Diwani Chadema ahamasisha utekelezaji wa Ilani ya CCM
DIWANI wa Kata ya Zombo wilaya ya Kilosa mkoani Morogoro, Issa Said Libenaga (Chadema), amesema haoni sababu ya kushindwa kusimamia utekelezaji wa Ilani ya CCM.
habarileo
Habari Zinazoendana
5 years ago
MichuziCCM yaridhishwa na utekelezaji wa Ilani kata ya Utengule,Makambako
Na Amiri kilagalila,Njombe
Uongozi wa Chama cha mapinduzi (CCM) wilaya ya Njombe umesema umeridhishwa na utekelezaji wa Ilani ya Chama hicho katika kata ya Utengule halmashauri ya mji wa Makambako,kwa kipindi cha miaka mitano kuanzia 2015-2020.
Hayo yamesemwa na mjumbe wa kamati ya siasa ya wilaya ya Njombe ambaye ni mwenyekiti wa halmashauri ya mji wa Makambako HANANA MFIKWA wakati akipokea taarifa ya utekelezaji wa Ilani hiyo,ambapo amesema,miradi yote ikiwemo ya afya,miundombinu ya...
Uongozi wa Chama cha mapinduzi (CCM) wilaya ya Njombe umesema umeridhishwa na utekelezaji wa Ilani ya Chama hicho katika kata ya Utengule halmashauri ya mji wa Makambako,kwa kipindi cha miaka mitano kuanzia 2015-2020.
Hayo yamesemwa na mjumbe wa kamati ya siasa ya wilaya ya Njombe ambaye ni mwenyekiti wa halmashauri ya mji wa Makambako HANANA MFIKWA wakati akipokea taarifa ya utekelezaji wa Ilani hiyo,ambapo amesema,miradi yote ikiwemo ya afya,miundombinu ya...
5 years ago
CCM Blog22 May
11 years ago
Michuzi02 Aug
MANISPAA YA KINONDONI YAFANYA MAKUBWA UTEKELEZAJI ILANI YA CCM JIMBO LA KAWE
![](https://2.bp.blogspot.com/-F0EwJa6bR8M/U9yBEhMRhVI/AAAAAAAAoeM/565CRhnBYu4/s1600/2.+Jengo+la+kupokea+wagonjwa+hospitali+ya+Mabwepande.jpg)
![](https://4.bp.blogspot.com/-OjprdmDw-ok/U9yAOrnG48I/AAAAAAAAod8/4H1EMS1_3L4/s1600/3.+Yusuf+Mwenda+akizungumza+na+watendaji+wa+Jiji+kwenye+ujenzi+Hospitali+ya+Mabwepande.jpg)
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-k7rDjYq3m5Q/XsfO48KYo-I/AAAAAAACLKw/U0kKytEOBE08TAXlEZ3yvu_JpHuIoeOcQCLcBGAsYHQ/s72-c/MBUNGE.jpg)
TAARIFA YA UTEKELEZAJI WA ILANI YA CCM YA MBUNGE WA KOROGWE MJINI MH. MARY CHATANDA
![](https://1.bp.blogspot.com/-k7rDjYq3m5Q/XsfO48KYo-I/AAAAAAACLKw/U0kKytEOBE08TAXlEZ3yvu_JpHuIoeOcQCLcBGAsYHQ/s400/MBUNGE.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-Mzjg3Q2VW-4/XsfO9PCsG_I/AAAAAAACLK0/NBm4wB94lOsmLYAOZw7jjnsHRe1WDfUpACLcBGAsYHQ/s400/IMG-20200522-WA0008.jpg)
UTANGULIZI
Jimbo la Korogwe Mjini linaundwa na Kata 11 ambazo ni Kata ya Manundu, Majengo, Mtonga, Masuguru, Magunga, Old Korogwe, Kwamndolwa, Kwamsisi, Kilole, Bagamoyo na Mgombezi.
Idadi ya Watu ni 68308 ambapo Wanaume (me) 32912 na Wanawake (ke) 35386, kwa sensa ya 2012 maoteo ya 2018 me 38392 na ke 41289 jumla 79681, Mitaa 22, Vijiji 07 na Vitongoji 35.
Baada ya Uchaguzi Mkuu uliomalizika Oktoba 2015, Mbunge wa Jimbo hilo, Ndugu Mary Chatanda aliapishwa rasmi na kuanza majukumu ya...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-3-tMn9dIxv8/Xu7oiPcLLfI/AAAAAAACNxk/xygWFcGpoCcpKAPkfaNe5dEF2WsAiK-KACLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
TAARIFA YA UTEKELEZAJI WA ILANI YA CCM NA AHADI ZA MBUNGE JIMBO LA CHALINZE 2015-2020
![](https://1.bp.blogspot.com/-3-tMn9dIxv8/Xu7oiPcLLfI/AAAAAAACNxk/xygWFcGpoCcpKAPkfaNe5dEF2WsAiK-KACLcBGAsYHQ/s400/1.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-0mjVARgO858/Xu7oqL7NIzI/AAAAAAACNxo/ir1qEbAGfwcMPbWc1gnG5JmmTzLdi_I-ACLcBGAsYHQ/s400/Screenshot_2020-06-20_232132.jpg)
Mwaka 1995 Serikali ya Jamhuri ya Muungano ya Tanzania kupitia Gazeti lake la Serikali ilitangaza jimbo jipya
la Uchaguzi la Chalinze lenye Kata 15 katika Wilaya ya Bagamoyo, Mkoa wa Pwani.
Katika kipindi cha Miaka ishirini na mitano (25) toka kuanzish￾wa kwa jimbo hili la uchaguzi, tumeshuhudia maendeleo makubwa.
Pamoja na maendeleo yaliyopatikana katika kipindi hicho,...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-jMg4QSuBj5Q/XuYbQXlle4I/AAAAAAACNSQ/ZJ3PJtdfKjw2gguSy6HyreHEgcmekSvWQCLcBGAsYHQ/s72-c/1-6c9e2577d6.png)
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-ariyWCwqBYY/XueJmllh2vI/AAAAAAACNfs/2jm3cgb28UIEfRxy11-Y5DxJX793K4sAACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200615_174257.jpg)
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-U86T7URQ8e0/XuHXGDxyDmI/AAAAAAACM8E/f0Kf48ZkEM0zRAhh0XOsoQbfsNJ74z8lQCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200611-WA0033.jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania