Kerr aandaa silaha zote kuiua Yanga
Kocha mkuu wa Simba, Dylan Kerr anacheza na nyakati na ni mjanja kweli kweli.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi15 Aug
Hall ataka kuiua Yanga mapema
10 years ago
Mwananchi19 Feb
Prisons, Mbeya City waungana kuiua Yanga
10 years ago
Habarileo01 Aug
Yanga, Azam hazinisumbui -Kerr
KOCHA Mkuu wa timu ya Simba, Dlyan Kerr amesema ameziona Yanga na Azam na anahisi kwake hazitamsumbua katika ligi.
9 years ago
Habarileo22 Sep
Kerr atamba Yanga hawatachomoka
KOCHA Mkuu wa Simba, Dylan Kerry amesema amefurahishwa na matokeo mazuri katika mchezo dhidi ya Kagera Sugar na kutuma salamu Yanga kuwa anaifahamu hivyo hawatachomoka katika mchezo ujao.
9 years ago
Mtanzania22 Sep
Yanga yamnyima usingizi Kerr
JUDITH PETER NA ABDUCADO EMMANUEL DAR ES SALAAM
KOCHA Mkuu wa timu ya Simba, Dylan Kerr, amesema bado ana wakati mgumu wa kupanga kikosi cha kwanza kutokana na ubora na viwango vya wachezaji wake.
Kerr amekiri kuwa pambano la Ligi Kuu Tanzania Bara dhidi ya watani wake Yanga litakalofanyika Uwanja wa Taifa,
Dar es Salaam Jumamosi hii litakuwa na upinzani tofauti na mechi ambazo tayari wamecheza.
Kuelekea mchezo huo wa aina yake, Simba itaingia uwanjani ikiwa imeshinda mechi zake tatu za...
9 years ago
Mwananchi19 Oct
Kerr aziombea dua mbaya Yanga, Azam
9 years ago
Habarileo08 Nov
Kerr ang’aka Kessy kutakiwa Yanga
KOCHA wa timu ya soka ya Simba, Dylan Kerr ameutaka uongozi wa timu hiyo kuhakikisha unamwongezea mkataba beki wake wa kulia Hassan Kessy kutokana na mchango mkubwa aliokuwa nao.
10 years ago
Mwananchi28 Jun
Silaha mpya zatua Yanga
9 years ago
Habarileo27 Oct
Yanga yapania pointi zote 3 kwa Mwadui
MABINGWA wa soka Tanzania Bara, Yanga wamewasili salama mjini Shinyanga huku wakitamba kuvuna pointi zote tatu kwa kuishambulia Mwadui FC mwanzo mwisho katika mchezo wao wa Ligi Kuu unaotarajiwa kufanyika kesho.