Johari Ahamasisha Kujiandikisha Kupiga Kura
Staa wa Bongo Movies, Blandina Chagula ‘Johari’ ambaye ni kada mwaminifu wa Chama cha Mapinduzi (CCM) amehamasisha watu wajitokeze kujiandijisha kwenye daftari la wapiga kura.
“Tujiandikishe kupiga kura” Johari aliandika hayo kwenye ukurasa wake kwenye mtandao wa instagram mara baada ya kuweka picha hiyo hapo juu akiwa Davina siku muigizaji mwezao Steve nyeye alipokuwa anatangaza nia ya kuwania ubunge wa jimbo la Kindondoni kupitia cha cha mapinduzi.
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLCHADEMA YAZIDI KUWAHAMASISHA WANANCHI KUJIANDIKISHA KUPIGA KURA
10 years ago
Habarileo20 Apr
Askofu Ruwa’ich aagiza waumini kujiandikisha kupiga kura
ASKOFU Mkuu wa Jimbo Kuu Katoliki la Mwanza, Jude Thadei Ruwa’ich amewasisitiza wananchi kujitokeza kujiandikisha kwenye daftari la kupiga kura litakapofika mkoani hapa ili waweze kupiga kura na kuchagua kiongozi wanayemtaka wakati wa uchaguzi mkuu utakaofanyika baadaye mwaka huu.
10 years ago
Dewji Blog14 May
Wananchi wenye sifa ya kupiga kura Mkalama washauriwa kujiandikisha
Mwenyekiti wa halmashauri ya wilaya ya Mkalama mkoa wa Singida,James John Mkwenga,akizungumza kwenye ufunguzi wa kikao cha baraza la madiwani kilichofanyika katika kijiji cha Nduguti.Kushoto ni Makamu Mwenyekiti Asma Seif na kulia ni Kaimu Mkurugenzi wa halmashauri ya Mkalama,Cusbert Mwinuka.
Mkuu wa wilaya ya Mkalama mkoani Singida, Edward Ole Lenga, akizungumza mbele ya kikao cha kawaida cha baraza la madiwani wa halmashauri ya wilaya ya Mkalama. Ele Lenga alitumia nafasi hiyo kuagiza...
10 years ago
Mwananchi10 Jun
Watu 100 matatani kujiandikisha mara mbili kupiga kura
10 years ago
Bongo524 Apr
Chege, Young Killer, Bob Junior wawasihi wananchi kujiandikisha na kupiga kura
10 years ago
Vijimambo
KINANA ASHIRIKI BONANZA LA KUHAMASISHA WANANCHI KUJIANDIKISHA KWENYE DAFTARI LA KUPIGA KURA

Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akisalimiana na Viongozi na waratibu wa Bonanza maalum la kuhamasisha wananchi kujiandikisha katika Daftari Maalum la kupiga kura mara baada ya kuwasili kwenye viwanja vya Gonga, Karakata tayari kushiriki mchaka mchaka na vijana zaidi ya 500 kutoka vikundi mbali mbali vya wilaya ya Ilala na Temeke.

Vijana wakiwa wamekusanyika tayari kuanza kushiriki mazoezi ya jogging kwenye uwanja wa Gonga, Karakata ambapo mgeni rasmi alikuwa Katibu Mkuu wa CCM...
10 years ago
Habarileo25 Feb
Kamani ahamasisha kujiandikisha
WAZIRI wa Mifugo na Uvuvi Dk Titus Kamani amewaambia wananchi wa Mji wa Kahama kuwa ili Mbunge wa Jimbo Kahama James Lembeli arejee bungeni ni vyema wakajitokeza kwa wingi katika kujiandikisha katika daftari la kudumu la wapiga kura.
10 years ago
Mtanzania26 Jan
Butiku ahamasisha kura ya hapana Katiba Mpya
Na Shomari Binda, Musoma
WAJUMBE wa iliyokuwa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, wamewataka Watanzania kuikataa Katiba inayopendekezwa kwa kuwa haikuzingatia masilahi ya Watanzania.
Waliyasema hayo juzi katika ukumbi wa MCC, mjini Musoma kwenye mdahalo wa kujadili na kuelimisha wananchi kuhusiana na mchakato wa kupata Katiba Mpya na kuwataka kupiga kura ya hapana.
Akizungumza katika mdahalo huo, aliyekuwa Mjumbe wa Tume hiyo, Joseph Butiku, alisema mchakato wa kukusanya maoni ya Katiba,...
11 years ago
Tanzania Daima19 Feb
Wassira ahamasisha wananchi kudai daftari la wapiga kura
WATANZANIA wametakiwa kudai haki yao ya kuandaliwa daftari la kudumu la wapiga kura ili chaguzi zinazofanyika kuanzia sasa ziwe huru na halali. Kauli hiyo imetolewa mjini Arusha jana na mwanaharakati...