Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Baada ya Kupewa Onyo na BASATA, Shilole Afunguka

Staa wa Bongo Movies na Bongo Fleva, Zuwena Mohammed ‘Shilole’ ameeleza kusikitishwa na kitendo cha yule aliempiga picha zile akiwa stejini akitumbuiza  kwani ilikuwa ni bahati mbaya na sio makusudi.

Shilole amesema kuwa hata yeye hakupenda kile kilichotokea jukwaani wakati akitumbuiza Ubelgiji hivi karibuni, kwa sababu ilikuwa bahati mbaya na hakudhamiria kukaa uchi kama wengi wanavyosema.

Shishi ambaye ni mama wa watoto wawili amesema kuwa nguo mpya aliyoivaa siku hiyo ndio ilimponza...

Bongo Movies

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo Movies

Shilole Afunguka Baada ya Kufungiwa na BASATA

Baraza la sanaa Tanzania (BASATA) limemfungia Shilole kutojihusisha na kazi yoyote ya sanaa kwa muda wa mwaka mmoja.
Barua kutoka BASATA inasema hivi:

“Tarehe 9 May 2015 ukiwa katika onyesho lako la muziki Ubelgiji ulicheza uchi mbele ya hadhira ya wapenda sanaa za Tanzania hivyo kudhalilisha utu wako na jamii ya kitanzania kimaadili‘
‘BASATA ilipata habari zako, kumbuka pia October 2013 BASATA lilikuonya na ukakiri kwa kuomba msamaha tabia yako ya kucheza bila kuzingatia maadili uwapo...

 

10 years ago

Bongo Movies

Nuhu Mziwanda afunguka tuhuma za kupewa kichapo kizito na Shilole

MWANAMUZIKI wa Bongo Fleva, Nuh Mziwanda amefunguka kuwa  watu wanaomsema vibaya kuhusu yeye kupewa kichapo na mpenzi wake, Zuwena Mohamed ‘Shilole’ wanakosea kwani anaamini kufanywa hivyo ni mahaba.

Akizungumza na mwandishi wa habari hii hivi karibuni, Mziwanda alisema kuna taarifa zimeenea kuwa huwa anapigwa na Shilole pindi anapokosea lakini ukweli si kupigwa ‘live’ bali ni kupigwa kimahaba.

‘Shilole’ akiwa na mpenzi wake 'Nuh Mziwanda'.

‘Shilole’ akiwa na mpenzi wake ‘Nuh Mziwanda’.

“Jamani kupigwa wanakozungumzia watu sielewi...

 

10 years ago

Uhuru Newspaper

Kigogo CCM akana kupewa onyo

NA ANITA BOMA, IRINGA KUMEIBUKA sintofahamu kuhusiana na hatima ya Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Iringa, Jesca Msambatavangu, anayedaiwa kuadhibiwa na Kamati ya Maadili kutokana na madai ya kukihujumu chama chake.
Awali, ilielezwa kuwa Jesca amepewa adhabu ya kusimamishwa uanachama, lakini baadaye ikabainika kuwa amepewa onyo kali kuhusiana na tuhuma hizo.
Hata hivyo, Jesca ameibuka na kueleza kuwa amekata rufani kupinga hatua zilizochukuliwa dhidi yake na kusisitiza kuwa uamuzi huo...

 

11 years ago

Habarileo

Meneja wa Temesa kupewa barua ya onyo

KIKAO cha Bodi ya Barabara mkoani Mwanza kimeazimia kumwandikia barua ya onyo Meneja wa Wakala wa Ufundi na Umeme (Temesa) Mkoa wa Mwanza, Amon Senkoro kwa madai ya kudharau kutekeleza maagizo yaliyotolewa na kikao kilichofanyika Machi 21, mwaka huu.

 

9 years ago

Bongo Movies

Shilole Akaidi Adhabu ya Basata

Msanii Zuwena Mohamed alimaarufu kama Shilole amekaidi adhabu aliyopewa na Baraza la Sanaa Tanzania (Basata) iliyomtaka kutoshiriki masuala ya sanaa ndani na nje ya nchi kwa mwaka mzima.

Shilole amekaidi adhabu hiyo baada ya kuonekana akifanya show katika kampeni za Chama Cha Mapinduzi (CCM) akimnadi Mgombea nafasi ya urais wa chama hicho Dk. John Magufuli wakati wapo jijini Mbeya siku kadha zilizopita.

Kipindi cha Planet Bongo kilitaka kufahamu endapo adhabu ya msanii huyo imefutwa, na...

 

9 years ago

Bongo Movies

BASATA Kumtwanga Nyundo Nyingine Shilole!

Shilole anaweza akawa anafurahia bata za Marekani baada ya kutumbuiza kwenye show nchini humo, lakini bado BASATA haijamalizana naye.

Katibu Mtendaji wa baraza la sanaa la taifa, BASATA, Geofrey Mngereza ameiambia Radio 5 ya Arusha kuwa adhabu aliyopewa Shilole ya kufungiwa kutojihusisha kwenye masuala ya sanaa kwa mwaka mmoja haijafutwa.

Mngereza alidai kuwa adhabu iliyotolewa kwa Shilole imetokana na sheria na kanuni zilizotokana na bunge na kwamba kwa sasa wanakusanya ushahidi ili...

 

9 years ago

Bongo Movies

Adhabu ya Shilole Ipo Palepale —Basata

Baraza la Sanaa Tanzania (BASATA) limetoa kauli kuwa adhabu ya kufungiwa kutojihusishwa na sanaa kwa mwaka mmoja ndani na nje ya nchi msanii Shilole ipo palepale, kauli ya hiyo imekuja baada ya msanii huyo kusema kuwa atakwenda kufanya shoo nchini Marekani pamoja na msanii mwenzake Ommy Dimpozi licha ya kufungiwa kwa mwaka mmoja.

Akiongea na East Afrika Radio Shilole alisema amejiandaa vizuri sana katika shoo ambayo anapaswa kuifanya nchini Marekani siku za karibuni, na alipoulizwa...

 

10 years ago

Michuzi

Mkuu wa Wilaya ya Korogwe ajisalimisha kwenye Baraza la Maadili na kupewa onyo, Nchambi apewa nafasi kufika kikao

Na. Ally Mataula – Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma
Wakati Vikao vya Baraza la Maadili vikiendelea siku yake ya pili kusikiliza mashauri ya ukiukwaji wa Sheria ya Maadili ya Viongozi wa Umma Na. 13 ya 1995, Baraza hilo likiongozwa na Mwenyekiti wake Mhe. Balozi Jaji (Mst.) Hamisi Msumi limetoa onyo kwa Mkuu wa Wilaya ya Korogwe Mhe. Mrisho Gambo kwa kukaidi wito wa kufika mbele ya Baraza hilo kujibu tuhuma zinazomkabili.
Kwa mujibu wa maelezo kutoka kwa Mwanasheria wa Sekretarieti...

 

10 years ago

Habarileo

Basata yamtupa ‘jela’ Shilole mwaka mmoja

BARAZA la Sanaa Tanzania (BASATA) limemfungia mwanamuziki Zuwena Mohamed ‘Shilole’ kujihusisha na kazi yoyote ya sanaa kwa mwaka mmoja ndani ya nchi na nje.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani