwekezaji maeneo ya EPZA
SERIKALI imewahamasisha wawekezaji wa ndani na nje kuwekeza kwa wingi katika maeneo ya Mamlaka ya Ukanda Maalumu wa Uwekezaji nchini (EPZA) kwa faida yao na ya nchi kwa ujumla. Naibu...
10 years ago
GPLSHIGONGO AHAMASISHA JINSI YA KUJIONGEZEA KIPATO
11 years ago
Habarileo03 Mar
Diwani Chadema ahamasisha utekelezaji wa Ilani ya CCM
DIWANI wa Kata ya Zombo wilaya ya Kilosa mkoani Morogoro, Issa Said Libenaga (Chadema), amesema haoni sababu ya kushindwa kusimamia utekelezaji wa Ilani ya CCM.
10 years ago
Habarileo07 Aug
Mwinyi ahamasisha uandishi wa vitabu kwa Kiswahili
RAIS mstaafu wa awamu ya pili, Ally Hassan Mwinyi amewataka wanazuoni kuandika vitabu vingi kwa lugha ya Kiswahili, kuwasaidia Watanzania kuelewa maudhui ya vitabu hivyo pamoja na kuchangia maendeleo ya nchi.
10 years ago
Mtanzania26 Jan
Butiku ahamasisha kura ya hapana Katiba Mpya
Na Shomari Binda, Musoma
WAJUMBE wa iliyokuwa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, wamewataka Watanzania kuikataa Katiba inayopendekezwa kwa kuwa haikuzingatia masilahi ya Watanzania.
Waliyasema hayo juzi katika ukumbi wa MCC, mjini Musoma kwenye mdahalo wa kujadili na kuelimisha wananchi kuhusiana na mchakato wa kupata Katiba Mpya na kuwataka kupiga kura ya hapana.
Akizungumza katika mdahalo huo, aliyekuwa Mjumbe wa Tume hiyo, Joseph Butiku, alisema mchakato wa kukusanya maoni ya Katiba,...
11 years ago
Tanzania Daima19 Feb
Wassira ahamasisha wananchi kudai daftari la wapiga kura
WATANZANIA wametakiwa kudai haki yao ya kuandaliwa daftari la kudumu la wapiga kura ili chaguzi zinazofanyika kuanzia sasa ziwe huru na halali. Kauli hiyo imetolewa mjini Arusha jana na mwanaharakati...
10 years ago
GPLTUNU PINDA AHAMASISHA WANAWAKE KUSHIRIKIANA ILI KUJIKOMBOA