KAMWELWE AWANOA TEMESA NA TANROADS
Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Mhandisi Isack Kamwelwe, amewaagiza Wakala wa Ufundi na Umeme (TEMESA), kuhakikisha kuwa magari yote ya Serikali yanayotengenezwa katika karakana zao hayaibui matatizo na kuzua malamiko kwa mshitiri mara baada ya kutengenezwa.Kamwelwe ametaja malalamiko hayo kuwa ni TEMESA kutotengeneza magari kwa umakini pamoja na gharama za matengenezo kuwa kubwa ukilinganisha na watoaji wengine wa huduma za matengenezo na ufundi wa mitambo.
Kamwelwe ametoa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-yP6-KfuMVvg/XncHKzjNDPI/AAAAAAALkrg/vHaNepjB8-Q6ox1yNf_OqZSE1Zzdfw29wCLcBGAsYHQ/s72-c/8e613680-6aa0-4c21-825d-d60cdce33be9.jpg)
WAZIRI KAMWELWE AWAAGIZA MAMENEJA WA TANROADS KUIMARISHA UKAGUZI WA MIUNDOMBINU KATIKA MAENEO YAO
Charles James, Globu ya Jamii
KUTOKANA na mvua kali ambazo zinaendelea kunyeesha katika maeneo mbalimbali nchini, Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Mhandisi Isack Kamwelwe amewaagiza mameneja wote wa TANROADS nchini kuimarisha miundombinu ya barabara na madaraja kwenye maeneo yao.
Agizo hilo pia limeenda kwa Mamlaka za hali ya news nchini kuhakikisha wanatoa taarifa za hali ya hewa hususani za mvua mara kwa mara kwa wananchi.
Waziri Kamwelwe pia ametoa wito kwa wananchi wote kuchukua...
10 years ago
Habarileo17 May
Sumaye awanoa vijana
WAZIRI Mkuu Mstaafu, Frederick Sumaye amewataka vijana nchini kujitokeza kwa wingi kujiandikisha katika Daftari la Kudumu la Wapigakura ili wapate fursa ya kuchagua viongozi wanaowataka, lakini pia wanaoamini watakuwa suluhisho ya kero nyingi walizonazo wananchi.
11 years ago
Tanzania Daima30 Jul
Mtanzania awanoa mafundi Zesco
SHIRIKA la Umeme la Zambia (Zesco), limeanza kutumia teknolojia ya kufanya ukarabati wa njia za umeme bila kuzima baada ya wafanyakazi wake kuhitimu mafunzo yaliyokuwa yakitolewa na mtaalamu kutoka Tanzania,...
11 years ago
Tanzania Daima02 Jul
Mlinzi wa Rais Gabon awanoa walimu wa Taekwondo Arusha
ALIYEWAHI kuwa mlinzi wa Rais wa zamani wa Gabon, Omar Bongo, Jin Yung Kim, ameanza kuwanoa walimu wa mchezo wa taekwondo mjini Arusha katika mafunzo yaliyoanza juzi. Awali Shirikisho la...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-obDdyTvAT0s/Xm4RFrBcu4I/AAAAAAALjug/e64-1wDCrKUJG9soicEL6x6A9Ab_idB3wCLcBGAsYHQ/s72-c/bed4eb2d-e17e-4865-ac9c-5c3fc5a8d593.jpg)
KAMWELWE ATAKA MPANGO KAZI DARAJA LA KIYEGEYA
![](https://1.bp.blogspot.com/-obDdyTvAT0s/Xm4RFrBcu4I/AAAAAAALjug/e64-1wDCrKUJG9soicEL6x6A9Ab_idB3wCLcBGAsYHQ/s640/bed4eb2d-e17e-4865-ac9c-5c3fc5a8d593.jpg)
mkoani Morogoro. Daraja hilo lilikatika tarehe 2 Machi mwaka huu kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha nchini
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/f0b6339f-9c77-47ae-9d69-3ef7974996e3.jpg)
Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Mhandisi Isack Kamwelwe, akisisitiza jambo kwa wahandisi kutoka Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS), wakati akikagua maendeleo ya...
11 years ago
Tanzania Daima22 Apr
Temesa imezubaa: Magufuli
WAKALA wa Ufundi na Umeme (Temesa) umetakiwa kuongeza kasi katika kutekeleza majukumu yake ili kurahisisha utendaji kwa wananchi na serikali. Rai hiyo imetolewa na Waziri wa Ujenzi, John Magufuli, alipokuwa...
5 years ago
MichuziBREAKING: ANGA LA TANZANIA SASA RASMI KUTUMIKA - WAZIRI MHANDISI KAMWELWE
Mkurugenzi wa Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA), Hamza Johari (kushoto) na Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Nchini, Mhandisi Julius Ndyamukana (kulia), wakimsikiliza Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Mhandisi...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/--mVlYJYu1b0/Xra8L_xNOSI/AAAAAAAAJ78/0bZjiSpzGEYnWtmcX0-en2NgFoD5_ox8gCLcBGAsYHQ/s72-c/Screenshot%2B2020-05-09%2Bat%2B17.20.03.png)
WAZIRI KAMWELWE AZINDUA MFUMO WA TIKETI MTANDAO LEO JIJINI DAR
![](https://1.bp.blogspot.com/--mVlYJYu1b0/Xra8L_xNOSI/AAAAAAAAJ78/0bZjiSpzGEYnWtmcX0-en2NgFoD5_ox8gCLcBGAsYHQ/s640/Screenshot%2B2020-05-09%2Bat%2B17.20.03.png)
Waziri Kamwelwe amezindua mfumo huo jijini Dar Es salaam ambapo amesema kuwa mfumo huo uliotengenezwa na Kituo cha Taifa cha Kutunza Taarifa (NIDC) utasaidia kupunguza msongamano katika vituo na kurahisisha huduma ya...
10 years ago
Tanzania Daima28 Oct
Askari wa Temesa watupiwa lawama
LICHA ya Waziri wa Ujenzi, Dk. John Magufuli, kuruhusu upigaji picha katika eneo la kivuko na ndani, askari wa Wakala wa Ufundi na Umeme (Temesa) wameendelea kukataza na kuwachukulia hatua...