Sauti Sol waongezeka kwenye tuzo za MTVEMA, kuchuana na Diamond na Davido
Majina ya wasanii watakaowania tuzo za MTVEMA 2014 yametangazwa rasmi na sasa watu wanaweza kuanza kupiga kura. Kundi la Sauti Sol la Kenya limeongezea kwenye kipengele cha Best African Act kwenye tuzo za MTV Europe. Awali majina manne tu yalikuwa yametangazwa ambayo ni pamoja Davido,Toofan, Diamond na Goldfish. Hii ni orodha nzima. BEST AFRICAN ACT […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo516 Oct
Sauti Sol wafurahia kumpa kijiti Diamond kwenye MTV EMA 2015
10 years ago
Bongo509 Sep
Diamond atajwa kuwania tuzo za MTV Europe, #MTVEMA
10 years ago
Bongo506 Oct
Best African Entertainer: Diamond ambwaga Davido kwenye tuzo za IRAWMA
9 years ago
Dewji Blog11 Oct
Diamond Platnumz anyakua ‘3’ tuzo za AFRIMMA 2015, awaacha kwenye mataa Ali Kiba, Davido!
Tayari ‘Icon’ wa Tanzania Diamond Platnum ‘Dangote wa Bongo’ ameweza kuibuka na ushindi wa tuzo tatu katika usiku wa utoaji wa tuzo Africa Muzik Magazine Award ‘AFRIMMA 2015’. Marekani katika mji wa Texas.
(Pichani ni baada ya ushindi huo, Diamond aliweza kuweka picha yake hiyo kupitia mitandao yake yote ya kijamii na kuandika: I realy don’t know What to say …dha! hata sijui nizungumze nini…
(Eeh Mungu baba tunakushkuru sana kwa kuzidi kuunyanyua na kuupa Thamani mziki wetu wa Afrika...
9 years ago
Mwananchi28 Nov
AY, Diamond na Sauti Sol we acha tu!
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/XkRrFz4ymKm81GDv8oi7VxH3ZjSIYSpYPF4oKgO83KFPConaIHy5XhiVXo7ZvwyeZDnKgUpnc8mgFJeE7orDOB9TBY0mipBQ/SautiSol.jpg)
SAUTI SOL WATAJWA KUWANIA TUZO ZA BET 2015
9 years ago
Bongo513 Oct
Sauti Sol, Kidum, Eddy Kenzo na Radio & Weasel watajwa kuwania tuzo za BEFFTA 2015 za UK