Temesa imezubaa: Magufuli
WAKALA wa Ufundi na Umeme (Temesa) umetakiwa kuongeza kasi katika kutekeleza majukumu yake ili kurahisisha utendaji kwa wananchi na serikali. Rai hiyo imetolewa na Waziri wa Ujenzi, John Magufuli, alipokuwa...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/--WS24gbdSe0/U72e2D9dMRI/AAAAAAAF0Pc/vMgbdz_lS5E/s72-c/unnamed+(58).jpg)
DKT.MAGUFULI AENDELEA NA ZIARA MWANZA NA SINGIDA AZINDUA KIVUKO CHA MV.TEMESA NA KUKAGUA DARAJA LA MBUTU
5 years ago
MichuziKAMWELWE AWANOA TEMESA NA TANROADS
Kamwelwe ametoa...
10 years ago
Tanzania Daima28 Oct
Askari wa Temesa watupiwa lawama
LICHA ya Waziri wa Ujenzi, Dk. John Magufuli, kuruhusu upigaji picha katika eneo la kivuko na ndani, askari wa Wakala wa Ufundi na Umeme (Temesa) wameendelea kukataza na kuwachukulia hatua...
11 years ago
Habarileo08 Jan
Meneja wa Temesa kupewa barua ya onyo
KIKAO cha Bodi ya Barabara mkoani Mwanza kimeazimia kumwandikia barua ya onyo Meneja wa Wakala wa Ufundi na Umeme (Temesa) Mkoa wa Mwanza, Amon Senkoro kwa madai ya kudharau kutekeleza maagizo yaliyotolewa na kikao kilichofanyika Machi 21, mwaka huu.
9 years ago
TheCitizen25 Nov
Sh9bn new ferries coming, Temesa reveals
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-hVRn70qMhgQ/VTOnpvmYHvI/AAAAAAAHR_M/lagRLCTOqaE/s72-c/New%2BPicture%2B(3).jpg)
TEMESA YATAKIWA KULIKABILI SOKO LA USHINDANI NCHINI
![](http://2.bp.blogspot.com/-hVRn70qMhgQ/VTOnpvmYHvI/AAAAAAAHR_M/lagRLCTOqaE/s1600/New%2BPicture%2B(3).jpg)
Akizungumza na Menejimenti ya TEMESA jijini Dar es salaam leo, Eng. Iyombe amesisitiza Wakala huo kuwa na wafanyakazi wenye weledi, waliokabidhiwa mamlaka kamili na wabunifu ili kuhuisha huduma zinazotolewa kwa wananchi na kujiongezea mapato.
“Hakikisheni mnatumia...
10 years ago
StarTV08 Jan
Umaskini watumishi wa TEMESA wachangia wizi wa mafuta.
Na Rogers Wilium,
Mwanza.
Waziri wa Ujenzi Dokta John Magufuli amesema umaskini miongoni mwa watumishi wa wakala wa ufundi na umeme TEMESA unawafanya kuwa wezi wa mafuta ya feri na fedha za ushuru nchini.
Kauli hiyo imekuja baada ya Waziri Magufuli kuzindua mfumo wa kielekriniki wa ukatishaji tikiti katika Kivuko cha Kigongo Busisi mkoani Mwanza mfumo ambapo umeongeza mapato kwa zaidi ya asilimia 40.
Moja ya vivuko vikongwe nchini Tanzania ni Kivuko cha Kigongo Busisi mkoani...
5 years ago
MichuziWAZIRI MKUU AWASIMAMISHA KAZI WATUMISHI WATATU TEMESA
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amewasimamisha kazi watumishi watatu wa Wakala wa Ufundi na Umeme (TEMESA) kwa tuhuma za kuhusika na upotevu wa sh. milioni 780 zinazotokana na zabuni.
Vile vile, Waziri Mkuu ametoa muda wa miezi miwili kwa taasisi zote za Serikali zinazodaiwa na TEMESA kiasi cha sh. bilioni 25.88 ziwe zimeshalipa na iwapo kuna taasisi itashindwa kulipa deni lake hadi Julai 30,...
10 years ago
MichuziMAFUNDI SANIFU (TEMESA) WAFUNDWA KUHUSU USIMAMIZI NA UKAGUZI WA MAZINGIRA, MOROGORO