Chege, Young Killer, Bob Junior wawasihi wananchi kujiandikisha na kupiga kura
Young Killer, Chege na Bob Junior wamewataka watanzania kujitokeza kwa wingi kujiandikisha kwenye daftari la wapiga kura ili wapate haki yao ya msingi ya kupiga kura na kuwachagua viongozi wanaowataka. Wakizungumza na Bongo5 leo kwa nyakati tofauti wasanii hao wasema kila mtanzania anapaswa kujiandikia ili asikose haki yake ya kuchagua viongozi. Young Killer Tujitokeze tukajiandikeshe […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLCHADEMA YAZIDI KUWAHAMASISHA WANANCHI KUJIANDIKISHA KUPIGA KURA
10 years ago
Dewji Blog14 May
Wananchi wenye sifa ya kupiga kura Mkalama washauriwa kujiandikisha
Mwenyekiti wa halmashauri ya wilaya ya Mkalama mkoa wa Singida,James John Mkwenga,akizungumza kwenye ufunguzi wa kikao cha baraza la madiwani kilichofanyika katika kijiji cha Nduguti.Kushoto ni Makamu Mwenyekiti Asma Seif na kulia ni Kaimu Mkurugenzi wa halmashauri ya Mkalama,Cusbert Mwinuka.
Mkuu wa wilaya ya Mkalama mkoani Singida, Edward Ole Lenga, akizungumza mbele ya kikao cha kawaida cha baraza la madiwani wa halmashauri ya wilaya ya Mkalama. Ele Lenga alitumia nafasi hiyo kuagiza...
10 years ago
VijimamboKINANA ASHIRIKI BONANZA LA KUHAMASISHA WANANCHI KUJIANDIKISHA KWENYE DAFTARI LA KUPIGA KURA
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akisalimiana na Viongozi na waratibu wa Bonanza maalum la kuhamasisha wananchi kujiandikisha katika Daftari Maalum la kupiga kura mara baada ya kuwasili kwenye viwanja vya Gonga, Karakata tayari kushiriki mchaka mchaka na vijana zaidi ya 500 kutoka vikundi mbali mbali vya wilaya ya Ilala na Temeke.
Vijana wakiwa wamekusanyika tayari kuanza kushiriki mazoezi ya jogging kwenye uwanja wa Gonga, Karakata ambapo mgeni rasmi alikuwa Katibu Mkuu wa CCM...
10 years ago
Bongo Movies08 Jul
Johari Ahamasisha Kujiandikisha Kupiga Kura
Staa wa Bongo Movies, Blandina Chagula ‘Johari’ ambaye ni kada mwaminifu wa Chama cha Mapinduzi (CCM) amehamasisha watu wajitokeze kujiandijisha kwenye daftari la wapiga kura.
“Tujiandikishe kupiga kura” Johari aliandika hayo kwenye ukurasa wake kwenye mtandao wa instagram mara baada ya kuweka picha hiyo hapo juu akiwa Davina siku muigizaji mwezao Steve nyeye alipokuwa anatangaza nia ya kuwania ubunge wa jimbo la Kindondoni kupitia cha cha mapinduzi.
10 years ago
Habarileo20 Apr
Askofu Ruwa’ich aagiza waumini kujiandikisha kupiga kura
ASKOFU Mkuu wa Jimbo Kuu Katoliki la Mwanza, Jude Thadei Ruwa’ich amewasisitiza wananchi kujitokeza kujiandikisha kwenye daftari la kupiga kura litakapofika mkoani hapa ili waweze kupiga kura na kuchagua kiongozi wanayemtaka wakati wa uchaguzi mkuu utakaofanyika baadaye mwaka huu.
10 years ago
Mwananchi10 Jun
Watu 100 matatani kujiandikisha mara mbili kupiga kura
10 years ago
Dewji Blog27 Nov
Wananchi wahimizwa kujiandikisha Daftari la Wapiga Kura
Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Bw. Jumanne Sagini akionyesha kwa waandishi wa habari (hawapo pichani) Daftari la Wapiga Kura linalotumika kuandikisha wananchi katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa. Kushoto ni Mratibu wa Uchaguzi huo Bw. Denis Bandisa.
Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu TAMISEMI Bw. Jumanne Sagini akiongea na waandishi wa habari kuhusu maandalizi ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa utakaofanyika Desemba 14 mwaka huu ambapo amesema...
10 years ago
Dewji Blog14 Feb
CHADEMA yawataka Wananchi kwenda kujiandikisha katika daftari la mpiga kura
Mwenyekiti wa Chadema, Mh. Freeman Mbowe akihutubia wakati wa ufunguzi wa mkutano wa viongozi wa chama hicho wa kanda ya kaskazini unaofanyika leo katika hotel ya New Arusha jijini humo.
Viongozi wa Chadema akiwemo Mwenyekiti wakifanya sala kabla ya kuanza mkutano wa viongozi wa kanda ya kaskazini.
Naibu Katibu mkuu wa Chadema, Salum Mwalimu akiwa anaongea na waandishi wa habari.
MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasi na Maendeleo-Chadema, Freeman Mbowe amesema kuwa chama chao kimejipanga...
10 years ago
MichuziWANANCHI WAJIJI LA DAR ES SALAAM WAJITOKEZA KUJIANDIKISHA KWENYE DAFTALI LA WAPIGA KURA.