Kaseja: Waleteni hao Simba SC
![](http://api.ning.com:80/files/KtF8hZpsH-1W0g6VF*osoRI*1huINF0SBL9-8ZXKmtlX-cHNwuxoCkvw54bKb1yu79akm4RuPxCLq*vmwlotUUDFcd1VIjUK/juma_kaseja.jpg?width=640)
Kipa mpya wa Yanga, Juma Kaseja. Na Wilbert Molandi KIPA mpya wa Yanga, Juma Kaseja, amesema yupo tayari muda na wakati wowote kucheza mechi dhidi ya timu yake ya zamani, Simba. Kaseja ametoa kauli hiyo juzi Jumamosi mara baada ya kumalizika kwa mchezo wa kirafiki dhidi ya KMKM ya Zanzibar kwa ajili ya kujiandaa na mechi ya Mtani Jembe itakayowakutanisha Simba na Yanga kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam, Jumamosi ijayo....
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima07 Oct
Maximo: Waleteni Simba
KOCHA Mkuu wa Yanga, Mbrazil Mercio Maximo, amesema hana hofu na mechi dhidi ya Simba itakayopigwa Oktoba 18, katika Uwanja wa Taifa, jijini Dar es Salaam, akisema ana imani kubwa...
9 years ago
Mwananchi24 Aug
Pluijm: Waleteni Simba
10 years ago
Mtanzania18 May
Busungu, Mandawa hao wakaribia Simba
Na Judith Peter, Dar es Salaam
WASHAMBULIAJI wawili, Rashid Mandawa na Malimi Busungu, wanakaribia kutua ndani ya timu ya Simba kwa ajili ya msimu ujao wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara.
Mandawa (Kagera Sugar) na Busungu (Mgambo JKT) ni moja ya washambuliaji wazawa waliofanya vizuri ligi kuu msimu uliopita, Mandawa akicheka na nyavu mara 10, huku straika mwenzake huyo akifunga nane.
Chanzo cha ndani ya Simba kililipasha MTANZANIA jana kuwa mazungumzo yao na wawili hao yamefikia sehemu...
9 years ago
Habarileo19 Sep
Julio: Simba, Yanga Azam hao ndio nani?
TIMU ya Mwadui FC imesema haiziogopi timu za Azam, Simba wala Yanga kwani imejipanga kuhakikisha inapambana nazo kuondoka na ushindi.
10 years ago
Vijimambo29 Mar
KASEJA KIVUTIO SIMBA
![](http://static.goal.com/1150700/1150702_heroa.jpg)
Kaseja kivutio Simba
Mara baada ya kocha Goran Kopunovic kumaliza mazoezi ya asubuhi wachezaji wa Simba walimvamia kipa huyo na kuanza kumsalimia huku wengine wakimtania
KIPA Juma Kaseja, leo amekuwa kivutio kikubwa kwa wachezaji wa Simba waliokuwa wakifanya mazoezi kwenye uwanja wa Chuo kikuu cha Dar es Salaam UDSM.Mara baada ya kocha Goran Kopunovic kumaliza mazoezi ya asubuhi wachezaji wa Simba walimvamia kipa huyo na kuanza kumsalimia huku wengine wakimtania.
Kaseja ameiambia Goal yeye ni...
9 years ago
Mwananchi16 Oct
Boban, Kaseja kuitibulia Simba SC
10 years ago
Vijimambo15 Nov
Kaseja asilimia 90 kutua Simba
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Kaseja--November14-2014.jpg)
Simba imeamua kufanya mazungumzo ya kumsajili Kaseja kutokana na ripoti ya Kocha Mkuu, Mzambia Patrick Phiri, iliyoeleza kuwa inahitaji kupata kipa mzoefu ambaye ataisaidia timu kupata matokeo mazuri.
Akizungumza na gazeti hili jana...
10 years ago
CloudsFM17 Dec
Makipa wa timu ya Simba,Ivo Mapunda na Juma Kaseja watembelea Jahazini.
Kipa wa Klabu ya Simba Ivo Mapunda akizungumza kwenye kipindi cha Jahazi leo.
11 years ago
GPLBAO LA 3 LA SIMBA: JUMA KASEJA VS AWADH JUMA