Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kaseja: Waleteni hao Simba SC

Kipa mpya wa Yanga, Juma Kaseja. Na Wilbert Molandi
KIPA mpya wa Yanga, Juma Kaseja, amesema yupo tayari muda na wakati wowote kucheza mechi dhidi ya timu yake ya zamani, Simba. Kaseja ametoa kauli hiyo juzi Jumamosi mara baada ya kumalizika kwa mchezo wa kirafiki dhidi ya KMKM ya Zanzibar kwa ajili ya kujiandaa na mechi ya Mtani Jembe itakayowakutanisha Simba na Yanga kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam, Jumamosi ijayo....

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Tanzania Daima

Maximo: Waleteni Simba

KOCHA Mkuu wa Yanga, Mbrazil Mercio Maximo, amesema hana hofu na mechi dhidi ya Simba itakayopigwa Oktoba 18, katika Uwanja wa Taifa, jijini Dar es Salaam, akisema ana imani kubwa...

 

9 years ago

Mwananchi

Pluijm: Waleteni Simba

Baada ya kuifunga Azam katika mchezo wa Ngao ya Jamii, Kocha wa Yanga, Hans Pluijm ametamba kuwa sasa yuko tayari kucheza na watani wao wa jadi Simba muda wowote.

 

10 years ago

Mtanzania

Busungu, Mandawa hao wakaribia Simba

simbaNa Judith Peter, Dar es Salaam
WASHAMBULIAJI wawili, Rashid Mandawa na Malimi Busungu, wanakaribia kutua ndani ya timu ya Simba kwa ajili ya msimu ujao wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara.
Mandawa (Kagera Sugar) na Busungu (Mgambo JKT) ni moja ya washambuliaji wazawa waliofanya vizuri ligi kuu msimu uliopita, Mandawa akicheka na nyavu mara 10, huku straika mwenzake huyo akifunga nane.
Chanzo cha ndani ya Simba kililipasha MTANZANIA jana kuwa mazungumzo yao na wawili hao yamefikia sehemu...

 

9 years ago

Habarileo

Julio: Simba, Yanga Azam hao ndio nani?

TIMU ya Mwadui FC imesema haiziogopi timu za Azam, Simba wala Yanga kwani imejipanga kuhakikisha inapambana nazo kuondoka na ushindi.

 

10 years ago

Vijimambo

KASEJA KIVUTIO SIMBA


Kaseja kivutio Simba
Mara baada ya kocha Goran Kopunovic kumaliza mazoezi ya asubuhi wachezaji wa Simba walimvamia kipa huyo na kuanza kumsalimia huku wengine wakimtania
KIPA Juma Kaseja, leo amekuwa kivutio kikubwa kwa wachezaji wa Simba waliokuwa wakifanya mazoezi kwenye uwanja wa Chuo kikuu cha Dar es Salaam UDSM.Mara baada ya kocha Goran Kopunovic kumaliza mazoezi ya asubuhi wachezaji wa Simba walimvamia kipa huyo na kuanza kumsalimia huku wengine wakimtania.
Kaseja ameiambia Goal yeye ni...

 

9 years ago

Mwananchi

Boban, Kaseja kuitibulia Simba SC

Mshambuliaji wa zamani wa Simba, Haruna Moshi ‘Boban’ na kipa Juma Kaseja ni miongoni mwa silaha za Mbeya City zilizoandaliwa kuiua timu ya Mtaa wa Msimbazi, Dar es Salaam.

 

10 years ago

Vijimambo

Kaseja asilimia 90 kutua Simba

Kipa Juma Kaseja, anakaribia kurejea kwenye klabu yake ya zamani ya Simba baada ya uongozi wa klabu hiyo ya Wekundu wa Msimbazi kupanga kukutana na meneja wa mchezaji huyo leo kwa ajili ya kufanya mazungumzo ya kutaka kumsajili, imeelezwa jana jijini Dar es Salaam.

Simba imeamua kufanya mazungumzo ya kumsajili Kaseja kutokana na ripoti ya Kocha Mkuu, Mzambia Patrick Phiri, iliyoeleza kuwa inahitaji kupata kipa mzoefu ambaye ataisaidia timu kupata matokeo mazuri.

Akizungumza na gazeti hili jana...

 

10 years ago

CloudsFM

Makipa wa timu ya Simba,Ivo Mapunda na Juma Kaseja watembelea Jahazini.

Kipa wa Klabu ya Simba Ivo Mapunda akizungumza kwenye kipindi cha Jahazi leo.

 

11 years ago

GPL

BAO LA 3 LA SIMBA: JUMA KASEJA VS AWADH JUMA

Kipa wa Yanga, Juma Kaseja (kulia) akijaribu kuumiliki mpira mbele ya mshambuliaji wa Simba, Awadh Juma. ...Kaseja akiuchukua mpira.…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani