Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


IS wakaribia kuteka mji muhimu Syria

Mji wa wakurdi wa Kobane nchini Syria unakabiliwa na hatari kubwa ya kutekwa na wapiganaji wa Islamic State

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Jeshi la Syria lakomboa mji muhimu

Serikali ya Syria yakomboa mji wa Yabroud, karibu na mpaka wa Libnan na ngome ya wapiganaji wanaopinga serikali

 

10 years ago

BBCSwahili

Is yauharibu mji wa Palmyra,Syria

Wakuu wa mambo ya kale nchini Syria wameonya juu ya majanga yanayosababishwa na IS nchini humo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wakurd waukomboa mji wa Tel Abyad, Syria

Wapiganaji wa Kikurd wameutwaa mji wa Tel Abyad wa Syria kutoka kwa wapiganaji wa Islamic State

 

11 years ago

BBCSwahili

Waasi wa Tuareg watwaa mji muhimu Mali

Baada ya mapigano makali baina yao na serikali, waasi wa Tuareg wameudhibiti mji wa kaskazini mwa Mali wa Kidal

 

5 years ago

BBCSwahili

Vita vya Syria: Serikali ya Syria itajuta kwa kuwashambulia wanajeshi wa Uturuki

Onyo hilo la rais Erdogan linajiri baada ya wanajeshi wa Uturuki kuuawa na vikosi vya Syria mjini Idlib

 

5 years ago

BBCSwahili

11 years ago

Habarileo

Mwafaka Rwanda, DRC wakaribia

MGOGORO wa kidiplomasia kati ya nchi za Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) na Rwanda, unaelekea ukingoni baada ya kikundi cha wapiganaji cha FDLR kukubali kuweka silaha chini kwa hiyari yao. Kikundi hicho kilipeleka barua rasmi katika Mkutano wa Kimataifa wa Pili wa Mawaziri wa Jumuiya ya Maendeleo ya Kusini mwa Afrika (SADC) na Jumuiya ya Nchi za Ukanda wa Maziwa Makuu (ICGLR), uliomalizika juzi Luanda nchini Angola, kuelezea nia yao ya kuweka silaha chini.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mradi wa Suez wakaribia kufunguliwa

Njia ya pili ya Mfereji wa Suez itakuwa tayari Agosti - mradi kipenzi wa Rais al-Sisi

 

10 years ago

Bongo Movies

Wema: Kupendeza ni Muhimu Ila Kuelimika ni Muhimu Zaidi

Mrembo na Staa wa Bongo Movies, Wema Sepetu ameandika hayo mtandaoni mara baada ya kuweka picha  hiyo hapo juu akiwa anapiga kitabu.

“Kupendeza ni muhimu ila kuelimika ni muhimu zaidi. Je, unajaribu kujifunza kitu kipya kila siku?” Wema alihoji na kuendelea “Elimu haina mwisho na mie binafsi najifunza mengi kwa kaka angu….
 Jitahidi kujiendeleza kimawazo na hautakwama ukikutana na vikwazo!”…..

Nadhani kila mmoja wetu atauzingatia ujumbe huu, hongera sana Wema.

Mzee wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani