Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Iyanya amponda Jaguar amuita ‘mshari na mjivuni’, amsifia Diamond na Sauti Sol

Muimbaji wa Nigeria, Iyanya ameamua kujibu tuhuma alizotupiwa na msanii wa Kenya, Jaguar kuwa hakumpa ushirikiano kwenye video ya remix aliyomshirikisha ya wimbo wake ‘One Centimenter’ Jaguar alidai kuwa baada ya kushoot video hiyo kwa kubembelezana alimtumia Iyanya ili aisambaze kwenye vituo vya TV nchini humo na kwamba hakufanya hivyo. Akiongea na Radio Maisha ya […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo5

Video: Jaguar amponda Iyanya, ‘I don’t pick his phone’

Pamoja na kumshirikisha kwenye remix yake ya One Centimeter, Jaguar haziivi tena na Iyanya. Akiongea kwenye tuzo za Bingwa zilizotolewa jana jijini Nairobi ambapo alishinda tuzo ya video bora ya mwaka, Jaguar alisema Iyanya alimpa masharti kuwa kama anataka washoot video hiyo ni lazima waende Nigeria ama Uingereza na wawatumie waongozaji wa Nigeria, Clarence Peter […]

 

10 years ago

Vijimambo

Jaguar Amponda Iyanya " Hata akinipigia sasa hivi Sipokei simu yake "

Urafiki wa Jaguar na Iyanya mpaka kufanay Rmx ya "one centimeter" umeisha ndani ya muda mfupi.Wakati akipokea Tuzo ya video bora ya mwaka ya Bingwa Awards ,Jaguar alifunguka kuwa Iyanya alimpa masharti kama anataka kufanya video ya wimbo huo basi ni lazima waende Nigeria ama Uingereza na watumie waongozaji wa video wa Naija kama clarence peter au Moe Musa,Jaguar anadai aliamua kwenda Naija na Muongozaji wake lakini Iyanya alitaka kugoma lakini baada e alibadilisha mawazo.Baada ya video...

 

10 years ago

Bongo5

Video: Sauti Sol wamuimbisha Iyanya Kiswahili (Sura Yako Remix)

Wakiwa wametoka kutajwa ‘Best African Act’ wa MTV EMA, Sauti Sol wameachia remix ya wimbo wake ‘Sura Yako’ waliyomshirikisha msanii wa Nigeria, Iyanya. Utamsikia Iyanya akiimba Kiswahili kwenye sehemu ya verse yake.

 

9 years ago

Mwananchi

AY, Diamond na Sauti Sol we acha tu!

Tasnia ya muziki Afrika Mashariki kwa namna moja au nyingine imeonekana kupiga hatua, huku wasanii wenyewe wakiendelea kuzitangaza nchi zao kimataifa.

 

10 years ago

Bongo5

Sauti Sol waongezeka kwenye tuzo za MTVEMA, kuchuana na Diamond na Davido

Majina ya wasanii watakaowania tuzo za MTVEMA 2014 yametangazwa rasmi na sasa watu wanaweza kuanza kupiga kura. Kundi la Sauti Sol la Kenya limeongezea kwenye kipengele cha Best African Act kwenye tuzo za MTV Europe. Awali majina manne tu yalikuwa yametangazwa ambayo ni pamoja Davido,Toofan, Diamond na Goldfish. Hii ni orodha nzima. BEST AFRICAN ACT […]

 

9 years ago

Bongo5

Sauti Sol wafurahia kumpa kijiti Diamond kwenye MTV EMA 2015

Kwa miaka miwili mfululizo, kipengele cha Best African Act cha tuzo za MTV EMA kimeendelea kubaki Afrika Mashariki. Baada ya mwaka jana Sauti Sol kushinda, wamempa kijiti Diamond Platnumz ambaye sasa anashindana na muigizaji wa India, Priyanka Chopra kwenye kipengele kinachohusisha Afrika na India. Sauti Sol wameonesha kufurahia kumpa Diamond kijiti cha tuzo hiyo na […]

 

9 years ago

Dewji Blog

Diamond Platnumz, Sauti Sol and Patoranking rocks Vuzu Amp 1st Anniversary #OnlyTheBest

By Zainul Mzige, Modewjiblog

Whether you like it or not Diamond Platnmuz he is the best. The gentleman from Dar es salaam Tanzania changed the air after rocking in the so much fun Content Showcase extravaganza #OnlyTheBest at the Outrigger Beach Resort, Bel Ombre in the South Coast of Mauritius

More than 200 people, including representatives from different local and international channels and journalists, who converged in Mauritius for the MultiChoice Africa extravaganza, applauded the boy...

 

10 years ago

Bongo5

New Music: Jaguar ft. Iyanya — One Centemeter (remix)

Siku chache zilizopita msanii Jaguar wa Kenya alienda nchini Nigeria kushoot video ya collabo yake na Iyanya. Jaguar ameachia audio ya wimbo huo ‘One Centemeter’ (remix). Video ya original version ilifanyika nchini Afrika Kusini.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani