Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Emerson atua, Maximo amsifia

Kocha mkuu wa Yanga, Marcio Maximo amewaomba mashabiki wa timu hiyo waondoe hofu kwani kiungo mkabaji mpya aliyekuja naye kutoka Brazil, Emerson de Oliveira Neves Rouqe ni kifaa chenye uwezo wa kucheza popote.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

TheCitizen

Maximo sings praise qualities of Emerson

Brazilian midfielder Emerson De Oliveira Roque arrived yesterday, receiving a warm welcome from Young Africans officials and supporters.

 

10 years ago

GPL

KIUNGO EMERSON DE OLIVEIRA ATUA BONGO

KIUNGO mkabaji Emerson De Oliveira Neves Rouqe kutoka nchini Brazil amewasili hivi punde katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es Salaam akitokea Brazil. Kiungo huyo ametua majira ya saa 8 mchana kwa ndege ya shirika la Afrika Kusini akiwa sambamba na kocha Marcio Maximo na kiungo Andrey Coutinho. Kiungo huyo amekuja kwa ajili ya kufanya majaribio katika klabu ya Yanga na endapo atafuzu moja kwa moja...

 

11 years ago

GPL

MAXIMO ATUA DAR

Kocha mpya wa Yanga SC, Marcio Maximo baada ya kutua Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere, Dar.…

 

11 years ago

Mwananchi

Pinda amsifia Aga Khan

Waziri Mkuu Mizengo Pinda amesema Serikali haitasita kushirikiana na wawekezaji nchini, huku akimsifia Kiongozi Mkuu wa Madhehebu ya Shia Ismailia Duniani, Karim Aga Khan kwa kuwekeza katika sekta nyingi.

 

10 years ago

Bongo Movies

Wema Sepetu Amsifia Chaz Baba Kuwa Ndiye Aliyekuwa Mwanaume wa Kweli!

Mrembo na Staa wa Bongo Movies, Wema Sepetu amekanusha kurudiana na mpenzi wake wa zamani Chaz Baba japo amedai kuwa muimbaji huyo wa muziki wa band ndiye mwanaume wa pekee ambaye hakuwa na masuala ya kiswazi baada ya kuachana.

Wema ameiambia U Heard ya Clouds FM Jumatano hii kuwa Chaz Baba kwa sasa ni mshkaji wake na hata alipooa alimchangia pesa.

“Chaz Baba alikuwa ni msikaji wangu naweza kusema ndio boyfriend pekee asiye na mambo ya Kiswahili,” amesema. “Tulizinguana tukafika pointi...

 

10 years ago

Bongo5

Iyanya amponda Jaguar amuita ‘mshari na mjivuni’, amsifia Diamond na Sauti Sol

Muimbaji wa Nigeria, Iyanya ameamua kujibu tuhuma alizotupiwa na msanii wa Kenya, Jaguar kuwa hakumpa ushirikiano kwenye video ya remix aliyomshirikisha ya wimbo wake ‘One Centimenter’ Jaguar alidai kuwa baada ya kushoot video hiyo kwa kubembelezana alimtumia Iyanya ili aisambaze kwenye vituo vya TV nchini humo na kwamba hakufanya hivyo. Akiongea na Radio Maisha ya […]

 

11 years ago

GPL

Mkenya mchana nyavu atua Simba atua

Kiungo mshambuliaji mpya wa Simba, Mkenya, Modo Kiongera, Na Hans Mloli
MSIMBAZI noma! Hatimaye kiungo mshambuliaji mpya wa Simba, Mkenya, Modo Kiongera, ametua nchini jana Jumapili tayari kwa kumalizana na Simba, lakini kikubwa amedai kwamba anaisubiri Yanga. Kiongera, ambaye msimu uliopita alikuwa akiichezea Kenya Commercial Bank (KCB) ya Kenya, anatarajiwa kusaidiana na Amissi Tambwe kuhakikisha Simba inakuwa na safu imara...

 

10 years ago

GPL

EMERSON USIPIMEEE!

Kiungo mkabaji mpya wa Yanga, Mbrazili, Emerson De Oliveira. Na Wilbert Molandi
KIUNGO mkabaji mpya wa Yanga, Mbrazili, Emerson De Oliveira, anatarajiwa kupewa mechi mbili za kirafiki za kimataifa sawa na dakika 180 kwa ajili ya kuangaliwa kabla ya kupewa mkataba kusaini katika usajili wa dirisha dogo msimu huu wa Ligi Kuu Bara.…

 

10 years ago

Mwananchi

Emerson, Sserunkuma watingisha

Usajili wa nyota wapya wa kigeni umegeuka kete ya ushindi kwenye mechi ya Nani Mtani Jembe 2 baina ya Simba na Yanga inayotarajiwa kuchezwa Desemba 13 jijini Dar es Salaam.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani