Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Samia Suluhu Hassan, Perfect Magufuli aide


Samia Suluhu Hassan, Perfect Magufuli aide
Daily News | The National Newspaper (press release) (blog)
DESPITE being a hardworking leader, driven by passion to lead the nation driven by integrity, development, and defined systems…the factors that gave Dr John Pombe Magufuli's recent victory into power was also accorded by his decision to nominate a ...

Daily News | The National Newspaper (press release) (blog)

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

StarTV

Dk. Magufuli, Samia Suluhu Hassan wakabidhiwa vyeti

Rais Mteule wa awamu ya tano Dokta John Pombe Magufuli na makamu wake Samia   Suluhu Hassan wamekabidhiwa vyeti vya ushindi wa Urais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania.

Hatua hiyo ni uthibitisho wa kuwa viongozi wakuu wa Taifa la Tanzania kwa mwaka 2015/2020.

Tume ya Taifa ya Uchaguzi nchini NEC inatumia ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es Salaam kukabidhi vyeti vya ushindi wa urais baada ya kukamilika kwa zoezi la uchaguzi mkuu wa Tanzania mwaka 2015.

Mwenyekiti wa NEC Jaji mstaafu...

 

9 years ago

StarTV

Samia Suluhu Hassan aanza kumnadi Magufuli Same

Mgombea mwenza wa Urais kupitia Chama cha Mapinduzi Samia Suluhu Hassan ameanza ziara ya kampeni za kumnadi Mgombea Urais kupitia CCM Dokta John Pombe Magufuli na kueleza Ilani ya Chama hicho.

Mkutano wa kwanza wa mgombea huyo mwenza umeanzia katika Kijiji cha Hedaru wilayani Same mkoani Kilimanjaro ambapo wakazi wa kijiji hicho wamemweleza mgombea huyo tatizo la maji linalowakabili.

Samia Suluhu Hassan ameanza kampeni zake kwa kutembelea Hospitali ya Hedaru na kuangalia changamoto kwenye...

 

10 years ago

Vijimambo

MH. MAGUFULI AMTANGAZA SAMIA SULUHU HASSAN KUWA MGOMBEA MWENZA WAKE

        Mh. Samia Suluhu Hassan 


Mgombea urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi, Mh John Pombe Magufuli amemtangaza mgombea mwenza wake kuwa ni Mh. Samia Suluhu Hassan. 

Mh Magufuli amemtangaza Mh Samia wakati alipokuwa akikishukuru chama chake kwa kumteua kuipeperusha bendera ya chama hicho katika uchaguzi mkuu ujao baadaye mwaka huu. 
Baada ya kumtangaza Mh Samia kuwa mgombea mwenza wake, ukumbi mzima ulilipuka kwa shangwe na vigelele. 
Hii ni mara ya kwanza tangu uhuru kwa Tanzania kuwa...

 

10 years ago

TheCitizen

Dr Magufuli names Samia Suluhu Hassan as his running mate ahead of the 2015 elections

Dr John Magufuli who was overwhelmingly endorsed by CCM as the party’s Union presidential candidate names Samia Suluhu Hassan as his running mate.

 

10 years ago

Michuzi

Dkt John Pombe Magufuli na Mhe. Samia Suluhu Hassan watua Dar leo, wapokewa kwa shangwe

 Mgombea Urais kwa tiketi ya CCM Dkt. John Pombe Magufuli na mgombea mwenza Mhe. Samia Suluhu Hassan wakiongea na wanahabari mara baada ya kutua katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es salaam mchana huu wakitokea Dodoma na kupokelewa kwa shangwe na umati wa makada wa CCM. 

 

9 years ago

Michuzi

MAKAMU WA RAIS MHE. SAMIA SULUHU HASSAN AMWAKILISHA RAIS MAGUFULI KWENYE MKUTANO WA TANO WA WAKUU WA NCHI ZA AFRIKA NA CHINA, JIJINI JOHANNESBURG

 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Shulu Hassan, akisalimiana Mwambata wa Kijeshi wa Tanzania nchini Afrika ya Kusini Brig. Gen Ibrahim A. Kimario, wakati alipowasili kwenye Uwanja wa Ndege wa Olver Tambo jijini Johanesburg kuhudhuria Mkutano Mkuu wa Tano wa Wakuu wa Nchi za Afrika na China.   Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Shulu Hassan, akisalimiana na Balozi wa Tanzania nchini Afrika ya Kusini, Radhia Msuya, wakati alipowasili...

 

10 years ago

A Tough Journey From Activism To Politics

Samia Suluhu Hassan


Samia Suluhu Hassan - a Tough Journey From Activism to Politics
AllAfrica.com
And yet, 14 years down the lane she has risen through the ranks to become the Vice-Chairperson of the ongoing Constituent Assembly in Dodoma. In addition, the soft-spoken activist turned politician is the Minister of State in the Vice-President's Office, ...

 

9 years ago

Michuzi

MAKAMU WA RAIS MHE. SAMIA SULUHU HASSAN AMWAKILISHA RAIS MAGUFULI KWENYE MKUTANO WA TANO WA WAKUU WA NCHI ZA AFRIKA NA CHINA, JIJINI JOHANNESBURG LEO.

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan, akisalimiana na Rais wa China, Xi Jinping, wakati wa Mkutano Mkuu wa Tano wa Wakuu wa Nchi za Afrika na China (China-Africa Forum) uliofanyika leo Dec 4, 2015 jijini Johannesburg. Mhe. Samia amemwakilisha Rais Dkt. John Pombe Magufuli katika mkutano huo. Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Shulu Hassan, akisalimiana na Balozi wa Tanzania nchini Afrika ya Kusini, Radhia Msuya, wakati...

 

9 years ago

Vijimambo

Historia ya bi Samia Suluhu Hassan

Image captionHistoria ya Samia Suluhu Hassan wa CCM
Ushindi wa John Pombe Magufuli wa CCM umetoa fursa kwa bi Samia Suluhu Hassani kuhudumia taifa hilo la Afrika Mashariki kama mwanamke wa kwanza kuwa makamu wa rais wa Tanzania.
Lakini bi Samia ni nani?
Tangu kongamano la Chama tawala nchini Tanzania CCM kumteua Daktari John Pombe Magufuli Joseph kuwa mshika bendera wa CCM , Chama hicho kiliweka historia pia kwa kumteua bi Samia Suluhu Hassan kuwa mgombea mwenza.
Tangu Dodoma Bi Samia aliwekwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani