Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wafugaji washtakiwa kwa kuua simba 2 Kenya

Wafugaji wawili wa mifugo wamefikishwa mahakamani nchi Kenya kujibu mashtaka ya kuweka sumu kwenye mzoga wa ng'ombe na kusababisha vifo vya simba 2

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Polis 4 washtakiwa kwa kuua mshukiwa

Maafisa wanne wa polisi wameshtakiwa baada ya kunaswa na kamera za siri CCTV wakimpiga risasi na kumuua mshukiwa mmoja wa uhalifu

 

9 years ago

BBCSwahili

Waisraeli washtakiwa kuua Wapalestina

Maafisa wa mashtaka nchini Israel wamewashtaki washukiwa wawili kuhusiana na shambulio katika nyumba moja ya Wapalestina eneo la Ukingo Magharibi.

 

11 years ago

BBCSwahili

Nahodha, baharia 3 washtakiwa kuua Korea

Nahodha na wafanyakazi wengine watatu wa feri iliyozama Korea Kusini mwezi uliopita wameshtakiwa kwa kuua bila kukusudia.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mawaziri 2 washtakiwa na ufisadi Kenya

Waziri wa ardhi nchini Kenya aliyesimamishwa kazi Charity Ngilu amefikishwa mahakamani na kujibu mashtaka ya kuwazuia maafisa wa shirika la kupambana na ufisadi kuchunguza stakabadhi za ardhi moja ambayo umiliki wake una utata jijini Nairobi

 

9 years ago

BBCSwahili

Wanafunzi 20 washtakiwa na ulevi Kenya

Wanafunzi 20 wa shule za upili nchini Kenya wamepelekwa mahakamani na kushtakiwa kwa kuwa walevi na wenye tabia mbaya.

 

10 years ago

BBCSwahili

Raia 77 wa Uchina washtakiwa Kenya

Polisi nchini Kenya wamewafikisha mahakamani raia 77 wa Uchina kwa kushukiwa kushiriki udukuzi wa mawasiliano na ulanguzi wafedha.

 

11 years ago

BBCSwahili

Wanaharakati 8 washtakiwa Mombasa, Kenya

Wanaharakati wanane wamefunguliwa mashitaka mjini Mombasa Pwani ya Kenya wakituhumiwa kwa kuhusika na maandamano haramu.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wapenzi wa jinsia moja washtakiwa Kenya

Wanaume wawili katika eneo la Kwale Pwani ya Kenya wamefikishwa mahakamani kujibu mashtaka ya kufanya mapenzi ya jinsia moja.

 

10 years ago

BBCSwahili

Anglo Leasing:viongozi washtakiwa Kenya

Hatimaye viongozi waliokuwa mamlakani wakati wa kashfa ya kuchapisha pasipoti za wakenya wamefikishwa mahakamani leo

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani