JK, Mkapa, Mwinyi kupewa tuzo Ag. 30
RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Jakaya Mrisho Kikwete anatarajiwa kupewa tuzo na Kituo cha Michezo cha Sinza cha jijini Dar es Salaam (SSSCC), katika kumbua mchango wake katika...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi12 Jul
Mkapa, Mwinyi na Karume wainusuru NEC
Marais wastaafu watatu na makamu wa zamani wa CCM jana walifanya kazi kubwa ya kukinusuru chama hicho kuingia kwenye mgogoro uliokuwa unanukia baada ya Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa kuenguliwa kwenye mbio za urais.
11 years ago
TheCitizen15 Feb
Mwinyi, Mkapa shower the Aga Khan with praise
Former presidents, Ali Hassan Mwinyi and Benjamin Mkapa, have showered praise on the ‘immense investments’ by the Agha Khan Development Network (AKDN) saying its operations cross national and religious boundaries.
11 years ago
TheCitizen11 Jun
Mkapa, Mwinyi set to rescue Katiba process
Former presidents Benjamin Mkapa and Ali Hassan Mwinyi will be among the eminent persons who will lead a team of 100 delegates to put back on track the stalled Constitution making process, The Citizen has learnt.
11 years ago
Tanzania Daima26 Jul
Laana ya Mwinyi, Mkapa, Karume kuitafuna CCM 2015
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kinapita katika wakati mgumu kuliko wowote ule katika historia ya chama hicho. Kikubwa kinachotajwa kutoa changamoto hiyo ni kupata jina la mwanachama atakayesimama kupeperusha bendera yake...
10 years ago
Mwananchi23 Jun
Mzee Mwinyi, Mkapa, Dk Mengi, Dewji, tunasubiri vitabu vyenu
Vitabu vina uhondo. Wasiosoma wanakosa mengi. Kwa wenzetu wanaojua nafasi ya vitabu na machapisho mengine, sekta ya vitabu ina mafanikio makubwa kijamii na kiuchumi.
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-UCAbEWcXY9M/VW2GxJ6XxMI/AAAAAAABKfc/iXCGKA63nWA/s72-c/nyerere13bc.jpg)
MIAKA 50 YA TFF YAWATUZA NYERERE, MKAPA MWINYI, SIMBA NA YANGA, STARS YA ZAMANI NDANI
![](http://2.bp.blogspot.com/-UCAbEWcXY9M/VW2GxJ6XxMI/AAAAAAABKfc/iXCGKA63nWA/s640/nyerere13bc.jpg)
Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) limetoa tuzo kwa kuwatunuku wanamichezo mbalimbali wakiwemo Marais wote wa awamu nne za uongozi wa Tanzania akiwemo baba wa taifa, marehemu Julius K Nyerere.
Uamuzi wa TFF kuwatuza watu hao wakiwemo waandishi wa habari, wachezaji wa zamani wa timu ya taifa, waandishi wa habari na wengineo ni kutambua mchambo wao katika maendeleo ya soka nchini wakati Fifa inatimiza miaka 50.
VIONGOZI WA KITAIFA:
1. Rais Msataafu Mwl. Julius K Nyerere
2. Rais Mstaafu Ali Hassan...
10 years ago
BBCSwahili29 Dec
Messi kupewa tuzo ya heshima
Chama cha soka cha Hispania (LFP) kitampa Lionel Messi tuzo ya heshima kwa kuvunja rekodi ya ufungaji bora wa la liga .
10 years ago
Vijimambo24 Jun
Mwinyi, Mkapa kuwajadili wakina Membe, Lowassa.Waitwa pia Malecela, Karume, Dk. Salmin, Msekwa athibitisha kuandaa kikao.
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Pius-24June2015.jpg)
Wakati joto la kusaka nafasi ya kuteuliwa kuwania urais kwa tikiti ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) likiwa linazidi kupanda, Baraza la Ushauri wa Wazee linajipanga kukutana baada ya kikao kilichokuwa kifanyike leo kuahirishwa.
Katibu wa Baraza hilo, Pius Msekwa, aliiambia NIPASHE jana kuwa kikao cha leo kimeahirishwa kutokana na baadhi ya viongozi wakuu wa chama kuwa safarini, kwani walikuwa wamewaalika kwenye mkutano wao uliokuwa ufanyike jijini Dar es Salaam.
Kikao hicho ni...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-I2-jE41jx2o/VQejUO631aI/AAAAAAAHK1o/FasrslCIWzQ/s72-c/2.jpg)
100 kupewa tuzo Tamasha la Pasaka
![](http://3.bp.blogspot.com/-I2-jE41jx2o/VQejUO631aI/AAAAAAAHK1o/FasrslCIWzQ/s1600/2.jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania