TEMESA YATAKIWA KULIKABILI SOKO LA USHINDANI NCHINI
![](http://2.bp.blogspot.com/-hVRn70qMhgQ/VTOnpvmYHvI/AAAAAAAHR_M/lagRLCTOqaE/s72-c/New%2BPicture%2B(3).jpg)
Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi Eng. Mussa Iyombe amezungumzia umuhimu wa Wakala wa Ufundi na Umeme nchini (TEMESA) kutangaza huduma wanazozitoa kwa wananchi ili jamii iweze kunufaika na huduma hizo kwa wakati na gharama nafuu.
Akizungumza na Menejimenti ya TEMESA jijini Dar es salaam leo, Eng. Iyombe amesisitiza Wakala huo kuwa na wafanyakazi wenye weledi, waliokabidhiwa mamlaka kamili na wabunifu ili kuhuisha huduma zinazotolewa kwa wananchi na kujiongezea mapato.
“Hakikisheni mnatumia...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo510 Oct
Queen Darleen ahofia kutoa nyimbo mpya kutokana na ushindani kwenye soko la muziki
10 years ago
Habarileo19 May
Makampuni ya mafuta yatakiwa yatosheleze soko la ndani - Pinda
WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda ameyataka makampuni yanayojihusisha na mafuta na gesi nchini, kuhakikisha yanatimiza mahitaji ya Soko la Ndani na ukanda wa Afrika Mashariki kabla ya kufikia Soko la Nje.
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-0M5Ysqb1PEw/VJFs2y4zipI/AAAAAAAG3zo/BQZr-p2hhEQ/s72-c/unnamed%2B(12).jpg)
VETA WAMETAKIWA KUHAKIKISHA WANAANDAA WANAFUNZI WA HOTELI NA UTALII WENYE VIWANGO VYA KIMATAIFA ILI KUKABILIANA NA USHINDANI WA SOKO ULIOPO
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-I2bHlztVBQc/Vc5NuUK4vcI/AAAAAAAHw2s/BXzHvJfdprE/s72-c/unnamed%2B%252822%2529.jpg)
Waziri Mwandosya afanya ziara Tume ya Ushindani na Baraza la Ushindani
![](http://1.bp.blogspot.com/-I2bHlztVBQc/Vc5NuUK4vcI/AAAAAAAHw2s/BXzHvJfdprE/s640/unnamed%2B%252822%2529.jpg)
Tume ya Ushindani(Fair Competition Commission-FCC) imeanzishwa kwa mujibu wa Sheria ya Ushindani ya mwaka 2003. Madhumuni makubwa ya uwepo wa Tume ni kukuza na kulinda ushindani wa haki katika biashara na kumlinda mtumiaji wa...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-yApo9KF-Qik/VRaRmUpVT4I/AAAAAAAHNxI/qg17vVEUyp0/s72-c/unnamed%2B(40).jpg)
TUME YA USHINDANI NCHINI (FCC) YAKAMATA BIDHAA BANDIA JIJINI ARUSHA
![](http://3.bp.blogspot.com/-yApo9KF-Qik/VRaRmUpVT4I/AAAAAAAHNxI/qg17vVEUyp0/s1600/unnamed%2B(40).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-p-VQIhXUI4I/VRaRmTBd-4I/AAAAAAAHNxA/AJzJVxQGnfQ/s1600/unnamed%2B(41).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-eY8dgAigWYs/VRaRmaKzDlI/AAAAAAAHNxE/Yn4ohf4p3hI/s1600/unnamed%2B(42).jpg)
10 years ago
Dewji Blog18 Sep
Baraza la ushindani: Tutumieni kwa manufaa ya Taifa na ustawi wa uchumi nchini
Mkuu wa Kitengo cha Masuala ya Uchumi wa Baraza la Ushindani (FCT) Bw. Nzinyangwa Mchany akiwaeleza waandishi wa Habari (Hawapo pichani)Kuhusu majukumu ya Baraza hilo na kutoa wito kwa wananchi kulitumia baraza hilo pale itakapohitajika kwa madhumuni ya ustawi wa uchumi wa Jamii na Taifa kwa ujumla.wakati wa Mkutano uliofanyika leo Jijini Dar es Salaam. Kushoto ni Afisa Sheria wa Baraza hilo Bi. Hafsa Said.(Picha na Hassan Silayo MAELEZO).
Na Hassan Silayo-MAELEZO
Baraza la ushindani...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-8_J0KkJVl10/VKOc8rq_jpI/AAAAAAAG6rg/oYmVgtjrSWI/s72-c/unnamed%2B(31).jpg)
Serikali yatakiwa kusitisha uporomokaji wa bei za Filamu Nchini - Wadau
![](http://3.bp.blogspot.com/-8_J0KkJVl10/VKOc8rq_jpI/AAAAAAAG6rg/oYmVgtjrSWI/s1600/unnamed%2B(31).jpg)
Na Genofeva Matemu – Maelezo
Serikali imewapongeza wasambazaji na wadau wa filamu nchini kwa mchango wao mkubwa katika kuelimisha,...
9 years ago
Michuzi15 Sep
SOKO LA HISA NCHINI LAPOROMOKA KWAASILIMIA 62.
Akiongea na waandishi wa habari Meneja Miradi na Biashara waDar es salaam Stock Exchange Bw. Patrick Mususa alisema kuwa hata hvyo idadi ya mtaji katika soko umekuwa kutoka tilioni 21.9 hadi tilioni 22.3 ikiwa pia na idadi ya...
11 years ago
Mwananchi21 Jul
Sababu zinazoua soko nchini zatajwa