Mawaziri 2 washtakiwa na ufisadi Kenya
Waziri wa ardhi nchini Kenya aliyesimamishwa kazi Charity Ngilu amefikishwa mahakamani na kujibu mashtaka ya kuwazuia maafisa wa shirika la kupambana na ufisadi kuchunguza stakabadhi za ardhi moja ambayo umiliki wake una utata jijini Nairobi
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili25 May
Ufisadi:Mawaziri 4 kushtakiwa Kenya
Kiongozi wa mashtaka nchini kenya amesema kuwa mawaziri wanne watashtakiwa kwa makosa ya ufisadi.
10 years ago
Vijimambo26 May
UFISADI MAWAZIRI 4 KUSHITAKIWA HUKO KENYA
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/660/amz/worldservice/live/assets/images/2015/04/16/150416124754_kenya_court_640x360_bbc_nocredit.jpg)
Kiongozi wa Mashtaka ametoa ruhusa ya kushtakiwa kwa mwaziri wanne
Kutumia ujumbe kwa vyombo vya habari, mkuu wa mashtaka ya umma nchini Kenya Keriako Tobiko, hii leo amevumbua yaliyomo katika hati za kesi za mawaziri wanne.
Tume ya maadili na kupambana na ufisadi ya Kenya imependekeza waziri wa uchukuzi mMhandisi Michael Kamau na waziri wa leba Kazungu Kambi kushtakiwa na matumizi mabaya ya ofisi.
Mhandisi Michael Kamau anakumbwa na shutuma za kutumia fedha ubadhirifu wa fedha za umma na...
9 years ago
Mwananchi03 Dec
Mawaziri wa JK wanaswa ufisadi wa mabilioni
Watu tisa wakiwamo mawaziri wawili wa Fedha wa Serikali ya Awamu ya Nne ya Jakaya Kikwete wametajwa kushiriki kwenye kashfa ya rushwa ya Sh13 bilioni wakati Serikali ya Tanzania ilipokopa Dola za Kimarekani 600 milioni (Sh1.3 trilioni) kutoka benki ya Standard ya Uingereza.
9 years ago
BBCSwahili06 Oct
Wanafunzi 20 washtakiwa na ulevi Kenya
Wanafunzi 20 wa shule za upili nchini Kenya wamepelekwa mahakamani na kushtakiwa kwa kuwa walevi na wenye tabia mbaya.
10 years ago
BBCSwahili04 Dec
Raia 77 wa Uchina washtakiwa Kenya
Polisi nchini Kenya wamewafikisha mahakamani raia 77 wa Uchina kwa kushukiwa kushiriki udukuzi wa mawasiliano na ulanguzi wafedha.
11 years ago
BBCSwahili19 Jun
Wanaharakati 8 washtakiwa Mombasa, Kenya
Wanaharakati wanane wamefunguliwa mashitaka mjini Mombasa Pwani ya Kenya wakituhumiwa kwa kuhusika na maandamano haramu.
10 years ago
BBCSwahili07 May
Ufisadi: Mawaziri wote kujiuzulu Chile
Rais wa Chile Michelle Bachelet amelitaka baraza lake lote la mawaziri kujiuzulu.
10 years ago
BBCSwahili20 Feb
Wapenzi wa jinsia moja washtakiwa Kenya
Wanaume wawili katika eneo la Kwale Pwani ya Kenya wamefikishwa mahakamani kujibu mashtaka ya kufanya mapenzi ya jinsia moja.
10 years ago
BBCSwahili04 Mar
Anglo Leasing:viongozi washtakiwa Kenya
Hatimaye viongozi waliokuwa mamlakani wakati wa kashfa ya kuchapisha pasipoti za wakenya wamefikishwa mahakamani leo
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania