Busungu, Mandawa hao wakaribia Simba
Na Judith Peter, Dar es Salaam
WASHAMBULIAJI wawili, Rashid Mandawa na Malimi Busungu, wanakaribia kutua ndani ya timu ya Simba kwa ajili ya msimu ujao wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara.
Mandawa (Kagera Sugar) na Busungu (Mgambo JKT) ni moja ya washambuliaji wazawa waliofanya vizuri ligi kuu msimu uliopita, Mandawa akicheka na nyavu mara 10, huku straika mwenzake huyo akifunga nane.
Chanzo cha ndani ya Simba kililipasha MTANZANIA jana kuwa mazungumzo yao na wawili hao yamefikia sehemu...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
9 years ago
TheCitizen27 Sep
Busungu the hero as Yanga spank Simba
11 years ago
GPLKaseja: Waleteni hao Simba SC
9 years ago
Habarileo19 Sep
Julio: Simba, Yanga Azam hao ndio nani?
TIMU ya Mwadui FC imesema haiziogopi timu za Azam, Simba wala Yanga kwani imejipanga kuhakikisha inapambana nazo kuondoka na ushindi.
9 years ago
MichuziWAZIRI MKUU MAJALIWA AHUTUBIA- MANDAWA
11 years ago
MichuziIN LOVING MEMORY OF MZEE JAMES GERALD MANDAWA
OUR HEARTS ARE FULL OF FOND MEMORIES; YOU GAVE US SO MUCH TO REMEMBER.
WE REMEMBER ALL THE SUPPORT AND GUIDANCE YOU PROVIDED THAT HAS BUILT A SOLID FOUNDATION IN OUR LIVES AND HAS MADE US WHAT WE ARE TODAY.
WE CHERISH THE GOOD TIMES WE HAVE HAD TOGETHER AND THE LOVE THAT...
10 years ago
GPLBusungu asaini Yanga
10 years ago
GPLWADHAMINI WAKUU WA LIGI KUU YA VODACOM TANZANIA BARA WAMTUNZA MANDAWA
10 years ago
BBCSwahili13 Jun
Mradi wa Suez wakaribia kufunguliwa
9 years ago
Habarileo28 Oct
Maguri, Busungu waitwa Stars
WASHAMBULIAJI Elias Maguri wa Stand United ya Shinyanga na Malimi Busungu wa Yanga, wameongezwa katika kikosi cha timu ya soka ya Taifa ‘Taifa Stars’ kitakachoingia kambini Oman kujiandaa na mchezo dhidi ya Algeria mwezi ujao.