AY, Diamond na Sauti Sol we acha tu!
Tasnia ya muziki Afrika Mashariki kwa namna moja au nyingine imeonekana kupiga hatua, huku wasanii wenyewe wakiendelea kuzitangaza nchi zao kimataifa.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo516 Sep
Sauti Sol waongezeka kwenye tuzo za MTVEMA, kuchuana na Diamond na Davido
10 years ago
Bongo503 Feb
Iyanya amponda Jaguar amuita ‘mshari na mjivuni’, amsifia Diamond na Sauti Sol
9 years ago
Bongo516 Oct
Sauti Sol wafurahia kumpa kijiti Diamond kwenye MTV EMA 2015
9 years ago
Dewji Blog10 Sep
Diamond Platnumz, Sauti Sol and Patoranking rocks Vuzu Amp 1st Anniversary #OnlyTheBest
By Zainul Mzige, Modewjiblog
Whether you like it or not Diamond Platnmuz he is the best. The gentleman from Dar es salaam Tanzania changed the air after rocking in the so much fun Content Showcase extravaganza #OnlyTheBest at the Outrigger Beach Resort, Bel Ombre in the South Coast of Mauritius
More than 200 people, including representatives from different local and international channels and journalists, who converged in Mauritius for the MultiChoice Africa extravaganza, applauded the boy...
9 years ago
Bongo504 Jan
New Video: Sauti Sol – Relax
![relax](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2016/01/relax-300x194.jpg)
Kundi la Sauti Sol kutoka Kenya liliumaliza mwaka 2015 likiwa limepeleka sokoni album yao ya tatu, ‘Live and Die in Africa’ ambayo ina mkusanyiko wa hits zao zilizotoka na ambazo hazijatoka. Sauti wanaukaribisha mwaka mpya 2016 kwa kuachia video mpya ya ‘Relax’, wimbo unaopatikana kwenye album hiyo. Itazame hapa
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali...
9 years ago
Habarileo15 Aug
Sauti Sol watua, kutumbuiza leo
KUNDI mahiri la muziki nchini Kenya la Sauti Sol jana liliwasili nchini tayari kwa onesho kabambe la muziki la Party in the Park litakalofanyika kwenye viwanja vya Farasi nyuma ya shule ya Oysterbay jijini Dar es Salaam.
9 years ago
Mtanzania29 Sep
Sauti Sol washangazwa na mashabiki Marekani
NEW YORK, MAREKANI
KUNDI la Sauti Sol kutoka nchini Kenya, juzi lilijikuta likishangazwa na idadi kubwa ya watu katika jiji la New York nchini Marekani, kabla ya onyesho lao katika ukumbi wa Central Park nchini humo.
Sauti Sol wako nchini Marekani kwa ajili ya tamasha la kimataifa la Global Citizen linalowakutanisha wasanii mbalimbali ambapo watu zaidi ya 60,000 wanakadiriwa walihudhuria tamasha hilo.
Tamasha hilo limeandaliwa kwa ajili ya kukuza elimu, kutetea haki za wakimbizi na kujadili...