Straika Mbrazil, Maximo watua Dar
![](http://api.ning.com:80/files/dUBGrCUuK8SBkmNifPLJip96jzA4Pw53THAJWnHqNqScNXpymMjjvL2bPIxgwl73V0j0EMUHRpq8yqPlflWR*dDVTDPs0kXS/MAXIMO.gif?width=650)
Kocha Mkuu wa Yanga SC, Marcio Maximo amesani mkataba wa miaka miwili na anatua kesho. Na Walusanga Ndaki UNAWEZA kusema ni kufuru, kwani tayari Yanga imefanikiwa kumsainisha Marcio Maximo mkataba wa miaka miwili na anatua nchi kesho saa saba 7:55 mchana tayari kuanza kazi. Maana yake kuanzia leo, hesabu saa 24 wakati Wabrazil hao watatu watakapotua Yanga ambayo inaweka rekodi mpya ya kuajiri Wabrazil watatu kwa wakati mmoja....
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania16 Mar
TAKUKURU watua bandari Dar
Na Masyaga Matinyi, Dar es Salaam
TAASISI ya Kupambana na Kuzuia Rushwa (TAKUKURU) imeanzisha uchunguzi kubaini mianya ya rushwa na ukiukwaji wa taratibu katika mradi wa ujenzi wa mlango wa Bandari ya Dar es Salaam (Gerezani Creek).
Mradi huo ulisainiwa Septemba 6, 2014 na Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA), Joseph Msambichaka na aliyekuwa Kaimu Mkurugenzi Mkuu, Madeni Kipande, ambaye amesimamishwa kazi kupisha uchunguzi dhidi yake.
Kipande alisimamishwa...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/GO1Rm-PT2pr6taG0dLwa2ZkuHQjb-Xpxm3xPZ6C8R7yCZTORoHi0pwlNrHc28rC5T-wvimUDBE8gngljkk4I*1bwCCAqq*pw/watua.jpg?width=650)
Al Ahly watua Dar na vyakula, maji
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/0PKyB0rYTqo4bJ*fnKqB8LvqQ4rpBGNUj9RDNYZFQuc-4WTYviHToRrcM-TL-vo1L8pdJAbp0qbYZZJb9s-OpeAis71*Nx2P/1.jpg?width=650)
AL AHLY WATUA DAR WAWAFATA CANAVARO, DIDA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8Kb*1kVFSTsmZfOvZR9tEX7WReKhRqXyDiQIrkA0LG1uIiBt99wL5DYLteQQCNUICX7*WcDk4bcHt7ECRNdbwlP-FiRnEr6e/simbanew.jpg?width=650)
SIMBA SC WATUA JIJINI DAR NA KOMBE LA MAPINDUZI
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/EwLJgW6X-wXg2reH5q2K1PhyxUO4Xc3dgbtJRD5kctXQ*z-2h*HE9rErxi1F8QhfYwr0LkPAL2mcPzgx6qru3LGXbb75CzxI/breakingnews.gif)
MAXIMO ATUA DAR
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/j*z2ryZ7D1wVhK8zClY3bs44j39CEOakRnMSnnqhLbJAy2hfaJ6jt*wmsXjXrYC-WDb0937OkPl-xKlGKTCXrRwQBmjKTwHM/MAGUFULI4.jpg?width=650)
DK. MAGUFULI, SAMIA SULUHU WATUA DAR, WAPOKELEWA KWA SHANGWE
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/DbrwTSp7ycPOzjeOLVX5NoyQkjgO4pVoBwLUrHXrAiGUpuVsoSa5i4DVs1*wQHt0gg7VK9ZDnyOn*F2X03AaLwCUMwPax3Ma/tambwe.jpg)
Tambwe, Maximo wakutana Dar
10 years ago
VijimamboINAFRIKA BAND WATUA DAR KUTOKEA KATIKA ZIARA NDEFU YA ULAYA
Bendi maarufu Inafrika band aka "Wazee wa Indege" wamewasili nchini leo wakitokea katika ziara ndefu barani ulaya,bendi hiyo maarufu katikaa mitindo yake ya muziki uliochanganyika na vionjo vya makabila ya Tanzania, ilikuwa kaatika ziara ya miezi mitatu ulaya.
msikose kuwasikiliza Inafrika Band (Wazee wa Indege) at http://www.inafrikaband.co.tz pia wape hi at info@inafrikaband.co.tz
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/lu8a2-fLGRniVnQN*rXSM4PkQddGo8807bBLmn8p7mzanHo8guNrqupCN5itTQDZEyjcFuZeTJWSWBs-*z8UmzkCAS3*iQPI/okwi.jpg)
Okwi, Kiiza wamfuata Maximo Dar