Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Askofu Ruwa’ich aagiza waumini kujiandikisha kupiga kura

ASKOFU Mkuu wa Jimbo Kuu Katoliki la Mwanza, Jude Thadei Ruwa’ichASKOFU Mkuu wa Jimbo Kuu Katoliki la Mwanza, Jude Thadei Ruwa’ich amewasisitiza wananchi kujitokeza kujiandikisha kwenye daftari la kupiga kura litakapofika mkoani hapa ili waweze kupiga kura na kuchagua kiongozi wanayemtaka wakati wa uchaguzi mkuu utakaofanyika baadaye mwaka huu.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo Movies

Johari Ahamasisha Kujiandikisha Kupiga Kura

Staa wa Bongo Movies, Blandina Chagula ‘Johari’  ambaye ni kada mwaminifu wa Chama cha Mapinduzi  (CCM) amehamasisha watu wajitokeze kujiandijisha kwenye daftari la wapiga kura.

“Tujiandikishe kupiga kura” Johari aliandika hayo kwenye ukurasa wake kwenye mtandao wa instagram mara baada ya kuweka picha hiyo hapo juu akiwa Davina siku muigizaji mwezao Steve nyeye alipokuwa anatangaza nia ya kuwania ubunge wa jimbo la Kindondoni kupitia cha cha mapinduzi.

 

10 years ago

GPL

CHADEMA YAZIDI KUWAHAMASISHA WANANCHI KUJIANDIKISHA KUPIGA KURA

Mgombea Udiwani Kata ya Mombasa, Dar kwa tiketi ya Chadema, Oswald Mbogolo akiwahasa wananchi wa Ukonga kujitokeza na kujiandikisha kwa ajili ya kupiga kura katika Uchaguzi Mkuu wa mwezi Oktoba mwaka huu.…

 

10 years ago

Dewji Blog

Wananchi wenye sifa ya kupiga kura Mkalama washauriwa kujiandikisha

DSC05816

Mwenyekiti wa halmashauri ya wilaya ya Mkalama mkoa wa Singida,James John Mkwenga,akizungumza kwenye ufunguzi wa kikao cha baraza la madiwani  kilichofanyika katika kijiji cha Nduguti.Kushoto ni Makamu Mwenyekiti Asma Seif na kulia ni Kaimu Mkurugenzi wa halmashauri ya Mkalama,Cusbert Mwinuka.

DSC05797

Mkuu wa wilaya ya Mkalama mkoani Singida, Edward Ole Lenga, akizungumza mbele ya kikao cha kawaida cha baraza la madiwani wa halmashauri ya wilaya ya Mkalama. Ele Lenga alitumia nafasi hiyo kuagiza...

 

10 years ago

Mwananchi

Watu 100 matatani kujiandikisha mara mbili kupiga kura

>Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), imesema inakusudia kuwafikisha mahakamani wananchi zaidi ya 100 wa Mkoa wa Njombe kwa madai ya kujiandikisha zaidi ya mara moja kwenye Daftari la Kudumu la Wapigakura.

 

10 years ago

Vijimambo

KINANA ASHIRIKI BONANZA LA KUHAMASISHA WANANCHI KUJIANDIKISHA KWENYE DAFTARI LA KUPIGA KURA


Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akisalimiana na Viongozi na waratibu wa Bonanza maalum la kuhamasisha wananchi kujiandikisha katika Daftari Maalum la kupiga kura mara baada ya kuwasili kwenye viwanja vya Gonga, Karakata tayari kushiriki mchaka mchaka na vijana zaidi ya 500 kutoka vikundi mbali mbali vya wilaya ya Ilala na Temeke.

Vijana wakiwa wamekusanyika tayari kuanza kushiriki mazoezi ya jogging kwenye uwanja wa Gonga, Karakata ambapo mgeni rasmi alikuwa Katibu Mkuu wa CCM...

 

10 years ago

Bongo5

Chege, Young Killer, Bob Junior wawasihi wananchi kujiandikisha na kupiga kura

Young Killer, Chege na Bob Junior wamewataka watanzania kujitokeza kwa wingi kujiandikisha kwenye daftari la wapiga kura ili wapate haki yao ya msingi ya kupiga kura na kuwachagua viongozi wanaowataka. Wakizungumza na Bongo5 leo kwa nyakati tofauti wasanii hao wasema kila mtanzania anapaswa kujiandikia ili asikose haki yake ya kuchagua viongozi. Young Killer Tujitokeze tukajiandikeshe […]

 

10 years ago

Michuzi

ASKOFU AWATAKA WATANZANIA WAJITOKEZE KUJIANDIKISHA

Na woinde shizza ,ArushaAskofu Mkuu wa Kanisa la International Evangelism Church Eliud Isanja  amewataka Watanzania wajitokeze kwa wingi kujiandikisha katika daftari la kudumu la wapiga kura ili kutimiza haki yao ya kikatiba na kuchagua viongozi bora watakaoleta maendeleo  ya taifa.
Isanja aliwaasa Watanzania kutozembea nafasi hiyo muhimu na badala yake waitumie fursa hiyo  itakayoleta  mabadiliko yanayotarajiwa na wengi.
Akizungumza katika mahafali ya Wahitimu wa Diploma ya masomo ya Biblia...

 

10 years ago

Mtanzania

Waumini KKKT wamkataa Msaidizi wa Askofu

kanisa

Kanisa

Na Upendo Mosha, Moshi

WAJUMBE wa Mkutano Mkuu wa 33 wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Dayosisi ya Kaskazini, wamemkataa Askofu Msaidizi wa jimbo hilo aliyekuwa amependekezwa kugombea nafasi hiyo, Mchungaji Elinganya Saria.

Tukio hilo lilitokea mjini hapa jana baada ya jina la mchungaji huyo kupendekezwa na Halmashauri Kuu ya Dayosisi kwa ajili ya kupigiwa kura.

Wakati wa tukio hilo, jina la Mchungaji Saria ndilo lilikuwa pekee lililokuwa limependekezwa, lakini...

 

10 years ago

Habarileo

Waumini wamburuza kortini askofu wao

ASKOFU wa Kanisa la EAGT Kanda ya Magharibi, Raphael Machimu amefikishwa mahakamani na waumini wa kanisa hilo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani