Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mradi wa Suez wakaribia kufunguliwa

Njia ya pili ya Mfereji wa Suez itakuwa tayari Agosti - mradi kipenzi wa Rais al-Sisi

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Habarileo

Mradi Ruvu Chini wakaribia kumalizika

MAMLAKA ya Maji Safi na Maji Taka Dar es Salaam (DAWASA) inaendelea kuboresha na kuimarisha miundombinu ya maji ili kuwanufaisha wakazi wa mikoa ya Dar es Salaam na Pwani ili kuwa na uhakika wa kupata maji kwa mahitaji yao ya kila siku.

 

11 years ago

Habarileo

Mwafaka Rwanda, DRC wakaribia

MGOGORO wa kidiplomasia kati ya nchi za Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) na Rwanda, unaelekea ukingoni baada ya kikundi cha wapiganaji cha FDLR kukubali kuweka silaha chini kwa hiyari yao. Kikundi hicho kilipeleka barua rasmi katika Mkutano wa Kimataifa wa Pili wa Mawaziri wa Jumuiya ya Maendeleo ya Kusini mwa Afrika (SADC) na Jumuiya ya Nchi za Ukanda wa Maziwa Makuu (ICGLR), uliomalizika juzi Luanda nchini Angola, kuelezea nia yao ya kuweka silaha chini.

 

10 years ago

BBCSwahili

IS wakaribia kuteka mji muhimu Syria

Mji wa wakurdi wa Kobane nchini Syria unakabiliwa na hatari kubwa ya kutekwa na wapiganaji wa Islamic State

 

11 years ago

Tanzania Daima

‘Wananchi Ubumu wakaribia kutua mzigo’

WANANCHI wa Kata ya Ibumu, Wilaya ya Kilolo, mkoani Iringa wamesema wanakaribia kutua mzigo na kupunguza uchovu walionao unaosababishwa na utawala dhalimu wa kiimla waliokuwa wakitawaliwa katani humo. Wananchi hao...

 

10 years ago

Mtanzania

Busungu, Mandawa hao wakaribia Simba

simbaNa Judith Peter, Dar es Salaam
WASHAMBULIAJI wawili, Rashid Mandawa na Malimi Busungu, wanakaribia kutua ndani ya timu ya Simba kwa ajili ya msimu ujao wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara.
Mandawa (Kagera Sugar) na Busungu (Mgambo JKT) ni moja ya washambuliaji wazawa waliofanya vizuri ligi kuu msimu uliopita, Mandawa akicheka na nyavu mara 10, huku straika mwenzake huyo akifunga nane.
Chanzo cha ndani ya Simba kililipasha MTANZANIA jana kuwa mazungumzo yao na wawili hao yamefikia sehemu...

 

10 years ago

Dewji Blog

Timu ya Rainer Zietlow wakaribia kuvunja rekodi ya dunia

Dereva kutoka  nchini Ujerumani Rainer Zietlow (katikati) akizungumza na wanahabari kuhusiana na rekodi yake ya kusafiri umbali mrefu Duniani mara baada ya kuwasili nchini Tanzania kwenye Ofisi za Alliance Autos, Kulia ni Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni ya CFAO Motors,  Bw.Wayne McIntosh na kushoto ni Meneja Masoko wa CFAO Motors, Tharaia Ahmed.

Na Mwandishi Wetu

DEREVA raia wa Ujerumani Rainer Zietlof yuko mbioni kuvunja rekodi ya dunia ya kuendesha gari kwa kilometa 17,000 kutoka Ulaya...

 

11 years ago

Mwananchi

Wanasayansi wakaribia kupata dawa itakayozuia mtu kuzeeka

>Vyuo vikuu vitatu maarufu duniani vimekuja na matokeo ya utafiti ambao unaweza kukata kiu ya wengi ambao hawatamani kamwe kuzeeka.

 

10 years ago

BBC

Trial run for second Suez Canal

The first cargo ships pass through Egypt's second Suez Canal, as part of a test-run ahead of its official opening.

 

10 years ago

BBC

VIDEO: On the banks of the new Suez Canal

Ahead of the inauguration of Egypt's new Suez Canal, Sally Nabil went to take a look at the waterway.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani