WAZIRI KAMWELWE AWAAGIZA MAMENEJA WA TANROADS KUIMARISHA UKAGUZI WA MIUNDOMBINU KATIKA MAENEO YAO
![](https://1.bp.blogspot.com/-yP6-KfuMVvg/XncHKzjNDPI/AAAAAAALkrg/vHaNepjB8-Q6ox1yNf_OqZSE1Zzdfw29wCLcBGAsYHQ/s72-c/8e613680-6aa0-4c21-825d-d60cdce33be9.jpg)
Charles James, Globu ya Jamii
KUTOKANA na mvua kali ambazo zinaendelea kunyeesha katika maeneo mbalimbali nchini, Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Mhandisi Isack Kamwelwe amewaagiza mameneja wote wa TANROADS nchini kuimarisha miundombinu ya barabara na madaraja kwenye maeneo yao.
Agizo hilo pia limeenda kwa Mamlaka za hali ya news nchini kuhakikisha wanatoa taarifa za hali ya hewa hususani za mvua mara kwa mara kwa wananchi.
Waziri Kamwelwe pia ametoa wito kwa wananchi wote kuchukua...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-JjlrjOWX1qc/Vl7Knas61FI/AAAAAAADDIg/vlG__SBzO3M/s72-c/OTH_3308.jpg)
BALOZI SEFUE AWAAGIZA WATUMISHI WA UMMA KUVAA BEJI ZENYE MAJINA YAO WAWAPO KATIKA MAENEO YAO YA KAZI
![](http://2.bp.blogspot.com/-JjlrjOWX1qc/Vl7Knas61FI/AAAAAAADDIg/vlG__SBzO3M/s640/OTH_3308.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-D0qj5GQeaI4/Vl7KmA7BGHI/AAAAAAADDIY/e9jKFKxGbiM/s640/OTH_3304.jpg)
Katibu Mkuu Kiongozi Mhe. Balozi Ombeni Sefue akiwaonyesha waandishi wa Habari (hawapo pichani) beji yenye jina lake ambayo amewaagiza watumishi wa Umma kuivaa wanapokuwa katika maeneo yao ya kazi. Balozi Sefue alifanya mkutano na waandishi wa habari Ikulu jijini Dar es Salaam jana na kutoa taarifa ya Serikali kuhusu kesi ya Serious Fraud Office (SFO) dhidi ya Standard Bank.
5 years ago
MichuziKAMWELWE AWANOA TEMESA NA TANROADS
Kamwelwe ametoa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-A2BlwSeE8XA/XmfWyrE3RpI/AAAAAAALifY/5Evti4SLmigpLaGGS-w-NhjGoR7LzE8zwCLcBGAsYHQ/s72-c/1-26.jpg)
MAJALIWA ATOA AGIZO KWA MAMENEJA WA TANROADS NCHINI
![](https://1.bp.blogspot.com/-A2BlwSeE8XA/XmfWyrE3RpI/AAAAAAALifY/5Evti4SLmigpLaGGS-w-NhjGoR7LzE8zwCLcBGAsYHQ/s640/1-26.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/3-23.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-nq-Bq0UGzew/Xs06TISBecI/AAAAAAALrp0/Ru9FypGHwgMBx6w9gFEYEBHU89x-79iuACLcBGAsYHQ/s72-c/691e059f-77aa-4222-9545-832e5d6f3b51.jpg)
AFISA TARAFA ITISO AWATAKA MAAFISA UGANI NA WATENDAJI WA KATA KUWATAMBUA WAKULIMA WA UFUTA KATIKA MAENEO YAO
AFISA Tarafa wa Tarafa ya Itiso Wilaya ya Chamwino, Remedius Emmanuel amesema serikali ina nia njema ya kuwasaidia wakulima kupitia mfumo wa Stakabadhi ghalani kwenye zao la ufuta.
Remedius ameyasema hayo leo katika mkutano wake na wananchi wa Tarafa yake uliolenga kujenga uelewa wa pamoja na kutoa ufafanuzi juu ya azma ya Wakala wa Taifa was Hifadhi ya Chakula (NFRA) kuweka kituo cha kununulia mahindi katika Tarafa hiyo.
NFRA wameweka kituo hiko kwenye Kijiji cha...
9 years ago
Dewji Blog03 Dec
Mhe. Balozi Sefue aendelea kuwasisitiza watumishi wa umma kuvaa beji zinazowatambulisha majina yao wanapokuwa katika maeneo ya kazi
Katibu Mkuu Kiongozi Mhe. Balozi Ombeni Sefue akiwaonyesha waandishi wa Habari (hawapo pichani) beji yenye jina lake ambayo amewaagiza watumishi wa Umma kuivaa wanapokuwa katika maeneo yao ya kazi. Balozi Sefue alifanya mkutano na waandishi wa habari Ikulu jijini Dar es Salaam jana na kutoa taarifa ya Serikali kuhusu kesi ya Serious Fraud Office (SFO) dhidi ya Standard Bank. (Picha na Maelezo).
Na Anna Nkinda – Maelezo
Katibu Mkuu Kiongozi Mhe. Balozi Ombeni Sefue ameendelea...
10 years ago
Dewji Blog21 Jun
Waziri wa Fedha afanya ukaguzi wa matumizi wa mashine za EFD katika maduka mkoani Dodoma
Mh.Waziri wa Fedha Saada M. Salum (MB) akimsikiliza msimamizi wa duka la Salome Furniture wakati akijitetea baada ya kukutwa anafanya biashara bila ya kutumia mashine ya EFD.
Mh.Waziri wa Fedha Saada Mkuya Salum amefanya ukaguzi wa ghafla katika baadhi ya maduka Mkoani Dodoma ili kuona kama maelekezo ya Serikali kuhusu matumizi ya mashine za EFD yanatekelezwa ipasavyo.
Katika ukaguzi huo ambao ulihusisha maduka ya kuuza thamani za majumbani,nguo na maduka ya kuuza bidhaa mchanganyiko (Min...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-IaHY1BPbjS8/XnC6tExt6_I/AAAAAAALkFg/mErjmIPqdIswBdpa-Jf-LtOcmCz8SKA_QCLcBGAsYHQ/s72-c/DSC_0987.jpg)
Waziri Hassunga aahidi ushirikiano na TAHA katika kuimarisha tasnia ya horticulture
Akitoa maelezo mafupi kuhusu tasnia hiyo kwa Mhe. Waziri, Afisa Mkuu Mtendaji wa TAHA Dkt. Jacqueline Mkindi amemweleza waziri jitihada zilizofanywa na taasisi hiyo katika kukuza tasnia ya horticulture tangu kuanzishwa...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-_l_AMO6a8fQ/VbpJauxvo9I/AAAAAAAHs1M/j8eW02gbcbo/s72-c/Untitled1.png)
BODI YA TPDC YAKAMILISHA UKAGUZI WA MIUNDOMBINU YA GESI ASILIA
![](http://2.bp.blogspot.com/-_l_AMO6a8fQ/VbpJauxvo9I/AAAAAAAHs1M/j8eW02gbcbo/s640/Untitled1.png)
11 years ago
Mwananchi27 Jan
Waziri awaagiza wakurugenzi