Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


KIUNGO EMERSON DE OLIVEIRA ATUA BONGO

KIUNGO mkabaji Emerson De Oliveira Neves Rouqe kutoka nchini Brazil amewasili hivi punde katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es Salaam akitokea Brazil. Kiungo huyo ametua majira ya saa 8 mchana kwa ndege ya shirika la Afrika Kusini akiwa sambamba na kocha Marcio Maximo na kiungo Andrey Coutinho. Kiungo huyo amekuja kwa ajili ya kufanya majaribio katika klabu ya Yanga na endapo atafuzu moja kwa moja...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

Kiungo Mbrazil Emerson De Olivera amwaga wino Yanga



Kiungo Mbrazil Emerson De Olivera Neves Roque pichani kushoto akisaini mkataba leo jijini Dar,wa kutumikia Klabu ya Young Africans,Kulia ni Afisa Habari wa klabu hiyo Baraka Kizuguto.

Dar es Salaam. Wakati Yanga ikimpa mkataba wa mwaka mmoja kiungo Emerson De Oliveira, watani zao Simba wamemtema rasmi mshambuliaji Paul Kiongera.
Emerson amesaini mkataba huo baada ya benchi la ufundi chini ya Mbrazil Marcio Maximo kuridhika na kiwango chake na sasa ataitumikia timu hiyo ya Jangwani.
Emerson...

 

10 years ago

Mwananchi

Emerson atua, Maximo amsifia

Kocha mkuu wa Yanga, Marcio Maximo amewaomba mashabiki wa timu hiyo waondoe hofu kwani kiungo mkabaji mpya aliyekuja naye kutoka Brazil, Emerson de Oliveira Neves Rouqe ni kifaa chenye uwezo wa kucheza popote.

 

10 years ago

Habarileo

Kiungo Mzimbabwe atua Simba

KIUNGO mkabaji wa kimataifa wa Zimbabwe, Justice Majabvi aliwasili jana na kwenda moja kwa moja katika kambi ya Simba iliyopo Zanzibar.

 

11 years ago

GPL

KIUNGO FRANK DOMAYO NAYE ATUA AZAM FC

Frank Domayo akisaini mkataba na timu ya Azam FC. (Picha na Bin Zubeiry) Kiungo Frank Domayo aliyekuwa akikipiga Yanga SC leo amejiunga na klabu ya Azam FC kwa mkataba wa miaka miwili. Mchezaji huyo amejiunga na mabingwa hao wa Tanzania Bara ikiwa ni siku moja tangu mshambuliaji wa Yanga na nahodha wa timu ya Taifa ya Burundi, Didier Kavumbagu kujiunga na klabu hiyo. ...

 

11 years ago

GPL

DIAMOND ATUA BONGO, APOKELEWA KWA SHANGWE

STAA wa Bongo Fleva, Nasib Abdul 'Diamond' alivyowasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere, Dar Julai 10, 2014 na kupokelewa kwa shangwe na mashabiki wake pamoja na ndugu. Staa huyo alikuwa anarejea kutoka nchini Marekani alipokwenda kwa ajili ya zoezi la utoaji tuzo za BET.

 

10 years ago

Michuzi

luis figo atua bongo usiku huu

 Mtangazaji wa michezo wa E FM 93.7 Maulid Kitenge akiwa na Gwiji wa zamani wa Real Madrid Luis Figo alipowasili usiku huu jijini Dar es salaam na wachezaji wenzie nyota wa zamani wa timu hiyo ya Hispania ambayo Jumamosi itakipiga na wachezaji nyota wa Tanzania kwenye mchezo wa kimataifa wa kirafiki uwanja wa Taifa

 

11 years ago

GPL

MWANAMUZIKI WA BONGO FLEVA, REMMY WILLIAMS ATUA NCHINI

Msanii wa muziki wa Bongo Fleva Remmy Williams akiwa na maua baada ya kuwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere akitokea nchini Italia.
Remmy (kushoto) akiwa na meneja wake wa nchini Italia, Wactor Fizio, walipowasili nchini.…

 

11 years ago

GPL

JOSE CHAMELEONE ATUA BONGO, KUPAGAWISHA MAISHA CLUB

Chameleone akitoka uwanja wa ndege kuelekea kwenye gari.
…Akiwa na wenyeji wake waliofika kumpokea.
…Akisalimiana na mmoja wa wafanyakazi wa ukumbi wa New Maisha Club anayejulikana kwa jina la…

 

10 years ago

Vijimambo

IDRIS SULTAN ATUA BONGO KUTOKA BOG BROTHER AFRICA

Mshindi wa Shindano la Big Brother Africa 2014, Idris Sultan, akizongwa na umati wa watu mashabiki wake huku akiwa na furaha baada ya kuwasili kwenye uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere. Idris ameibuka kidedea na kunyakua taji hilo la Big Brother Africa 2014. Kushoto kwake ni Laveda aliekuwa mshiriki mweza wa Idris.Mshindi wa Big Brother Africa 2014,Idris Sultan, akizungumza wakati akihojiwa na waandishi wa habari, baada ya kuwasili nchini.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani