Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mzee Mwinyi, Mkapa, Dk Mengi, Dewji, tunasubiri vitabu vyenu

Vitabu vina uhondo. Wasiosoma wanakosa mengi. Kwa wenzetu wanaojua nafasi ya vitabu na machapisho mengine, sekta ya vitabu ina mafanikio makubwa kijamii na kiuchumi.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

Rais Kikwete akutana na Rais Uhuru Kenyatta mjini Windhoek, Alhaj Mwinyi na Mzee Mkapa waungana naye sherehe za kuapishwa rais mpya wa namibia

 .Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya jijini Windhoek Namibia ambapo walihudhuria sherehe za kuapishwa Rais mpya wa Namibia.
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete na ujumbe wake akikutana na Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya katika Hoteli ya Safari Court jijini Windhoek Namibia jana.Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiwa pamoja na marais wastaafu Ali Hassan Mwinyi(kulia) na Benjamin William Mkapa(kushoto) katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Hosea Kutako jijini...

 

10 years ago

Michuzi

MH. PINDA AKUTANA NA MZEE MKAPA NA MAMA ANNA MKAPA JIJINI MWANZA

PG4A2748Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na  Rais Mstaafu, Benjamin Mkapa na mkewe Mama Anna Mkapa kwenye Ikulu ya Mwanza  ambako atakuwa  mgeni rasmi katiaka harambee ya Mkapa Foundation inayotarajiwa kufanyika  jijini Mwanza.
PG4A2753Waziri Mkuu Mizengo  Pinda akizungumza na  Rais Mstaafu, Benjamin Mkapa na mkewe Mama Anna Mkapa kwenye Ikulu ya Mwanza  ambako  atakuwa   mgeni rasmi katiaka harambee ya Mkapa Foundation inayotarajiwa kufanyika  jijini Mwanza. (Picha na Ofisi ya Waziri...

 

11 years ago

Tanzania Daima

JK, Mkapa, Mwinyi kupewa tuzo Ag. 30

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Jakaya Mrisho Kikwete anatarajiwa kupewa tuzo na Kituo cha Michezo cha Sinza cha jijini Dar es Salaam (SSSCC), katika kumbua mchango wake katika...

 

10 years ago

Mwananchi

Mkapa, Mwinyi na Karume wainusuru NEC

Marais wastaafu watatu na makamu wa zamani wa CCM jana walifanya kazi kubwa ya kukinusuru chama hicho kuingia kwenye mgogoro uliokuwa unanukia baada ya Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa kuenguliwa kwenye mbio za urais.

 

10 years ago

Habarileo

Mwinyi ahamasisha uandishi wa vitabu kwa Kiswahili

RAIS mstaafu wa awamu ya pili, Ally Hassan Mwinyi amewataka wanazuoni kuandika vitabu vingi kwa lugha ya Kiswahili, kuwasaidia Watanzania kuelewa maudhui ya vitabu hivyo pamoja na kuchangia maendeleo ya nchi.

 

10 years ago

Bongo5

Africa’s 50 Richest (Forbes 2014): Rostam, Dewji, Bakhresa na Mengi waingia!

Orodha mpya ya watu 50 tajiri zaidi barani Afrika, Africa’s 50 Richest imetolewa wiki hii. Rostam Aziz Watanzania wanne wameingia kwenye orodha hiyo iliyoongozwa na mfanyabiashara wa Nigeria, Aliko Dangote mwenye utajiri ufikao dola bilioni 21.6. Rostam Aziz ameendelea kuwa mtu tajiri zaidi nchini Tanzania na kukamata nafasi ya 26 kwenye orodha hiyo akiwa na […]

 

11 years ago

TheCitizen

Mkapa, Mwinyi set to rescue Katiba process

Former presidents Benjamin Mkapa and Ali Hassan Mwinyi will be among the eminent persons who will lead a team of 100 delegates to put back on track the stalled Constitution making process, The Citizen has learnt.

 

11 years ago

TheCitizen

Mwinyi, Mkapa shower the Aga Khan with praise

Former presidents, Ali Hassan Mwinyi and Benjamin Mkapa, have showered praise on the ‘immense investments’ by the Agha Khan Development Network (AKDN) saying its operations cross national and religious boundaries.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Laana ya Mwinyi, Mkapa, Karume kuitafuna CCM 2015

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kinapita katika wakati mgumu kuliko wowote ule katika historia ya chama hicho. Kikubwa kinachotajwa kutoa changamoto hiyo ni kupata jina la mwanachama atakayesimama kupeperusha bendera yake...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani