Mbene; Akerwa na uchakavu wa Miundombinu Maeneo ya Viwanda
Na Humphrey Shao, Dar es Salaam
TANZANIA ni moja kati ya nchi ambayo ipo katika jitahada kubwa kuhakikisha kuwa inakuwa nchi ya viwanda ifikapo mwaka 2020.
Katika kufanikisha hili Tanzania imekuwa katika mipango ya kuhakikisha kuwa kunakuwepo na viwanda vidogo na vikubwa vinavyofanya kazi kwa ajili ya kuinua uchumu wa nchi.
Kwa kipindi zaidi ya miezi mitatu nimekuwa nikiambatana na Mhe. Janet Mbene, Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara katika ziara yake ya kutembelea viwanda mbalimbali hapa...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLNAIBU WAZIRI WA VIWANDA NA BIASHARA ,JANET MBENE ATEMBELEA VIWANDA VYA GENERAL TYRE NA A TO Z JIJINI ARUSHA
11 years ago
Tanzania Daima22 Apr
Mbene ahamasisha uwekezaji maeneo ya EPZA
SERIKALI imewahamasisha wawekezaji wa ndani na nje kuwekeza kwa wingi katika maeneo ya Mamlaka ya Ukanda Maalumu wa Uwekezaji nchini (EPZA) kwa faida yao na ya nchi kwa ujumla. Naibu...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-kZWshGTqeZM/VOvY7bU4O1I/AAAAAAAHFfw/Zgb1L4YIGkQ/s72-c/unnamed%2B(30).jpg)
NAIBU WAZIRI WA VIWANDA NA BIASHARA MHE JANET MBENE AKUTANA NA WAFANYABIASHARA LONDON
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-uWi8FYbX_4M/XsEtg-Afv5I/AAAAAAALqjY/HT_0yhxmbGEpX5psR7dDDYH1Ut1W_3ZMACLcBGAsYHQ/s72-c/1.-1-768x509.jpg)
NAIBU WAZIRI WA MALIASILI NA UTALII KANYASU AKERWA NA WAVAMIZI WA MAENEO YA HIFADHI
![](https://1.bp.blogspot.com/-uWi8FYbX_4M/XsEtg-Afv5I/AAAAAAALqjY/HT_0yhxmbGEpX5psR7dDDYH1Ut1W_3ZMACLcBGAsYHQ/s640/1.-1-768x509.jpg)
Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Constantine Kanyasu akioneshwa eneo na Afisa Wanyamapori wa Wilaya ya Babati, Felix Mwasenga katika Ushoroba wa Kwakuchinja ambao ni muhimu kwa mapito ya wanyamapori wanaotoka katika Hifadhi ya Taifa ya Tarangire kuelekea HIfadhi ya Taifa ya Ziwa Manyara ukiwa umevamiwa na baadhi ya wananchi wanaoendesha shughuli za kibinadamu katika wilaya ya Babati mkoani Manyara. Katikati ni Mkuu wa wilaya ya Babati, Mhe, Elizabeth Kitundu
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/2-2-1-1024x678.jpg)
Naibu Waziri wa...
10 years ago
VijimamboNaibu waziri wa Viwanda na Biashara Janet Mbene atembeleakiwanda cha kutengeneza vigae cha mkoani mbeya
10 years ago
MichuziNAIBU WAZIRI WA VIWANDA NA BIASHARA JANET MBENE ATEMBELEA KIWANDA CHA KUTENGENEZA VIGAE CHA MKOANI MBEYA
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Aku_9jGbS9Y/U4edo3anQ8I/AAAAAAACid4/7nw9Ok4wBU0/s72-c/6.jpg)
KINANA AKERWA NA UPORAJI WA MAENEO YA WANANCHI KUTOKA KWA BAADHI YA VIONGOZI WA CHAMA NA SERIKALI WILAYANI BABATI VIJIJINI
![](http://2.bp.blogspot.com/-Aku_9jGbS9Y/U4edo3anQ8I/AAAAAAACid4/7nw9Ok4wBU0/s1600/6.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-yP6-KfuMVvg/XncHKzjNDPI/AAAAAAALkrg/vHaNepjB8-Q6ox1yNf_OqZSE1Zzdfw29wCLcBGAsYHQ/s72-c/8e613680-6aa0-4c21-825d-d60cdce33be9.jpg)
WAZIRI KAMWELWE AWAAGIZA MAMENEJA WA TANROADS KUIMARISHA UKAGUZI WA MIUNDOMBINU KATIKA MAENEO YAO
Charles James, Globu ya Jamii
KUTOKANA na mvua kali ambazo zinaendelea kunyeesha katika maeneo mbalimbali nchini, Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Mhandisi Isack Kamwelwe amewaagiza mameneja wote wa TANROADS nchini kuimarisha miundombinu ya barabara na madaraja kwenye maeneo yao.
Agizo hilo pia limeenda kwa Mamlaka za hali ya news nchini kuhakikisha wanatoa taarifa za hali ya hewa hususani za mvua mara kwa mara kwa wananchi.
Waziri Kamwelwe pia ametoa wito kwa wananchi wote kuchukua...