Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wapalestina wanashukiwa kuua na kuteka

Jeshi la Israel limesema wapalestina wawili wanashukiwa kuhusika katika kuteka na kuua vijana watatu wakiisrael mwezi juni 2014

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Waisraeli washtakiwa kuua Wapalestina

Maafisa wa mashtaka nchini Israel wamewashtaki washukiwa wawili kuhusiana na shambulio katika nyumba moja ya Wapalestina eneo la Ukingo Magharibi.

 

10 years ago

Habarileo

Kesi ya kuteka mwanafunzi yaahirishwa

KESI ya kumteka mwanafunzi wa darasa la pili, inayomkabili Mkulima Juma Hamis (41) katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imeahirishwa hadi Machi 18 mwaka huu itakapoendelea kusikilizwa.

 

10 years ago

GPL

MWANAMKE ADAIWA KUTEKA WATOTO

Mama anayefahamika kwa jina la Sara Zoya akiwa na watoto wake, Imani (14) na Leila (5). Stori: Shani Ramadhani
Mama mmoja, Sara Zoya mkazi wa Mabibo Makuburi, jijini Dar es Salaam amekimbilia polisi na kudai kuwa watoto wake walitekwa na ndugu yake  kisha kupelekwa kusikojulikana baada ya kufukuzwa kwenye nyumba yao ya familia. Sara alidai kuwa ndugu yao huyo aliyefanya kitendo hicho cha utekaji ni Hilda Zoya ambaye anadai...

 

11 years ago

Habarileo

Kova akanusha Noah kuteka watoto

WAKATI hofu juu ya usalama wa watoto katika maeneo mbalimbali ya Jiji la Dar es Salaam ikizidi kutanda miongoni mwa wazazi na walezi, Polisi imekanusha kuwapo kwa matukio ya utekaji nyara watoto wanaosoma shule za msingi na kufanyiwa unyama ukiwamo ulawiti, kuuawa na hata kuchunwa ngozi.

 

11 years ago

BBCSwahili

Boko Haram wakiri kuteka wasichana

Kundi Boko Haram linasema kuwa ndilo lililowateka nyara wasichana 200 ambao hawajulikani waliko kwa wiki tatu sasa.

 

10 years ago

BBCSwahili

Al Shabaab wadai kuteka askari wa Uganda

Wapiganaji wa kiislamu wa Alshabab wamesema katika maneno yao kuwa linawashikilia mateka wa kivita kutoka Uganda waliowateka wakati wa mashambulizi ya wiki iliyopita.

 

11 years ago

Habarileo

Waasia 2 kortini njama za kuteka nyara

WATU wawili wenye asili ya bara la Asia, wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu wakikabiliwa na mashitaka ya kupanga njama za kuteka nyara.

 

11 years ago

BBCSwahili

IS wakaribia kuteka mji muhimu Syria

Mji wa wakurdi wa Kobane nchini Syria unakabiliwa na hatari kubwa ya kutekwa na wapiganaji wa Islamic State

 

9 years ago

BBCSwahili

Wapalestina 2 wauawa na Waisraeli

Maafisa wa afya wa Palestina wanasema wapalestina wawili wameuawa baada ya vikosi vya Israeli kufyatua risasi katika ukingo wa Magharibi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani