Mwinyi ahamasisha uandishi wa vitabu kwa Kiswahili
RAIS mstaafu wa awamu ya pili, Ally Hassan Mwinyi amewataka wanazuoni kuandika vitabu vingi kwa lugha ya Kiswahili, kuwasaidia Watanzania kuelewa maudhui ya vitabu hivyo pamoja na kuchangia maendeleo ya nchi.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-8mV1TZ00rBw/VceAR1ZDXyI/AAAAAAAAIzI/gmDhaqIGyWM/s72-c/2a.jpg)
ALHAJ MWINYI: FUNDISHENI SAYANSI KWA KISWAHILI
![](http://4.bp.blogspot.com/-8mV1TZ00rBw/VceAR1ZDXyI/AAAAAAAAIzI/gmDhaqIGyWM/s640/2a.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-BxvGeVctN9c/VceAQDO-scI/AAAAAAAAIzA/8M5HMUK6v8o/s640/2111111.jpg)
Na Daniel Mbega wa brotherdanny.comRAIS mstaafu wa awamu ya pili,...
10 years ago
Mwananchi20 May
Uandishi Bora wa Kiswahili
MAKOSA yanayojitokeza katika magazeti mengi ya Kiswahili ni kutokana na waandishi kutokuwa makini na wengine kutokuwa na ujuzi wa kutosha katika sarufi na fasihi Ya Kiswahili. Ninaposema waandishi nina maana ya kuwahusisha wataalamu wengine wa uandishi wa habari kama vile wahariri, wahakiki kurasa na wadhibiti maandishi. Hawa wote ni muhimu katika uandishi bora. Hebu soma sentensi zifuatazo:
“Jukwaa la Wanarukwa lina dhumuni la kuhamasisha watu kuchangia sekta za kilimo,...
9 years ago
Mwananchi16 Sep
Makosa katika uandishi wa Kiswahili
NAPENDA kuwafahamisha wasomaji wangu kuwa mfululizo ya makala zangu utakuwa ni hazina kubwa kwa walimu, wanafunzi wa shule za msingi, sekondari na mafunzo ya ualimu pamoja na wasomaji wa kawaida ambao ni wakereketwa wa Kiswahili. Sasa soma sentensi zifuatazo kwa makini.
9 years ago
Mwananchi15 Oct
Mambo ya msingi katika uandishi wa Kiswahili
Kabla ya kuanza makala yangu, napenda kuwafahamisha wasomaji wangu kuwa baadhi yao wameniletea  maoni na mawazo kuhusu mambo mbalimbali ya msingi katika lugha. Ni jambo jema kama nitawaleteeni  mawazo hayo ili nanyi muweze kuyatafakari. Kwa mfano mwandishi mmoja mwenye simu na. 0713 614058 aliniandikia, akisema, “ Ndugu, Mtanzania huyu asiyejiamini katika biashara za kimataifa kwa sababu...
10 years ago
Mwananchi19 May
Mambo ya msingi katika uandishi wa lugha ya Kiswahili
>KABLA kuanza makala yangu, napenda kuwafahamisha wasomaji wangu kuwa baadhi yao wameniletea  maoni na mawazo kuhusu mambo mbalimbali ya msingi katika lugha.
11 years ago
Mwananchi02 Feb
Makosa katika uandishi kwenye magazeti ya Kiswahili
Napenda kuendelea na makala zangu kuhusu makosa yanayojitokeza katika uandishi kwenye magazeti ya Kiswahili hapa nchini. Mifano ni kama ifuatayo:
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-kDvSq8DOQJ8/VnK-BJM7izI/AAAAAAAINIw/kdci_Lgmuks/s72-c/IMG_8505.jpg)
WATANZANIA WANNE WAPATA TUZO ZA UANDISHI WA FASIHI YA KISWAHILI AFRIKA
![](http://3.bp.blogspot.com/-kDvSq8DOQJ8/VnK-BJM7izI/AAAAAAAINIw/kdci_Lgmuks/s640/IMG_8505.jpg)
Afisa Masoko wa Alaf, Theresia Mmasy akizungumza na waandishi wa habari (Hawapo pichani)jijini Dar es Salaam leo. Kushoto ni Mwandishi wa kitabu cha Kolonia Santita, Enock Maregesi na Mwandishi wa Ushairi la Kifaurongo, Christopher Budebah.
![](http://3.bp.blogspot.com/-XyESyLq-j6g/VnK-AohZe8I/AAAAAAAINIo/Vkc2CzA6y2k/s640/IMG_8506.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-c3maz0i15GA/VnK-CWp8RAI/AAAAAAAINJA/Qdu9DNHrhMo/s640/IMG_8532.jpg)
10 years ago
Mwananchi23 Jun
Mzee Mwinyi, Mkapa, Dk Mengi, Dewji, tunasubiri vitabu vyenu
Vitabu vina uhondo. Wasiosoma wanakosa mengi. Kwa wenzetu wanaojua nafasi ya vitabu na machapisho mengine, sekta ya vitabu ina mafanikio makubwa kijamii na kiuchumi.
10 years ago
VijimamboMWANDISHI WA VITABU YASIN KAPUYA AKUTANA NA RAIS MSTAAFU ALI HASSAN MWINYI WASHINGTON, DC
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania