Sauti Sol watua, kutumbuiza leo
KUNDI mahiri la muziki nchini Kenya la Sauti Sol jana liliwasili nchini tayari kwa onesho kabambe la muziki la Party in the Park litakalofanyika kwenye viwanja vya Farasi nyuma ya shule ya Oysterbay jijini Dar es Salaam.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo09 Aug
Alikiba, Mafikizolo, Sauti Sol kutumbuiza pamoja Dar
MWANAMUZIKI wa Tanzania Alikiba na Feza Kessy watapanda jukwaa moja na wakali Mafikizolo na Black Motion zote za Afrika Kusini katika tamasha la muziki la Party in the Park litakalofanyika Jumamosi jijini Dar es Salaam.
10 years ago
Habarileo14 Aug
Wakali Sauti Sol kutua nchini leo
WANAMUZIKI wa kimataifa watakaoshiriki katika tamasha kubwa la muziki la Party in the Park litakalofanyika kesho Jumamosi jijini Dar es Salaam wanawasili nchini leo tayari kwa onesho hilo.
11 years ago
Dewji Blog15 Jun
Sauti Sol kuwasha moto tamasha la ZIFF usiku wa leo
Kundi la wasanii maarufu kutoka nchini Kenya Sauti Sol katika mkutano na wandishi wa habari (hawapo pichani) ndani ya Hoteli ya Doubletree by Hilton mjini Zanzibar. Kutoka kushoto ni Bien Baraza (vocalist), Chimano Austin (vocalist), Delvine Mudigi(vocalist) na Polycarp Otieno (Quitar & Vocalist).
Bien Baraza wa kundi la Sauti Sol akizungumza na waandishi wa habari kuhusiana umuhimu wa wasanii kutumia mitandao ya kijamii na muziki wao katika kukemea mambo maovu yanayoendelea...
9 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/BS02l0cw140/default.jpg)
9 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/J9jE6WL29pA/default.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/rtNZK3PUme8/default.jpg)
10 years ago
Habarileo09 Aug
`Ushindani wa namba ni mkubwa Azam’ Alikiba, Mafikizolo, Sauti Sol kutumbuiza pamoja Dar Na Mwandishi Wetu MWANAMUZIKI wa Tanzania Alikiba na Feza Kessy watapanda jukwaa moja na wakali Mafikizolo na Black Motion zote za Afrika Kusini katika tamasha la m
MCHEZAJI wa Azam FC, Kelvin Friday amesema ushindani wa namba ni mkubwa katika kikosi chake, hivyo anahitaji kuonesha juhudi ili kufanya vizuri na kuingizwa katika kikosi cha kwanza.
9 years ago
Mwananchi28 Nov
AY, Diamond na Sauti Sol we acha tu!