Meneja wa Temesa kupewa barua ya onyo
KIKAO cha Bodi ya Barabara mkoani Mwanza kimeazimia kumwandikia barua ya onyo Meneja wa Wakala wa Ufundi na Umeme (Temesa) Mkoa wa Mwanza, Amon Senkoro kwa madai ya kudharau kutekeleza maagizo yaliyotolewa na kikao kilichofanyika Machi 21, mwaka huu.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Uhuru Newspaper11 Mar
Kigogo CCM akana kupewa onyo
Awali, ilielezwa kuwa Jesca amepewa adhabu ya kusimamishwa uanachama, lakini baadaye ikabainika kuwa amepewa onyo kali kuhusiana na tuhuma hizo.
Hata hivyo, Jesca ameibuka na kueleza kuwa amekata rufani kupinga hatua zilizochukuliwa dhidi yake na kusisitiza kuwa uamuzi huo...
10 years ago
Bongo Movies19 May
Baada ya Kupewa Onyo na BASATA, Shilole Afunguka
Staa wa Bongo Movies na Bongo Fleva, Zuwena Mohammed ‘Shilole’ ameeleza kusikitishwa na kitendo cha yule aliempiga picha zile akiwa stejini akitumbuiza kwani ilikuwa ni bahati mbaya na sio makusudi.
Shilole amesema kuwa hata yeye hakupenda kile kilichotokea jukwaani wakati akitumbuiza Ubelgiji hivi karibuni, kwa sababu ilikuwa bahati mbaya na hakudhamiria kukaa uchi kama wengi wanavyosema.
Shishi ambaye ni mama wa watoto wawili amesema kuwa nguo mpya aliyoivaa siku hiyo ndio ilimponza...
11 years ago
Michuzi.jpg)
Mkuu wa Wilaya ya Korogwe ajisalimisha kwenye Baraza la Maadili na kupewa onyo, Nchambi apewa nafasi kufika kikao
Wakati Vikao vya Baraza la Maadili vikiendelea siku yake ya pili kusikiliza mashauri ya ukiukwaji wa Sheria ya Maadili ya Viongozi wa Umma Na. 13 ya 1995, Baraza hilo likiongozwa na Mwenyekiti wake Mhe. Balozi Jaji (Mst.) Hamisi Msumi limetoa onyo kwa Mkuu wa Wilaya ya Korogwe Mhe. Mrisho Gambo kwa kukaidi wito wa kufika mbele ya Baraza hilo kujibu tuhuma zinazomkabili.
Kwa mujibu wa maelezo kutoka kwa Mwanasheria wa Sekretarieti...
11 years ago
Tanzania Daima22 Apr
Temesa imezubaa: Magufuli
WAKALA wa Ufundi na Umeme (Temesa) umetakiwa kuongeza kasi katika kutekeleza majukumu yake ili kurahisisha utendaji kwa wananchi na serikali. Rai hiyo imetolewa na Waziri wa Ujenzi, John Magufuli, alipokuwa...
5 years ago
MichuziKAMWELWE AWANOA TEMESA NA TANROADS
Kamwelwe ametoa...
11 years ago
Tanzania Daima28 Oct
Askari wa Temesa watupiwa lawama
LICHA ya Waziri wa Ujenzi, Dk. John Magufuli, kuruhusu upigaji picha katika eneo la kivuko na ndani, askari wa Wakala wa Ufundi na Umeme (Temesa) wameendelea kukataza na kuwachukulia hatua...
9 years ago
TheCitizen25 Nov
Sh9bn new ferries coming, Temesa reveals
10 years ago
Michuzi.jpg)
TEMESA YATAKIWA KULIKABILI SOKO LA USHINDANI NCHINI
.jpg)
Akizungumza na Menejimenti ya TEMESA jijini Dar es salaam leo, Eng. Iyombe amesisitiza Wakala huo kuwa na wafanyakazi wenye weledi, waliokabidhiwa mamlaka kamili na wabunifu ili kuhuisha huduma zinazotolewa kwa wananchi na kujiongezea mapato.
“Hakikisheni mnatumia...
10 years ago
StarTV08 Jan
Umaskini watumishi wa TEMESA wachangia wizi wa mafuta.
Na Rogers Wilium,
Mwanza.
Waziri wa Ujenzi Dokta John Magufuli amesema umaskini miongoni mwa watumishi wa wakala wa ufundi na umeme TEMESA unawafanya kuwa wezi wa mafuta ya feri na fedha za ushuru nchini.
Kauli hiyo imekuja baada ya Waziri Magufuli kuzindua mfumo wa kielekriniki wa ukatishaji tikiti katika Kivuko cha Kigongo Busisi mkoani Mwanza mfumo ambapo umeongeza mapato kwa zaidi ya asilimia 40.
Moja ya vivuko vikongwe nchini Tanzania ni Kivuko cha Kigongo Busisi mkoani...