Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mtanzania awanoa mafundi Zesco

SHIRIKA la Umeme la Zambia (Zesco), limeanza kutumia teknolojia ya kufanya ukarabati wa njia za umeme bila kuzima baada ya wafanyakazi wake kuhitimu mafunzo yaliyokuwa yakitolewa na mtaalamu kutoka Tanzania,...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Refa mechi ya Zesco na AS ni Mtanzania

Mwamuzi wa kimataifa wa Tanzania mwenye beji ya FIFA, Israel Mjuni Nkongo amechaguliwa kuchezesha Ligi ya Mabingwa Afrika .

 

10 years ago

Habarileo

Sumaye awanoa vijana

Waziri Mkuu mstaafu, Frederick SumayeWAZIRI Mkuu Mstaafu, Frederick Sumaye amewataka vijana nchini kujitokeza kwa wingi kujiandikisha katika Daftari la Kudumu la Wapigakura ili wapate fursa ya kuchagua viongozi wanaowataka, lakini pia wanaoamini watakuwa suluhisho ya kero nyingi walizonazo wananchi.

 

5 years ago

Michuzi

KAMWELWE AWANOA TEMESA NA TANROADS

Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Mhandisi Isack Kamwelwe, amewaagiza Wakala wa Ufundi na Umeme (TEMESA), kuhakikisha kuwa magari yote ya Serikali yanayotengenezwa katika karakana zao hayaibui matatizo  na kuzua malamiko kwa mshitiri mara baada ya kutengenezwa.Kamwelwe ametaja malalamiko hayo kuwa ni TEMESA  kutotengeneza  magari kwa umakini pamoja na gharama za matengenezo kuwa kubwa ukilinganisha na watoaji  wengine wa huduma za  matengenezo na ufundi wa mitambo. 
Kamwelwe ametoa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mlinzi wa Rais Gabon awanoa walimu wa Taekwondo Arusha

ALIYEWAHI kuwa mlinzi wa Rais wa zamani wa Gabon, Omar Bongo, Jin Yung Kim, ameanza kuwanoa walimu wa mchezo wa taekwondo mjini Arusha katika mafunzo yaliyoanza juzi. Awali Shirikisho la...

 

11 years ago

Michuzi

ZESCO YAICHAPA SIMBA 3-0

 Mgeni rasmi Naibu Waziri wa Fedha, Adam Malima (katikati), akiwa katika picha ya pamoja na wachezaji na viongozi wa Simba pamoja na Rais wa TFF, Jamal Malinzi. (Picha na Francis Dande) Kikosi cha Simba kikiwa na Kocha Mkuu, Zdravko Logarusic (kulia), pamoja na Rais wa Simba, Evans Aveva.Kikosi cha Zesco.
 Ramadhani Singano 'Mess' akiwatoka wachezaji wa Zesco.Mshambuliaji wa Simba, Raphael Kiongera (kushoto), akimtoka beki wa Zesco United ya Zambia, Bernad Mapili katika mchezo maalumu wa...

 

11 years ago

Mwananchi

Zesco yatibua sherehe Simba

Mabao matatu yaliyofungwa na Jackson Mwanza, Clatons Chama na Winston Kalenga, yamesababisha siku ya Simba ‘Simba Day’ kuwa chungu baada ya Zesco kuizamisha miamba hiyo kwa mabao 3-0.

 

11 years ago

TheCitizen

Simba SC play Zesco in friendly

Simba SC lock horns with Zambia’s Zesco FC in a friendly match at 60,000-seater National Stadium today.

 

11 years ago

Mwananchi

Zesco yamsajili Juma Luizio

Mchezaji wa Tanzania, Juma Luizio ameweka historia mpya katika soka nchini baada ya kusaini mkataba wa miaka mitatu kuichezea timu ya Shirika la Ugavi wa Umeme la Zambia (Zesco FC) akitokea timu ya Mtibwa Sugar.

 

10 years ago

TheCitizen

Zambia’s Zesco FC to test champsYanga next week

Mainland champions Young Africans will play two international friendly matches ahead of this season’s Premier League, it has been revealed.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani