MAXIMO ATUA DAR
![](http://api.ning.com:80/files/EwLJgW6X-wXg2reH5q2K1PhyxUO4Xc3dgbtJRD5kctXQ*z-2h*HE9rErxi1F8QhfYwr0LkPAL2mcPzgx6qru3LGXbb75CzxI/breakingnews.gif)
Kocha mpya wa Yanga SC, Marcio Maximo baada ya kutua Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere, Dar.…
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi27 Nov
Emerson atua, Maximo amsifia
Kocha mkuu wa Yanga, Marcio Maximo amewaomba mashabiki wa timu hiyo waondoe hofu kwani kiungo mkabaji mpya aliyekuja naye kutoka Brazil, Emerson de Oliveira Neves Rouqe ni kifaa chenye uwezo wa kucheza popote.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/DbrwTSp7ycPOzjeOLVX5NoyQkjgO4pVoBwLUrHXrAiGUpuVsoSa5i4DVs1*wQHt0gg7VK9ZDnyOn*F2X03AaLwCUMwPax3Ma/tambwe.jpg)
Tambwe, Maximo wakutana Dar
Straika Amissi Tambwe. Na Nicodemus Jonas
SIMBA na Yanga wiki hii zinatarajia kuingia kambini kujiandaa na mchezo wa Nani Mtani Jembe utakaopigwa Desemba 13, mwaka huu, kwenye Uwanja wa Taifa. Ikumbukwe Simba ndiyo wenye kombe hilo, ambalo walilitwaa msimu uliopita baada ya kuwanyuka wapinzani wao mabao 3-1, huku straika Amissi Tambwe akitupia mawili. Hata hivyo, wakati Kocha wa Yanga, Marcio Maximo akitarajia kutia guu...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/lu8a2-fLGRniVnQN*rXSM4PkQddGo8807bBLmn8p7mzanHo8guNrqupCN5itTQDZEyjcFuZeTJWSWBs-*z8UmzkCAS3*iQPI/okwi.jpg)
Okwi, Kiiza wamfuata Maximo Dar
Mshambuliaji wa Yanga Emmanuel Okwi. Na Mwandishi Wetu
WASHAMBULIAJI Emmanuel Okwi na Hamis Kiiza, wote wanatarajiwa kutua nchini ndani ya siku chache zijazo kuanza kazi na kocha mpya, Marcio Maximo, imefahamika. Habari za uhakika kutoka ndani ya Yanga, zimeeleza uongozi wa klabu hiyo umeamua kuachana na suala la kuteua nani abaki kati ya Okwi au Kiiza, badala yake suala hilo ameachiwa Maximo.
“Kwa kuwa ameachiwa...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dUBGrCUuK8SBkmNifPLJip96jzA4Pw53THAJWnHqNqScNXpymMjjvL2bPIxgwl73V0j0EMUHRpq8yqPlflWR*dDVTDPs0kXS/MAXIMO.gif?width=650)
Straika Mbrazil, Maximo watua Dar
Kocha Mkuu wa Yanga SC, Marcio Maximo amesani mkataba wa miaka miwili na anatua kesho. Na Walusanga Ndaki
UNAWEZA kusema ni kufuru, kwani tayari Yanga imefanikiwa kumsainisha Marcio Maximo mkataba wa miaka miwili na anatua nchi kesho saa saba 7:55 mchana tayari kuanza kazi. Maana yake kuanzia leo, hesabu saa 24 wakati Wabrazil hao watatu watakapotua Yanga ambayo inaweka rekodi mpya ya kuajiri Wabrazil watatu kwa wakati mmoja....
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/YTFvh9JoYPGk0TsP5zYcRdyHNvZ9mPV6rkaCeo1UncrkLTHTy3lrYIZmOD0J7sgakg3B4c4rlg8HPZNs3DYd9MGk0hsdRfSA/ghjj.gif?width=650)
Kiiza atua Dar...
Na Waandishi Wetu, Dar es Salaam
MSHAMBULIAJI Hamis Kiiza raia wa Uganda, jana alitua nchini kwa ajili ya kufanya mchakato wa kumalizana na Simba, ambapo kauli aliyotoa na maandalizi ya Simba, vimeonyesha kuwa pande zote mbili hazina utani katika kujiandaa na msimu ujao wa 2015/2016. Simba ambayo imeshaweka wazi kuhusu kumsajili Kiiza aliyekuwa akiitumikia Yanga kwa miaka kadhaa, imeelezwa kuwa anatarajiwa kukabidhiwa nyumba...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/4t8Bu5s6lgQ8l3g*VblmZCfQGfZop6K1j0rywNSErTRbOyZOUrP2hz-HZaDYeEvvj-K0H*T8YETJBPL4w4N9nEL4fA0qnloj/DIAMOND.jpg)
DIAMOND ATUA DAR
Diamond baada ya kutua kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere, Dar. MWANAMUZIKI Nasibu Abdul 'Diamond Platnumz' ametua nchini muda huu akitokea Afrika Kusini alipokwenda kushiriki zoezi la utoaji tuzo za Channel O ambapo alijinyakulia tuzo tatu kwa mpigo. Tuzo alizonyakua staa huyo ni pamoja na Most Gifted New Comer, Most Gifted Afropop na Most Gifted East kupitia wimbo wake wa Number One. ...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
T.I ATUA DAR MCHANA WA LEO
Rapa kutoka nchini Marekani, Clifford Joseph Harris,'T.I' ametua Dar mchana wa leo kutumbuiza katika tamasha la Serengeti Fiesta Dar usiku wa leo.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/k597Gy8eW*VO24V6BZ51p4J1GsdAMQztUCtQDnMY5tdgHEHJexfkuBnfb0Vmg2oKqS3VF-rrpRdK0w7mB2le0LOr6ECxUyGR/okwi.jpg)
Okwi atua Dar kimyakimya
Kiungo mshambuliaji Emmanuel Arnold Okwi akiwasili nchini.
Na Saleh Ally
HUKU kukiwa na taarifa kuwa uongozi wa Yanga umeamua kuachana naye, kiungo mshambuliaji Emmanuel Arnold Okwi, ametua jijini Dar es Salaam kimyakimya. Okwi ametua kimyakimya kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA), hali inayosababisha mkanganyiko wa mambo. Wakati watu wengi wanaamini Yanga imeamua kuachana naye, kumekuwa na taarifa...
10 years ago
GPLKOCHA MPYA WA SIMBA ATUA DAR
Kocha mpya wa Simba , Goran Kopunovic alipowasili leo Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere akitokea nchini Hungary.…
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania