Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Pluijm: Waleteni Simba

Baada ya kuifunga Azam katika mchezo wa Ngao ya Jamii, Kocha wa Yanga, Hans Pluijm ametamba kuwa sasa yuko tayari kucheza na watani wao wa jadi Simba muda wowote.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Maximo: Waleteni Simba

KOCHA Mkuu wa Yanga, Mbrazil Mercio Maximo, amesema hana hofu na mechi dhidi ya Simba itakayopigwa Oktoba 18, katika Uwanja wa Taifa, jijini Dar es Salaam, akisema ana imani kubwa...

 

11 years ago

GPL

Kaseja: Waleteni hao Simba SC

Kipa mpya wa Yanga, Juma Kaseja. Na Wilbert Molandi
KIPA mpya wa Yanga, Juma Kaseja, amesema yupo tayari muda na wakati wowote kucheza mechi dhidi ya timu yake ya zamani, Simba. Kaseja ametoa kauli hiyo juzi Jumamosi mara baada ya kumalizika kwa mchezo wa kirafiki dhidi ya KMKM ya Zanzibar kwa ajili ya kujiandaa na mechi ya Mtani Jembe itakayowakutanisha Simba na Yanga kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam, Jumamosi ijayo....

 

10 years ago

Mwananchi

Kipigo cha Simba chamrejesha darasani Pluijm

Kipigo cha bao 1-0 ilichokipata Yanga kutoka kwa watani wao wa jadi Simba, kimemfungua macho kocha Hans Pluijm na benchi lake la ufundi ambao wameamua kulivalia njuga tatizo la kutomiliki mpira kwa wachezaji.

 

10 years ago

Mwananchi

Pluijm ataka bao la mapema kuiua Simba

Kocha wa Yanga, Mdachi Hans Pluijm ametaja mbinu mkakati atakazozitumia Jumapili kuwasambaratisha watani wao wa jadi, Simba.

 

11 years ago

GPL

Simba wakaa mezani na Pluijm kwa saa sita

  Na Hans Mloli
USAJILI wa kuwindana unaendelea kushika hatamu lakini upande wa pili wa shilingi juzi Kocha wa Yanga, Mholanzi, Hans van Der Pluijm na baadhi ya viongozi wa Simba, waliweka tofauti hizo za soka pembeni na kufanya mazungumzo kwa takribani saa sita na ushee. Viongozi hao walikutana na kocha huyo na kukaa meza moja na kuzungumza huku wakipata vinywaji walipohudhuria kwenye tukio zima la utoaji wa tuzo za...

 

10 years ago

Vijimambo

KUJIANDA NA MPAMBANO WA JUMAPILI KATI YA YANGA NA SIMBA PLUIJM ATIRIRIKA

Kocha Mkuu wa Yanga, Hans van der Pluijm amesema wiki moja ya maandalizi kwa ajili ya Simba, itawasaidia sana.Yanga inaivaa Simba katika mechi ya Ligi Kuu Bara utakayopigwa Jumapili ijayo kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar.Tayari Yanga iko kambini mjini Bagamoyo ambako ilipitiliza moja kwa baada ya kutua nchini ikitokea Botswana. "Pluijm amesema kuwa wiki moja itawasaidia kurekebisha makosa kadhaa.“Makosa hayaishi katika mpira, lakini wiki moja ya maandalizi itatupa nafasi nzuri.“Ukiona timu...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani