Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


JK, Mkapa, Mwinyi kupewa tuzo Ag. 30

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Jakaya Mrisho Kikwete anatarajiwa kupewa tuzo na Kituo cha Michezo cha Sinza cha jijini Dar es Salaam (SSSCC), katika kumbua mchango wake katika...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Mkapa, Mwinyi na Karume wainusuru NEC

Marais wastaafu watatu na makamu wa zamani wa CCM jana walifanya kazi kubwa ya kukinusuru chama hicho kuingia kwenye mgogoro uliokuwa unanukia baada ya Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa kuenguliwa kwenye mbio za urais.

 

11 years ago

TheCitizen

Mwinyi, Mkapa shower the Aga Khan with praise

Former presidents, Ali Hassan Mwinyi and Benjamin Mkapa, have showered praise on the ‘immense investments’ by the Agha Khan Development Network (AKDN) saying its operations cross national and religious boundaries.

 

11 years ago

TheCitizen

Mkapa, Mwinyi set to rescue Katiba process

Former presidents Benjamin Mkapa and Ali Hassan Mwinyi will be among the eminent persons who will lead a team of 100 delegates to put back on track the stalled Constitution making process, The Citizen has learnt.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Laana ya Mwinyi, Mkapa, Karume kuitafuna CCM 2015

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kinapita katika wakati mgumu kuliko wowote ule katika historia ya chama hicho. Kikubwa kinachotajwa kutoa changamoto hiyo ni kupata jina la mwanachama atakayesimama kupeperusha bendera yake...

 

10 years ago

Mwananchi

Mzee Mwinyi, Mkapa, Dk Mengi, Dewji, tunasubiri vitabu vyenu

Vitabu vina uhondo. Wasiosoma wanakosa mengi. Kwa wenzetu wanaojua nafasi ya vitabu na machapisho mengine, sekta ya vitabu ina mafanikio makubwa kijamii na kiuchumi.

 

10 years ago

Vijimambo

MIAKA 50 YA TFF YAWATUZA NYERERE, MKAPA MWINYI, SIMBA NA YANGA, STARS YA ZAMANI NDANI


Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) limetoa tuzo kwa kuwatunuku wanamichezo mbalimbali wakiwemo Marais wote wa awamu nne za uongozi wa Tanzania akiwemo baba wa taifa, marehemu Julius K Nyerere.
Uamuzi wa TFF kuwatuza watu hao wakiwemo waandishi wa habari, wachezaji wa zamani wa timu ya taifa, waandishi wa habari na wengineo ni kutambua mchambo wao katika maendeleo ya soka nchini wakati Fifa inatimiza miaka 50.

VIONGOZI WA KITAIFA:
1. Rais Msataafu Mwl. Julius K Nyerere
2. Rais Mstaafu Ali Hassan...

 

10 years ago

BBCSwahili

Messi kupewa tuzo ya heshima

Chama cha soka cha Hispania (LFP) kitampa Lionel Messi tuzo ya heshima kwa kuvunja rekodi ya ufungaji bora wa la liga .

 

10 years ago

Vijimambo

Mwinyi, Mkapa kuwajadili wakina Membe, Lowassa.Waitwa pia Malecela, Karume, Dk. Salmin, Msekwa athibitisha kuandaa kikao.

Pius Msekwa.
Wakati joto la kusaka nafasi ya kuteuliwa kuwania urais kwa tikiti ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) likiwa linazidi kupanda, Baraza la Ushauri wa Wazee linajipanga kukutana baada ya kikao kilichokuwa kifanyike leo kuahirishwa.

Katibu wa Baraza hilo, Pius Msekwa, aliiambia NIPASHE jana kuwa kikao cha leo kimeahirishwa kutokana na baadhi ya viongozi wakuu wa chama kuwa safarini, kwani walikuwa wamewaalika kwenye mkutano wao uliokuwa ufanyike jijini Dar es Salaam.

Kikao hicho ni...

 

10 years ago

Michuzi

100 kupewa tuzo Tamasha la Pasaka

WADAU 100 waliofanikisha kwa namna mbalimbali  katika kipindi cha miaka 15 tangu kuanzishwa Tamasha la Pasaka nchini wanatarajiwa kupewa tuzo wakati wa tamasha la mwaka huu. Taarifa kwa vyombo vya habari iliyotolewa jana na Mwenyekiti wa Kamati ya Maandalizi ya tamasha hilo, Alex Msama ilieleza kuwa wadau hao ni wanasiasa, viongozi wa dini, wafanyabiashara na waandishi wa habari. “Wapo wengi waliotusaidia kufikia hapa tulipo, lakini tumeteua 100 hawa watapokea kwa niaba ya wengine, ikiwa ni...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani