Mbrazil mpya wa Yanga...
![](http://api.ning.com:80/files/*whl3J3XpWTilhx4qyE-FlIXmpkCVxvo8jF0EnlcN6nhE2Ieu4sD4gxJLIGsuFxHBn4lqKuHSKaIwolf-g3laTdw003UKL37/mbele.jpg?width=650)
Hans Mloli na Sweetbert Lukonge YANGA noma! Ndivyo unavyoweza kusema kwa sasa baada ya jana kutimiza idadi ya Wabrazili wanne watakaoitumikia klabu hiyo msimu ujao kwa kumleta nchini mshambuliaji mpya kutoka nchini humo, Genilson Santana Santos ‘Jaja’. Genilson Santana Santos ‘Jaja’ alipowasili nchini. Jaja ambaye ametua nchini jana majira ya saa 8.30 mchana katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima16 Jul
Mbrazil mwingine atua Yanga
MSHAMBULIAJI wa kimataifa kutoka nchini Brazil, Geilson Santos Santana ‘Jaja’ amewasili jijini Dar es Salaam jana mchana akitokea Sao Paulo, Brazil, tayari kwa kuanza kazi ya kuitumikia klabu ya Yanga....
11 years ago
GPLMBRAZIL MWINGINE WA YANGA AANZA MAZOEZI YA NGUVU
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-UQ22ksITao8/VHxuKjkl2SI/AAAAAAAG0kk/Ikvu1rj3ZHU/s72-c/emerson_310_230.jpg)
Kiungo Mbrazil Emerson De Olivera amwaga wino Yanga
![](http://2.bp.blogspot.com/-UQ22ksITao8/VHxuKjkl2SI/AAAAAAAG0kk/Ikvu1rj3ZHU/s1600/emerson_310_230.jpg)
Kiungo Mbrazil Emerson De Olivera Neves Roque pichani kushoto akisaini mkataba leo jijini Dar,wa kutumikia Klabu ya Young Africans,Kulia ni Afisa Habari wa klabu hiyo Baraka Kizuguto.
Dar es Salaam. Wakati Yanga ikimpa mkataba wa mwaka mmoja kiungo Emerson De Oliveira, watani zao Simba wamemtema rasmi mshambuliaji Paul Kiongera.
Emerson amesaini mkataba huo baada ya benchi la ufundi chini ya Mbrazil Marcio Maximo kuridhika na kiwango chake na sasa ataitumikia timu hiyo ya Jangwani.
Emerson...
10 years ago
GPLMBRAZIL EMERSON KUZIBA PENGO LILILOACHWA NA JAJA ALIYEKATISHA MKATABA NA YANGA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dUBGrCUuK8SBkmNifPLJip96jzA4Pw53THAJWnHqNqScNXpymMjjvL2bPIxgwl73V0j0EMUHRpq8yqPlflWR*dDVTDPs0kXS/MAXIMO.gif?width=650)
Straika Mbrazil, Maximo watua Dar
10 years ago
Vijimambo15 Dec
JAJA, COUTINHO, EMERSON WADHIHIRISHA SI KILA MBRAZIL ANAJUA KUCHEZA MPIRA…KIIZA BADO ‘KIDUME’
![](http://shaffihdauda.co.tz/wp-content/uploads/2014/12/HMB_6496.jpg)
YANGA SC wamekuwa wateja wa Simba katika mechi mbili za ‘Nani Mtani Jembe’.Desemba 21 mwaka jana walifungwa mabao 3-1 na Mnyama Simba na jana walitandikwa mabao 2-0.Katika mechi ya jana, wachezaji wa kigeni wa Yanga walikuwa Emerson Oliveira, Andrey Coutinho, Kpah Sherman, Mbuyu Twite na Haruna Niyonzima.Hamis Friday Kiiza tayari walishamtoa, lakini cha kuwashauri Yanga ni kufanya kila wawezalo kumbakisha Mganda huyu kabla ya dirisha dogo la usajili kufungwa...
10 years ago
Mwananchi31 Aug
Yanga yatangaza kamati mpya
10 years ago
Mwananchi28 Jun
Silaha mpya zatua Yanga
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dnCWvahr*CojOOnWqmPbhBRu961w2QXL19VRlEtvqNGPmmaS5ay6NY*uCjFjEOLC5H3Anx180Q*5IRacsdPg7AMGAD5EAjRa/1dar.jpg)
Mbrazili mpya atua Yanga SC