Al Ahly watua Dar na vyakula, maji
![](http://api.ning.com:80/files/GO1Rm-PT2pr6taG0dLwa2ZkuHQjb-Xpxm3xPZ6C8R7yCZTORoHi0pwlNrHc28rC5T-wvimUDBE8gngljkk4I*1bwCCAqq*pw/watua.jpg?width=650)
Na Mwandishi Wetu WAPINZANI wa Yanga katika mechi ya Ligi ya Mabingwa Afrika, Al Ahly ya Misri wameonyesha wamepania kuhakikisha hawapotezi mchezo wa Jumamosi baada ya kutua nchini na maji na baadhi ya vyakula ambavyo watapikiwa wachezaji wao. Habari za uhakika kutoka Cairo, zimeeleza Ahly wamebeba chupa za maji, baadhi ya vyakula na kazi hiyo itafanywa na mpishi wao maalum raia wa Ujerumani ambaye amekuwa akisafiri na timu hiyo...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/0PKyB0rYTqo4bJ*fnKqB8LvqQ4rpBGNUj9RDNYZFQuc-4WTYviHToRrcM-TL-vo1L8pdJAbp0qbYZZJb9s-OpeAis71*Nx2P/1.jpg?width=650)
AL AHLY WATUA DAR WAWAFATA CANAVARO, DIDA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8l--NuzR*jFj16T6aAmAyr2-bGfSsbC00fAk*fNAU-OufXwipZ5peawk-RvDozoNUJ6E*MUgcqm4LMPG3sC-9WAd2nCj3odA/BAADA.jpg?width=650)
Baada ya kipigo, Al Ahly wasusa vyakula
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/g7CYaJh1SvLuGfe*gDKzGkS8WV63zi63mPHP0ygdvsL6YQSLKA0ozti-Qa--5S5foeXaGNOdC9o1ZprSQfrqcTnN1NDiQIGq/d1.jpg?width=650)
BODI YA WAKURUGENZI YA MAMLAKA YA MAJI SAFI NA MAJI TAKA DAR ES SALAAM (DAWASA) YATEMBELEA ENEO LA MRADI WA UJENZI WA BWAWA LA MAJI KIDUNDA
10 years ago
Michuzi30 Aug
Bodi ya ya Wakurugenzi ya Mamlaka ya Maji Safi na Maji Taka Dar es Salaam (DAWASA) yatembelea Eneo la Mradi wa Ujenzi wa Bwawa la Maji Kidunda
![](https://2.bp.blogspot.com/-utueJlLvcrc/VAEFt9bWIqI/AAAAAAAAXXc/60Yejvxm-3s/s1600/Modesta%2BMushi.jpg)
![](https://2.bp.blogspot.com/-dJAlQfjgYfw/VAEFtuoqMYI/AAAAAAAAXXY/p7ed-tfkWT8/s1600/Mhandishi%2BJohn%2BKirecha.jpg)
10 years ago
Mtanzania16 Mar
TAKUKURU watua bandari Dar
Na Masyaga Matinyi, Dar es Salaam
TAASISI ya Kupambana na Kuzuia Rushwa (TAKUKURU) imeanzisha uchunguzi kubaini mianya ya rushwa na ukiukwaji wa taratibu katika mradi wa ujenzi wa mlango wa Bandari ya Dar es Salaam (Gerezani Creek).
Mradi huo ulisainiwa Septemba 6, 2014 na Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA), Joseph Msambichaka na aliyekuwa Kaimu Mkurugenzi Mkuu, Madeni Kipande, ambaye amesimamishwa kazi kupisha uchunguzi dhidi yake.
Kipande alisimamishwa...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dUBGrCUuK8SBkmNifPLJip96jzA4Pw53THAJWnHqNqScNXpymMjjvL2bPIxgwl73V0j0EMUHRpq8yqPlflWR*dDVTDPs0kXS/MAXIMO.gif?width=650)
Straika Mbrazil, Maximo watua Dar
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8Kb*1kVFSTsmZfOvZR9tEX7WReKhRqXyDiQIrkA0LG1uIiBt99wL5DYLteQQCNUICX7*WcDk4bcHt7ECRNdbwlP-FiRnEr6e/simbanew.jpg?width=650)
SIMBA SC WATUA JIJINI DAR NA KOMBE LA MAPINDUZI
10 years ago
StarTV18 Dec
Bei za vyakula, bidhaa Dar zapanda.
Na Epiphania Magingo,
Dar es Salaam.
Zikiwa zimesalia siku chache za kusherehekea sikukuu za Krismas na mwaka mpya, bei za vyakula na bidhaa mbalimbali jijini Dar es Salaam zimeonekana kupanda kwa kasi na kufanya wanunuzi wengi kushindwa kununua bidhaa hizo.
Changamoto hii imekuwa ikionekana kila inapokaribia msimu wa sikukuu kubwa ambayo licha ya kukemewa lakini imeendelea kujitokeza na kuwa tatizo sugu linalowaathiri wananchi wengi.
Ni katika soko la Kariakoo Jijini Dar es Salaam,...
11 years ago
MichuziKAMATI YA MAJI KING'ONGO DAR WAKAGUA UJENZI WA MRADI WAO WA MAJI ULIOFADHILIWA NA TBL