Mbene ahamasisha uwekezaji maeneo ya EPZA
SERIKALI imewahamasisha wawekezaji wa ndani na nje kuwekeza kwa wingi katika maeneo ya Mamlaka ya Ukanda Maalumu wa Uwekezaji nchini (EPZA) kwa faida yao na ya nchi kwa ujumla. Naibu...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima28 Jun
EPZA yashawishi China maeneo ya uwekezaji
WAWEKEZAJI kutoka China wameshawishiwa kuwekeza katika maeneo ya Mamlaka ya Ukanda Maalumu wa Uwekezaji nchini (EPZA) ambayo yameshatengwa kwa ajili hiyo katika mikoa mbalimbali. Mkurugenzi Mkuu wa EPZA, Dk. Adelhelm...
9 years ago
VijimamboMbene; Akerwa na uchakavu wa Miundombinu Maeneo ya Viwanda
TANZANIA ni moja kati ya nchi ambayo ipo katika jitahada kubwa kuhakikisha kuwa inakuwa nchi ya viwanda ifikapo mwaka 2020.
Katika kufanikisha hili Tanzania imekuwa katika mipango ya kuhakikisha kuwa kunakuwepo na viwanda vidogo na vikubwa vinavyofanya kazi kwa ajili ya kuinua uchumu wa nchi.
Kwa kipindi zaidi ya miezi mitatu nimekuwa nikiambatana na Mhe. Janet Mbene, Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara katika ziara yake ya kutembelea viwanda mbalimbali hapa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-WJ4-br1CV2w/XpqGuetiRBI/AAAAAAALnUM/1wPMHh-E-74gAz1oCG6ZS93GPwcZh04aQCLcBGAsYHQ/s72-c/New%2BPicture.png)
Wavamizi wa maeneo ya Uwekezaji watakiwa kuondoka-TIC
Na Mwandishi wetu, Uvinza.
Mkurugenzi wa Kituo cha Uwekezaji Tanzania (TIC) Bw. Geoffrey Mwambe amesema ipo haja kwa watu waliovamia maeneo yaliyotengwa kwa ajili ya Uwekezaji yanayomilikiwa na Kituo hicho kuondoka ili kupisha shughuli zilizotengwa kwa matumizi ya maeneo hayo.
Maeneo hayo yaliyovamiwa tayari yametengwa na Serikali kwa ajili ya uwekezaji wa kilimo kikubwa cha michikichi na kumilikishwa TIC ikiwepo shamba Na. 205 lenye ukubwa wa hekta 3,249.76 lililopo eneo la Basanza na...
10 years ago
MichuziWAFANYABIASHARA NA WAWEKEZAJI KUTOKA UBELGIJI WATEMBELEA MAENEO YA UWEKEZAJI BAGAMOYO
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-u0HRqSLDfeI/XlZNlPa9EsI/AAAAAAALfhM/PoB9gRuwYPYzTTyA6tmbtA97Zdgh6r3GwCLcBGAsYHQ/s72-c/UWEKEZAJI%2B1.jpg)
NAIBU WAZIRI MABULA ATAKA HALMASHAURI KUTENGA MAENEO YA UWEKEZAJI
Na Munir Shemweta, WANMM SIMIYUNAIBU Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt Angeline Mabula amezitaka halmashauri nchini kuanza kupanga maeneo ya uwekezaji katika sehemu ambazo miji inakuwa kwa kasi.
Dkt Mabula alisema hayo jana katika mkutano wa Mashauriano baina ya Serikali na sekta binafsi kuhusiana na changamoto za uwekezaji katika mkoa wa Simiyu.Alisema, kuna maeneo mengi nchini ambayo miji inaendelea kwa kasi hivyo halmashauri kupitia Wakurugenzi wake zinapaswa kuhakikisha...
Dkt Mabula alisema hayo jana katika mkutano wa Mashauriano baina ya Serikali na sekta binafsi kuhusiana na changamoto za uwekezaji katika mkoa wa Simiyu.Alisema, kuna maeneo mengi nchini ambayo miji inaendelea kwa kasi hivyo halmashauri kupitia Wakurugenzi wake zinapaswa kuhakikisha...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-AxZjMpHFSfo/UvtRWM56tGI/AAAAAAAFMg8/NSMeIuJORtI/s72-c/20140212_132706.jpg)
Maandalizi ya Kongamano la Uwekezaji katika Maeneo ya Kanda ya Ziwa yanaendelea
![](http://4.bp.blogspot.com/-AxZjMpHFSfo/UvtRWM56tGI/AAAAAAAFMg8/NSMeIuJORtI/s1600/20140212_132706.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-4sL00jsJlOM/UvtR5Envc9I/AAAAAAAFMhY/Qnvns1C7erw/s1600/20140212_133234.jpg)
10 years ago
MichuziTanzania na China kuendeleza ushirikiano katika Maeneo Maalum ya Uwekezaji
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Gfi_2F-9b98/Xk0QZFKrGeI/AAAAAAAAIHs/NCj9Um7bAlkffrTw_W_fUn62JfoFOv3EQCEwYBhgL/s72-c/IMG_20200219_121056_052_1582103530257.jpg)
BARAZA LA MADIWANI HALMASHAURI YA JIJI LA ARUSHA YATAKA UWEKEZAJI KWENYE VILIMA Na MAENEO YA WAZI
![](https://1.bp.blogspot.com/-Gfi_2F-9b98/Xk0QZFKrGeI/AAAAAAAAIHs/NCj9Um7bAlkffrTw_W_fUn62JfoFOv3EQCEwYBhgL/s640/IMG_20200219_121056_052_1582103530257.jpg)
Aidha Baraza hilo likataka Taarifa za mikopo ilivyotolewa na fedha zilizorejeshwa na kuainishwa vikundi na kundi maalumu walionufaika na mikopo ya vijana na kinamama.
Akiongea kwenye kikao hicho Diwani wa kata ya Muriet Mbise alisema taarifa hiyo ipo sawa hivyo waendelee na mjadala...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-AvvQL4E7qqI/U-j-6Mjv7SI/AAAAAAAF-mY/kxJYszc06Bw/s72-c/unnamed+(16).jpg)
MKURUGENZI MKUU WA WA PPF AFANYA MAZUNGUMZO YA AWALI KUHUSU UWEKEZAJI KATIKA MAENEO YA JESHI LA MAGEREZA MKOA WA DAR ES SALAAM NA MTWARA
![](http://2.bp.blogspot.com/-AvvQL4E7qqI/U-j-6Mjv7SI/AAAAAAAF-mY/kxJYszc06Bw/s1600/unnamed+(16).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/--NYvSkTbaoM/U-j-6StigVI/AAAAAAAF-mU/89Cv7ooNlUk/s1600/unnamed+(17).jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania