Pluijm ataka bao la mapema kuiua Simba
Kocha wa Yanga, Mdachi Hans Pluijm ametaja mbinu mkakati atakazozitumia Jumapili kuwasambaratisha watani wao wa jadi, Simba.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi15 Aug
Hall ataka kuiua Yanga mapema
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/fF4HFdlaoO5-kVx0ekdAKWM1Qth7qfxYdNnmMwn1oViPJzCX0eNstwWB0ZK*GBru9w9elGtN7q-CZ8-MLYjURPRVhLNV0Hsw/MAXMO.gif?width=650)
Maximo ampiga bao Pluijm Yanga
10 years ago
Mtanzania10 Apr
Pluijm: nimeweka historia kupiga bao 8
NA MWALI IBRAHIM, DAR ES SALAAM
KOCHA Mkuu wa Yanga, Hans Van Der Pluijm, ameeleza kuwa ameandika historia ya kwanza tangu aanze kufundisha soka, kwa timu yake kufunga mabao nane katika mchezo mmoja.
Yanga juzi iliitungua Coastal Union mabao 8-0, katika mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara uliochezwa Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam na kuzidi kujiweka kwenye nafasi nzuri zaidi ya kuchukua ubingwa wa ligi, ikiwa na jumla ya pointi 43.
Wanajangwani hao wameandika historia ya pekee kwenye msimu huu...
10 years ago
Vijimambo27 Feb
BAO LA MAPEMA LA NGASSA LAIVUSHA YANGA ROUND YA PILI LICHA LA KULALA UGENINI 2-1
![DSC_0863-794466](http://shaffihdauda.co.tz/wp-content/uploads/2015/02/DSC_0863-794466.jpg)
9 years ago
Mtanzania05 Oct
Simba yajipanga kuiua Mbeya City
NA MWALI IBRAHIM, DAR ES SALAAM
TIMU ya Simba imeanza kuipigia hesabu Mbeya City wanayotarajia kucheza nayo Oktoba 17 mwaka huu kwenye Uwanja wa Sokoine, Mbeya, wekundu hao wamedai kuwa ili kuzoa pointi zote tatu wamepanga kufika mapema mkoani humo.
Wachezaji wa Simba ambao hawamo kwenye timu za Taifa, wanatarajia kuanza tena mazoezi leo baada ya mapumziko ya siku mbili, tayari kabisa kujiandaa na mchezo huo muhimu wa Ligi Kuu Tanzania Bara.
Msimu uliopita Simba iliambulia patupu mbele ya...
9 years ago
Mwananchi26 Nov
Azam yaandaa mikakati ya kuiua Simba
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Dy9ynGgwNlSY4wfuKIdtsPs-d*iUYIecvp5G-bkVw4o2XjxXGQ3Vk2Hen85cwOieaFEOv0RgPhqQF9EfCyKtMK8nCmSti2hs/jaja.jpg)
Jaja, Coutinho wapewa siri kuiua Simba
9 years ago
Habarileo16 Oct
Boban ajifua Mbeya City kuiua Simba kesho
KIUNGO mahiri wa zamani wa Simba na timu ya taifa ya Tanzania `Taifa Stars’, Haruna Moshi `Boban’ amejiunga rasmi na klabu ya Mbeya City na jana alianza mazoezi kujiandaa na mchezo wa Ligi Kuu ya Bara dhidi ya Simba, kesho.
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-qlralvQLbCA/Uwn-FsrthcI/AAAAAAAFPE8/VQACTSdHa2Y/s72-c/IMG_3712.jpg)
Mtanange wa Simba na JKT Ruvu Uwanja wa Taifa hivi sasa: Simba washalala kwa bao 2 - 0
![](http://1.bp.blogspot.com/-qlralvQLbCA/Uwn-FsrthcI/AAAAAAAFPE8/VQACTSdHa2Y/s1600/IMG_3712.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-iRYbrDUfPqk/Uwn-Gn-TwHI/AAAAAAAFPFE/eMIQriaeepY/s1600/IMG_3714.jpg)
Wachezaji wa timu ya JKT Ruvu wakishangilia mara baada ya kuitandika Simba bao la pili.