MKURUGENZI MKUU WA WA PPF AFANYA MAZUNGUMZO YA AWALI KUHUSU UWEKEZAJI KATIKA MAENEO YA JESHI LA MAGEREZA MKOA WA DAR ES SALAAM NA MTWARA
![](http://2.bp.blogspot.com/-AvvQL4E7qqI/U-j-6Mjv7SI/AAAAAAAF-mY/kxJYszc06Bw/s72-c/unnamed+(16).jpg)
Kamishna Jenerali wa Jeshi la Magereza Nchini, John Casmir Minja(kushoto) akimuonesha Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Pensheni wa PPF, Bw. William Erio eneo linalofaa Uwekezaji wa Hoteli kubwa ya Kimataifa lililopo Ukonga, Dar es Salaam. Mkurugenzi Mkuu wa PPF amefanya mazungumzo ya Awali na Kamishna Jenerali wa Jeshi la Magereza kuhusu Uwekezaji katika maeneo ya Jeshi la Magereza leo Agosti 11, 2014 Jijini Dar es Salaam.
Kamishna Jenerali wa Jeshi la Magereza Nchini John Casmir Minja akiagana...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-tCHSxHsOlQc/U-h9kfP1aBI/AAAAAAAF-SA/sx32R0rLgiE/s72-c/image.jpeg)
MKURUGENZI MKUU WA MFUKO WA PENSHENI WA PPF AFANYA MAZUNGUMZO YA AWALI KUHUSU UWEKEZAJI KATIKA MAENEO YA JESHI LA MAGEREZA MKOA WA DAR ES SALAAM NA MTWARA
![](http://3.bp.blogspot.com/-tCHSxHsOlQc/U-h9kfP1aBI/AAAAAAAF-SA/sx32R0rLgiE/s1600/image.jpeg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-iJR6uhxikZ8/U-h909CXsEI/AAAAAAAF-Sg/aRqI1pyXc2w/s1600/image_1.jpeg)
10 years ago
MichuziMkurugenzi Mkuu na Mwendeshaji Mkuu wa Benki ya Dunia afanya ziara katika Bandari ya Dar es Salaam
11 years ago
Dewji Blog03 Jul
Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Pensheni wa PPF atembelea banda la PPF kujionea utendaji kazi wa PPF katika maonyesho ya Sabasaba
Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Pensheni wa PPF, Mh William Erio akisalimiana na mmoja wa wafanyakazi wa Mfuko huo wakati alipotembelea Banda laa PPF kujionea utendaji kazi wa Wafanyakazi wake katika maonyesho ya 38 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar Es Salaam yanayoendelea kufanyika katika Viwanja vya Mwl Nyerere.
Mkurugenzi Mkuu wa mfuko wa Pensheni wa PPF, Mh William Erio akiteta jambo na wafanyakazi wa PPF wakati alipotembelea Banda la PPF kujionea utendaji kazi wa Wafanyakazi wake. Kulia ni...
11 years ago
GPLMKURUGENZI MKUU WA MFUKO WA PENSHENI WA PPF, MH WILLIAM ERIO ATEMBELEA BANDA LA PPF KUJIONEA UTENDAJI KAZI WA PPF KATIKA MAONYESHO YA SABASABA
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-xgHRVfAY0gA/U-Gt7flVuiI/AAAAAAAF9cs/x7bAmViW4CM/s72-c/image_1.jpeg)
MKUU WA MKOA WA MTWARA ATEMBELEA BANDA LA JESHI LA MAGEREZA MAONESHO YA NANE NANE KITAIFA, MKOANI LINDI
![](http://1.bp.blogspot.com/-xgHRVfAY0gA/U-Gt7flVuiI/AAAAAAAF9cs/x7bAmViW4CM/s1600/image_1.jpeg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-mDrhqtHwDcM/U-Gt7fffeHI/AAAAAAAF9cw/eaYGxQucySI/s1600/image_2.jpeg)
10 years ago
MichuziRais Kikwete afanya mazungumzo na Waziri Mkuu wa Ethiopia Ikulu Dar es salaam
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-LDK-DUlERPE/U7hTzehHzTI/AAAAAAAFvP4/olP9OZR1a6U/s72-c/unnamed+(7).jpg)
JK ATEMBELEA BANDA LA JESHI LA MAGEREZA KATIKA MAONESHO YA 38 YA BIASHARA YA KIMATAIFA, LEO JIJINI DAR ES SALAAM
![](http://4.bp.blogspot.com/-LDK-DUlERPE/U7hTzehHzTI/AAAAAAAFvP4/olP9OZR1a6U/s1600/unnamed+(7).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-DmV-HR2gbng/U7hTz0fZsYI/AAAAAAAFvP8/DswuNAZxQI4/s1600/unnamed+(8).jpg)
10 years ago
VijimamboKAMISHNA JENERALI WA MAGEREZA MINJA AWAONGOZA WAOMBOLEZAJI KUUAGA MWILI WA ALIYEKUWA AFISA MNADHIMU MKUU MSAIDIZI WA JESHI LA MAGEREZA, JIJINI DARES SALAAM
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-VVBi9iKpbLk/U7RTRNfR7II/AAAAAAAFucM/49WPOh27U8o/s72-c/unnamed.jpg)
JESHI LA MAGEREZA LAIBUKA MSHINDI WA KWANZA KATIKA UTENGENEZAJI BORA WA SAMANI ZA NDANI MAONESHO YA 38 YA BIASHARA YA KIMATAIFA, JIJINI DAR ES SALAAM
![](http://4.bp.blogspot.com/-VVBi9iKpbLk/U7RTRNfR7II/AAAAAAAFucM/49WPOh27U8o/s1600/unnamed.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-l1ZxiV7v-3k/U7RTe_keIlI/AAAAAAAFucU/6zhDREvHAjc/s1600/unnamed+(5).jpg)