TAKUKURU YAMSHIKILIA MENEJA WA BANDARI HANDENI KWA MADAI YA KUOMBA HONGO YA SH. 900,000
![](https://1.bp.blogspot.com/-jTWXZ_4ZduQ/XvXSm_qpi9I/AAAAAAABMm8/fkwHsjRimvssLWdjonr8hpxzCn9Ld7XpwCLcBGAsYHQ/s72-c/Ebbngw6WkAAxII2.jpeg)
TAKUKURU Mkoa wa Tanga inamshikilia Meneja wa Bandari ya Kipumbwi iliyopo Handeni, Tanga Steven Mbakweni, kwa kosa la kuomba na kushawishi hongo ya Sh. laki 9 kutoka kwa mteja wake ili aweze kumruhusu kusafirisha mzigo kutoka Pangani kwenda Zanzibar.
CCM Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi10 Feb
Hakimu anaswa na Takukuru kwa tuhuma za kuomba rushwa
5 years ago
CCM Blog![](https://img.youtube.com/vi/UvbA724MJSs/default.jpg)
10 years ago
Mtanzania16 Mar
TAKUKURU watua bandari Dar
Na Masyaga Matinyi, Dar es Salaam
TAASISI ya Kupambana na Kuzuia Rushwa (TAKUKURU) imeanzisha uchunguzi kubaini mianya ya rushwa na ukiukwaji wa taratibu katika mradi wa ujenzi wa mlango wa Bandari ya Dar es Salaam (Gerezani Creek).
Mradi huo ulisainiwa Septemba 6, 2014 na Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA), Joseph Msambichaka na aliyekuwa Kaimu Mkurugenzi Mkuu, Madeni Kipande, ambaye amesimamishwa kazi kupisha uchunguzi dhidi yake.
Kipande alisimamishwa...
5 years ago
CGTN24 Feb
11 years ago
Mwananchi17 Dec
Plan kuwanoa 900,000 matumizi ya vyoo bora
9 years ago
StarTV02 Dec
Mwili waharibika kwa madai ya kuhifadhiwa chini kwa  madai ya uzembe Sekou Toure
Mwili wa kijana aliyekuwa akiishi mitaani jijini Mwanza marehemu Baraka Hamisi hatimaye umezikwa baada ya kukosa hifadhi katika jokofu la maiti kwa takribani siku sita katika Hospitali ya Mkoa wa Mwanza Sekou Toure
Marehemu Bakari Hamisi mwenye umri wa miaka 22 kijana wa mitaani aliyekuwa akijishughulisha na biashara ndogondogo alifariki dunia alipokuwa akipelekwa hospitalini hapo na vijana wenzake wa mitaani kwa ajili ya kupata matibabu.
Awali kabla ya kufikwa na mauti, vijana wenzake wa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
CHID BENZ ALIPA FAINI 900,000/=, AACHIWA HURU NA MAHAKAMA
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-843xEn4_6cI/Xu8QtP7BHEI/AAAAAAAAlLs/_3yVrs395QkrNTgp17KZD_5oH9_d5dM5ACLcBGAsYHQ/s72-c/1.png)
TAKUKURU MKOA WA SINGIDA YAOKOA SH. MILIONI 46,500,000 ZA WALIMU WASTAAFU
![](https://1.bp.blogspot.com/-843xEn4_6cI/Xu8QtP7BHEI/AAAAAAAAlLs/_3yVrs395QkrNTgp17KZD_5oH9_d5dM5ACLcBGAsYHQ/s640/1.png)
Mkuu wa Mkoa wa Singida Dk. Rehema Nchimbi (kushoto) akimkabidhi Sh. 24,000,000/= Mwalimu Seleman Tyea Mwangu zilizookolewa na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Mkoa wa Singida.
10 years ago
Bongo527 Oct
Watu 86,000 wajitokeza kuomba nafasi 600 za kuonekana kama ‘extras’ kwenye Game of Thrones