Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Refa mechi ya Zesco na AS ni Mtanzania

Mwamuzi wa kimataifa wa Tanzania mwenye beji ya FIFA, Israel Mjuni Nkongo amechaguliwa kuchezesha Ligi ya Mabingwa Afrika .

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Mtanzania awanoa mafundi Zesco

SHIRIKA la Umeme la Zambia (Zesco), limeanza kutumia teknolojia ya kufanya ukarabati wa njia za umeme bila kuzima baada ya wafanyakazi wake kuhitimu mafunzo yaliyokuwa yakitolewa na mtaalamu kutoka Tanzania,...

 

10 years ago

Vijimambo

Yanga yabadili refa mechi vs Simba

Kamati ya Waamuzi nchini imemuondoa refa msaidizi namba moja, Ferdinand Chacha kuchezesha mechi ya watani wa jadi, Yanga na Simba, na nafasi yake sasa inachukuliwa na Samuel Mpenzu kutoka Arusha ambaye atasaidiana na John Kanyenye kwenye mchezo huo wa Ligi Kuu ya Soka Tanzania Bara ambao mwamuzi wa kati atakuwa Israel Nkongo.

Hata hivyo, mabadiliko hayo yaliyofanywa na kamati hiyo yalichelewa kufika katika sekretarieti ya Shirikisho la Soka nchini (TFF), ambayo juzi ilimtangaza Chacha na...

 

11 years ago

Michuzi

ZESCO YAICHAPA SIMBA 3-0

 Mgeni rasmi Naibu Waziri wa Fedha, Adam Malima (katikati), akiwa katika picha ya pamoja na wachezaji na viongozi wa Simba pamoja na Rais wa TFF, Jamal Malinzi. (Picha na Francis Dande) Kikosi cha Simba kikiwa na Kocha Mkuu, Zdravko Logarusic (kulia), pamoja na Rais wa Simba, Evans Aveva.Kikosi cha Zesco.
 Ramadhani Singano 'Mess' akiwatoka wachezaji wa Zesco.Mshambuliaji wa Simba, Raphael Kiongera (kushoto), akimtoka beki wa Zesco United ya Zambia, Bernad Mapili katika mchezo maalumu wa...

 

11 years ago

Mwananchi

Zesco yatibua sherehe Simba

Mabao matatu yaliyofungwa na Jackson Mwanza, Clatons Chama na Winston Kalenga, yamesababisha siku ya Simba ‘Simba Day’ kuwa chungu baada ya Zesco kuizamisha miamba hiyo kwa mabao 3-0.

 

11 years ago

Mwananchi

Zesco yamsajili Juma Luizio

Mchezaji wa Tanzania, Juma Luizio ameweka historia mpya katika soka nchini baada ya kusaini mkataba wa miaka mitatu kuichezea timu ya Shirika la Ugavi wa Umeme la Zambia (Zesco FC) akitokea timu ya Mtibwa Sugar.

 

11 years ago

TheCitizen

Simba SC play Zesco in friendly

Simba SC lock horns with Zambia’s Zesco FC in a friendly match at 60,000-seater National Stadium today.

 

10 years ago

TheCitizen

Zambia’s Zesco FC to test champsYanga next week

Mainland champions Young Africans will play two international friendly matches ahead of this season’s Premier League, it has been revealed.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Ismailia , Zesco zaja kupamba Simba Day 

KLABU ya Simba imetangaza wiki moja ya matukio muhimu yatakayofunguliwa na mkutano mkuu wa wanachama Agosti 3; na kufungwa kwa mechi ya kirafiki ya kimataifa dhidi ya Ismailia ya Misri...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani