DK. MAGUFULI, SAMIA SULUHU WATUA DAR, WAPOKELEWA KWA SHANGWE
Mgombea urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. John Pombe Magufuli na mgombea mwenza Mhe. Samia Suluhu Hassan wakiongea na wanahabari mara baada ya kutua katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es Salaam mchana huu wakitokea Dodoma na kupokelewa kwa shangwe na umati wa makada wa chama…
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziDkt John Pombe Magufuli na Mhe. Samia Suluhu Hassan watua Dar leo, wapokewa kwa shangwe
10 years ago
MichuziDkt. Magufuli na Mh. Suluhu wapokelewa kwa shangwe Zanzibar leo
PICHA ZAIDI ZITAWAJIA HIVI PUNDE.
11 years ago
Michuzi15 Apr
mabingwa wa vodacom premier league 2014 AZAM FC WAPOKELEWA KWA SHANGWE JIJINI DAR ES SALAAM
Basi lililowabeba wachezaji wa Azam. Baada ya kuweka rekodi mpya ya kutwaa taji la ligi ya mabingwa Tanzania bara, wanalambalamba wa Azam wametua leo katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Mwalimu JK Nyerere na kulakiwa kwa shangwe na mamia ya mashabiki na wapenzi wa timu hiyo.
10 years ago
GPLDKT MAGUFULI NA MH SULUHU WALIVYOPOKELEWA KWA SHANGWE ZANZIBAR JANA
10 years ago
Mwananchi13 Jul
Samia Suluhu mgombea mwenza wa Magufuli
9 years ago
Michuzi9 years ago
Daily News | The National Newspaper (Press Release) (Blog)14 Nov
Samia Suluhu Hassan, Perfect Magufuli aide
Samia Suluhu Hassan, Perfect Magufuli aide
Daily News | The National Newspaper (press release) (blog)
DESPITE being a hardworking leader, driven by passion to lead the nation driven by integrity, development, and defined systems…the factors that gave Dr John Pombe Magufuli's recent victory into power was also accorded by his decision to nominate a ...
9 years ago
GPLBI. SAMIA SULUHU AMNADI DK MAGUFULI, SERENGETI NA MWIBARA
9 years ago
StarTV25 Aug
Samia Suluhu Hassan aanza kumnadi Magufuli Same
Mgombea mwenza wa Urais kupitia Chama cha Mapinduzi Samia Suluhu Hassan ameanza ziara ya kampeni za kumnadi Mgombea Urais kupitia CCM Dokta John Pombe Magufuli na kueleza Ilani ya Chama hicho.
Mkutano wa kwanza wa mgombea huyo mwenza umeanzia katika Kijiji cha Hedaru wilayani Same mkoani Kilimanjaro ambapo wakazi wa kijiji hicho wamemweleza mgombea huyo tatizo la maji linalowakabili.
Samia Suluhu Hassan ameanza kampeni zake kwa kutembelea Hospitali ya Hedaru na kuangalia changamoto kwenye...