Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Hall ataka kuiua Yanga mapema

Kocha wa Azam FC, Stewart Hall amewataka wachezaji wake kutafuta ushindi wa mapema katika mechi yao ijayo ya Ngao ya Hisani dhidi ya Yanga itakayochezwa Agosti 22 uwanja wa Taifa, jijini Dar es Salaam.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Pluijm ataka bao la mapema kuiua Simba

Kocha wa Yanga, Mdachi Hans Pluijm ametaja mbinu mkakati atakazozitumia Jumapili kuwasambaratisha watani wao wa jadi, Simba.

 

10 years ago

Mwananchi

Prisons, Mbeya City waungana kuiua Yanga

Ni urafiki wenye shaka. Hivyo, ndivyo unavyoweza kuzungumzia hatua ya mashabiki wa Prisons na Mbeya City kuungana ili kuimaliza Yanga.

 

9 years ago

Mwananchi

Kerr aandaa silaha zote kuiua Yanga

Kocha mkuu wa Simba, Dylan Kerr anacheza na nyakati na ni mjanja kweli kweli.

 

11 years ago

Mwananchi

Hall: Simba, Yanga aibu

Kocha wa zamani wa Azam FC, Stewart Hall amewaponda viongozi wa klabu za Simba na Yanga kwa kusema ndio wanaoziharibu timu hizo kisha kuwatwisha mzigo makocha wao.

 

9 years ago

Mwananchi

Hall asingizia mashabiki wa Yanga

Kocha wa Azam, Stewart Hall amelia na mashabiki wa Yanga kuwa ni miongoni mwa sababu za timu yake kupoteza mchezo wa Ngao ya Jamii juzi.

 

10 years ago

Mwananchi

Yanga jiandaeni mapema, Waarabu wepesi tu

Kati ya Aprili 17, 18 na 19, 2015, wawakilishi pekee wa Tanzania, katika michuano ya klabu Afrika, Kombe la Shirikisho, Yanga itakuwa katika harakati za kuwania heshima ya ubingwa kwa klabu Afrika.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Nyota Yanga: Ubabaishaji umenistaafisha soka mapema

KARIBU mpendwa msomaji wa gazeti pendwa la Tanzania Daima, katika safu ya ‘Jicho Letu Mtandaoni’ inayokujia kila Jumatatu, ikibeba dhima ya kukupa wewe msomaji machache kati ya mengi yanayojiri katika kurasa/akaunti za...

 

10 years ago

Vijimambo

BAO LA MAPEMA LA NGASSA LAIVUSHA YANGA ROUND YA PILI LICHA LA KULALA UGENINI 2-1

DSC_0863-794466Dk 29, Ngassa analiifungia Yanga bao safi kwa kichwa cha kuchupa baada ya basi nzuri ya Amissi Tambwe aliyeuwahi mpira alioutema kipa wa BDF. Kipindi cha pili BDF XI walirudi na moto na kufanikiwa kuwabana yanga na kurudisha bao na kuongeza la pili lakini na matokeoa kusomeka mwisho wa mchezo 2-1 yanga wanafaida na bao la ugenini na pia ushondo wa 2 bila majibu walioupata Tanzania katika mchezo wao wa Tanzania uliwaakikishia kuwa na kazi nyepese kwenye mchezo wa marudiano. Kwaiyo kwa matokeo...

 

11 years ago

Mwananchi

FALSAFA MBADALA: Waelimike mapema badala ya kuzaa mapema

Mimba kwa wasichana wadogo ni miongoni mwa sababu zinazowakatisha masomo wasichana wengi hapa Tanzania.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani