Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Silaha mpya zatua Yanga

Yanga imezidi kujiimarisha kwa msimu ujao wa ligi na mashindano ya kimataifa baada ya kuwasajili wachezaji wapya watatu.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Kerr aandaa silaha zote kuiua Yanga

Kocha mkuu wa Simba, Dylan Kerr anacheza na nyakati na ni mjanja kweli kweli.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Picha za ngono zatua bungeni

SIKU chache baada ya kusambazwa picha za ngono zikiwahusisha baadhi ya wabunge katika mitandao ya kijamii, serikali imesema inawasaka waliozisambaza kwa kuwa ina uwezo wa kuwabaini. Waziri wa Mawasiliano Sayansi...

 

10 years ago

Mwananchi

Watu wenye silaha wavamia kituo cha polisi Dar, waua, waiba silaha

>Watu wenye silaha wamevamia kituo cha polisi cha Staki Shari jijini Dar es Salaam ambapo katika tukio hilo, watu saba wameripotiwa kuuawa, huku silaha zilizokuwepo katika kituo hicho zikiibwa.

 

9 years ago

GPL

KAMPENI ZA DK MAGUFULI ZATUA GEITA‏

Wakazi wa Mji mdogo wa Katoro wilayani Chato, mkoani Geita wakisikiliza kampeni za Mgombea Urais kwa tiketi ya CCM,  Dk. Jonh Pombe Magufuli, leo. …

 

9 years ago

GPL

KAMPENI ZA MAGUFULI ZATUA UWANJA WA JAMHURI DODOMA

Mgombea urais wa Tanzania kwa tiketi ya CCM, Dk John Pombe Magufuli akiwahutubia wakazi wa Dodoma kwenye mkutano wake wa kampeni. Msanii maarufu wa Bongo fleva, Ally Saleh Kiba 'King Kiba' akitoa burudani kwa wakazi wa Dodoma wakati wa mkutano huo. Msanii maarufu wa Bongo fleva, Khaleed Ramadhan Tunda 'Tunda Man' naye akifanya yake. Magufuli akiomba ridhaa kwa Wanadodoma.… ...

 

11 years ago

GPL

Mbrazil mpya wa Yanga...

Hans Mloli na Sweetbert Lukonge
YANGA noma! Ndivyo unavyoweza kusema kwa sasa baada ya jana kutimiza idadi ya Wabrazili wanne watakaoitumikia klabu hiyo msimu ujao kwa kumleta nchini mshambuliaji mpya kutoka nchini humo, Genilson Santana Santos ‘Jaja’. Genilson Santana Santos ‘Jaja’ alipowasili nchini. Jaja ambaye ametua nchini jana majira ya saa 8.30 mchana katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Yanga wamtega kocha mpya

KLABU ya Yanga imetangaza rasmi kumpatia mkataba wa miezi sita Kocha wake mpya, Hans Van Der Pluijm, ambaye tayari ameungana na timu hiyo iliyopo nchini Uturuki kujipanga kwa raundi ya...

 

10 years ago

Mwananchi

Yanga mpya inavyojengwa taratibu

Yanga imekuwa ikifanya vizuri katika mashindano mbalimbali ambayo inashiriki msimu huu. Kwanza ipo kileleni mwa msimamo wa Ligi Kuu ikiwa na pointi 43 (kabla ya mechi ya jana dhidi ya Mbeya City) huku ikiwa imecheza mechi 19 za ligi hiyo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani