TAKUKURU watua bandari Dar
Na Masyaga Matinyi, Dar es Salaam
TAASISI ya Kupambana na Kuzuia Rushwa (TAKUKURU) imeanzisha uchunguzi kubaini mianya ya rushwa na ukiukwaji wa taratibu katika mradi wa ujenzi wa mlango wa Bandari ya Dar es Salaam (Gerezani Creek).
Mradi huo ulisainiwa Septemba 6, 2014 na Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA), Joseph Msambichaka na aliyekuwa Kaimu Mkurugenzi Mkuu, Madeni Kipande, ambaye amesimamishwa kazi kupisha uchunguzi dhidi yake.
Kipande alisimamishwa...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-jTWXZ_4ZduQ/XvXSm_qpi9I/AAAAAAABMm8/fkwHsjRimvssLWdjonr8hpxzCn9Ld7XpwCLcBGAsYHQ/s72-c/Ebbngw6WkAAxII2.jpeg)
TAKUKURU YAMSHIKILIA MENEJA WA BANDARI HANDENI KWA MADAI YA KUOMBA HONGO YA SH. 900,000
![](https://1.bp.blogspot.com/-jTWXZ_4ZduQ/XvXSm_qpi9I/AAAAAAABMm8/fkwHsjRimvssLWdjonr8hpxzCn9Ld7XpwCLcBGAsYHQ/s320/Ebbngw6WkAAxII2.jpeg)
10 years ago
MichuziKIVUKO CHA MV DAR ES SALAAM CHAWASILI KATIKA BANDARI YA DAR LEO ASUBUHI
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/GO1Rm-PT2pr6taG0dLwa2ZkuHQjb-Xpxm3xPZ6C8R7yCZTORoHi0pwlNrHc28rC5T-wvimUDBE8gngljkk4I*1bwCCAqq*pw/watua.jpg?width=650)
Al Ahly watua Dar na vyakula, maji
Na Mwandishi Wetu
WAPINZANI wa Yanga katika mechi ya Ligi ya Mabingwa Afrika, Al Ahly ya Misri wameonyesha wamepania kuhakikisha hawapotezi mchezo wa Jumamosi baada ya kutua nchini na maji na baadhi ya vyakula ambavyo watapikiwa wachezaji wao. Habari za uhakika kutoka Cairo, zimeeleza Ahly wamebeba chupa za maji, baadhi ya vyakula na kazi hiyo itafanywa na mpishi wao maalum raia wa Ujerumani ambaye amekuwa akisafiri na timu hiyo...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dUBGrCUuK8SBkmNifPLJip96jzA4Pw53THAJWnHqNqScNXpymMjjvL2bPIxgwl73V0j0EMUHRpq8yqPlflWR*dDVTDPs0kXS/MAXIMO.gif?width=650)
Straika Mbrazil, Maximo watua Dar
Kocha Mkuu wa Yanga SC, Marcio Maximo amesani mkataba wa miaka miwili na anatua kesho. Na Walusanga Ndaki
UNAWEZA kusema ni kufuru, kwani tayari Yanga imefanikiwa kumsainisha Marcio Maximo mkataba wa miaka miwili na anatua nchi kesho saa saba 7:55 mchana tayari kuanza kazi. Maana yake kuanzia leo, hesabu saa 24 wakati Wabrazil hao watatu watakapotua Yanga ambayo inaweka rekodi mpya ya kuajiri Wabrazil watatu kwa wakati mmoja....
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8Kb*1kVFSTsmZfOvZR9tEX7WReKhRqXyDiQIrkA0LG1uIiBt99wL5DYLteQQCNUICX7*WcDk4bcHt7ECRNdbwlP-FiRnEr6e/simbanew.jpg?width=650)
SIMBA SC WATUA JIJINI DAR NA KOMBE LA MAPINDUZI
Kipa wa Simba SC, Manyika Peter akikabidhi Kombe la Mapinduzi kwa mashabiki wa timu hiyo mara baada ya kuwasili kutoka Mjini Zanzibar leo. KIKOSI cha Wekundu wa Msimbazi, Simba SC kilichotwaa Kombe la Mapinduzi jana usiku kwa kuifunga Mtibwa Sugar kwa penalti 4-3 kimewasili jijini Dar leo kikitokea Mjini Zanzibar.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/0PKyB0rYTqo4bJ*fnKqB8LvqQ4rpBGNUj9RDNYZFQuc-4WTYviHToRrcM-TL-vo1L8pdJAbp0qbYZZJb9s-OpeAis71*Nx2P/1.jpg?width=650)
AL AHLY WATUA DAR WAWAFATA CANAVARO, DIDA
Nadir Haruob ‘Canavaro’. Na Sweetbert Lukonge
KWELI biashara ni matangazo, siku chache baada ya kuonyesha uwezo mzuri kwenye mechi mbili za Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Al Ahly ya Misri, imefahamika kuwa ule mpango wa timu hiyo ya Misri kuwasajili Nadir Haruob ‘Canavaro’ na Deogratius Munishi ‘Dida’ wa Yanga, umeendelea kwa kasi.… ...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/j*z2ryZ7D1wVhK8zClY3bs44j39CEOakRnMSnnqhLbJAy2hfaJ6jt*wmsXjXrYC-WDb0937OkPl-xKlGKTCXrRwQBmjKTwHM/MAGUFULI4.jpg?width=650)
DK. MAGUFULI, SAMIA SULUHU WATUA DAR, WAPOKELEWA KWA SHANGWE
Mgombea urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. John Pombe Magufuli na mgombea mwenza Mhe. Samia Suluhu Hassan wakiongea na wanahabari mara baada ya kutua katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es Salaam mchana huu wakitokea Dodoma na kupokelewa kwa shangwe na umati wa makada wa chama…
10 years ago
VijimamboINAFRIKA BAND WATUA DAR KUTOKEA KATIKA ZIARA NDEFU YA ULAYA
Bendi maarufu Inafrika band aka "Wazee wa Indege" wamewasili nchini leo wakitokea katika ziara ndefu barani ulaya,bendi hiyo maarufu katikaa mitindo yake ya muziki uliochanganyika na vionjo vya makabila ya Tanzania, ilikuwa kaatika ziara ya miezi mitatu ulaya.
msikose kuwasikiliza Inafrika Band (Wazee wa Indege) at http://www.inafrikaband.co.tz pia wape hi at info@inafrikaband.co.tz
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-v6Nd5hjplW8/UvT3qlIfGaI/AAAAAAAFLnA/SnXJEFt6FGM/s72-c/ferro.jpg)
WAPINZANI WA AZAM FC WATUA DAR KAMILI JIONI HII TAYARI KWA MECHI JUMAPILI
![](http://1.bp.blogspot.com/-v6Nd5hjplW8/UvT3qlIfGaI/AAAAAAAFLnA/SnXJEFt6FGM/s1600/ferro.jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania