Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Waisraeli washtakiwa kuua Wapalestina

Maafisa wa mashtaka nchini Israel wamewashtaki washukiwa wawili kuhusiana na shambulio katika nyumba moja ya Wapalestina eneo la Ukingo Magharibi.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Wapalestina 2 wauawa na Waisraeli

Maafisa wa afya wa Palestina wanasema wapalestina wawili wameuawa baada ya vikosi vya Israeli kufyatua risasi katika ukingo wa Magharibi.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wapalestina wanashukiwa kuua na kuteka

Jeshi la Israel limesema wapalestina wawili wanashukiwa kuhusika katika kuteka na kuua vijana watatu wakiisrael mwezi juni 2014

 

9 years ago

BBCSwahili

Polis 4 washtakiwa kwa kuua mshukiwa

Maafisa wanne wa polisi wameshtakiwa baada ya kunaswa na kamera za siri CCTV wakimpiga risasi na kumuua mshukiwa mmoja wa uhalifu

 

11 years ago

BBCSwahili

Nahodha, baharia 3 washtakiwa kuua Korea

Nahodha na wafanyakazi wengine watatu wa feri iliyozama Korea Kusini mwezi uliopita wameshtakiwa kwa kuua bila kukusudia.

 

9 years ago

BBCSwahili

Wafugaji washtakiwa kwa kuua simba 2 Kenya

Wafugaji wawili wa mifugo wamefikishwa mahakamani nchi Kenya kujibu mashtaka ya kuweka sumu kwenye mzoga wa ng'ombe na kusababisha vifo vya simba 2

 

10 years ago

BBCSwahili

Dereva Mpalestina awagonga Waisraeli

Polisi nchini Israeli wanasema kuwa dereva ambaye anaaminiwa kuwa Mpalestina amevurumisha gari katikati ya kundi la watu.

 

9 years ago

BBCSwahili

Mwanamke mpalestina auawa na Waisraeli

Polisi wa Israili wanasema kuwa Mpalestina amepigwa risasi na kuuawa,kwa kumdunga kisu askari wa Israeli

 

9 years ago

BBCSwahili

Netanyahu atahadharisha Waisraeli Waarabu

Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu amesema usalama utaimarishwa zaidi katika maeneo ya Wairsaeli Waarabu baada ya mshambuliaji kuua watu wawili mjini Tel Aviv.

 

9 years ago

BBCSwahili

Waisraeli waliochoma moto Mpalestina kuhukumiwa

Mahakama moja nchini Israel imewapata waisraeli wawili na hatia ya kumuua kijana wa kipalestina mwaka wa 2014.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani